The House of Favourite Newspapers

Rais JPM Awalilia 18 Waliofariki kwa Ajali Kibiti

0

RAIS John Magufuli ametuma salam za rambirambi kwa ndugu, jamaa na marafiki wa watu takribani 18 waliopoteza maisha katika ajali ya iliyotokea leo Aprili 15, 2020, saa 12:55 asubuhi katika Kijiji cha Kilimahewa-Kaskazini, Kibiti – Mkuranga, Pwani baada ya basi la abiria aina ya Toyota Coaster kugongana uso kwa uso na lori aina ya Mitsubishi Rosa.

Leave A Reply