Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Miaka 30 tangu kutokea Mauaji ya Kimbari Kigali, Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 7, 2024 ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 30 tangu kutokea Mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda
Maadhimisho hayo ya miaka 30 yamehudhuriwa na viongozi kutoka nchi mbalimbali.