The House of Favourite Newspapers

Sitasahau Mteja Aliyekuja Ofisini Alivyonisingizia Kuwa Nimembaka

0

Jina langu ni Nickson kutokea Kigamboni, Dar es Salaam nchini Tanzania, nafanya kazi ya kupiga picha, ni kazi ambayo niliipenda tangu nikiwa mdogo, nashukuru nimeweza kufungua na studio yangu.

Changamoto kubwa katika kazi yetu ni kuwa kila anayekuja kupiga picha huwa kuna namna anaiwaza vile itatoka kichwani mwake kutokana na matakwa yao, sasa picha ikija tofauti inakuwa tatizo.

Kuna safari alikuja Dada mmoja kupiga passport size, baada ya kupiga alionyesha kuridhika nayo, ila tulivyoprint, ikawa tofauti na yeye alivyotaka.

Akaniomba nirudie kwa gharama ile ile, nilikataa maana mimi ningepata hasara sababu natumia wino kuprint na karatasi zake, hivyo kama anataka nirudie basi alitakiwa aniongezee hata fedha kidogo.

Nilivyokaa ilikuwa shida, alianza kunifokea na ukaibuka mgomvi kiasi kwamba alivunja camera yangu ambayo bei yake ni zaidi ya Sh5 milioni, ule ugomvi ulivuta watu wengi mpaka tukafikishana polisi.

Kufika polisi yule dada alidai nilitaka kumbaka ndani ya ofisi yangu na ndio sababu ya kuvunja camera yangu ili kujitetea, nilikana madai hayo na mvutano ukawa mkubwa sana.

Ilibidi ile kesi iende mahakamani na yule dada ndiye alifungua kesi ya ubakaji, kesi ile ilinipelekesha sana hadi kuniyumbisha kiuchumi kwa sababu ofisi ilinibidi nifunge kwa sababu ile camera aliyovunja ndio ilikuwa tegemeo kubwa sana.

Nilikonda ghafla kutokana na msongo wa mawazo, nilikuwa nawaza kama dada akishinda kesi ina maana nitafungwa, vipi kuhusu camera yangu ambayo aliivunja.

Sasa siku moja nikiwa katika mitandao ya kijamii, niliona kuwa Kiwanga Doctors wanasaidia watu kushinda kesi, nilichukua namba zao (+254 769 404965) na kuwapigia siku iliyofuata.

Kiwanga Doctors alinifanyiwa dawa na kunihakikishia usindi, ile kesi ilikuja kuendelea lakini madai ya dada yalikosa ushahidi nami nikaachiwa huru huku yeye akitakiwa kunilipa camera mpya na gharama za usumbufu.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 

Leave A Reply