The House of Favourite Newspapers

Serikali Yasema Itapitia Utaratibu wa Malipo ya Mikopo ya Elimu

0

Serikali imesema ipo katika mpango wa kupitia utaratibu wa malipo kwa wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu ili wapunguziwe mzigo.

 

 

Naibu Waziri wa #Elimu, Omari Kipanga, amesema hayo akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee, aliyehoji ni lini Serikali itapeleka mapendekezo ya #Sheria ili kuwaondolea mzigo wanufaika wa Mikopo kwani mpango huo umekuwa Biashara.

 

 

Halima Mdee amesema, Serikali inasema inawasaidia watoto wa masikini wakati inawaumiza kwa mlolongo wa madeni.”

Leave A Reply