×

Tag: ajali

Breaking: Ajali Yaua watau Dodoma

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali basi iliyotokea katika eneo la panda mbili wilayani Kongwa mkoani...

READ MORE

BREAKING: Soko la Karume Lateketea kwa Moto, Rais Samia, Makamu wa Rais Watoa Tamko.

 Soko la wafanyabiashara wadogo la Karume lililopo Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam limeungua kwa moto alfajiri ya...

READ MORE

Polisi Waanika Mtoto Alivyomuua Mama Yake

SILAHA ya jadi aina ya panga, ni moja ya vifaa vilivyokutwa katika shimo alilofukiwa mtu anayedhaniwa alikuwa muuguzi wa Hospitali...

READ MORE

Waandishi wa Habari Waliofariki Kwenye Ajali ya Gari Simiyu

Taarifa kamili juu ya ajali iliyohusisha waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza. …………………………………….. Ndugu waandishi wa habari na wadau wa...

READ MORE

Gari la Wanahabari Lagongana na Hiache 11 Wafariki

WATU zaidi ya 11 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja...

READ MORE

Watu 9 Wamefariki Katika Ajali ya Boti Zanzibar

WATU tisa wamefariki dunia, na wengine sita wameokolewa wakiwa hai na wengine zaidi ya kumi hawajulikani walipo baada ya boti...

READ MORE

Wagonga Lori kwa Nyuma, Wafariki

WATU wawili wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugonga lori kwa nyuma lililokuwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara kutokana na...

READ MORE

Gari la Maiti Lapata Ajali, Bosi wa Harmonize Anusurika

MMOJA wa mameneja wanaomsimamia mwanamuziki Harmonize, Jembe ni Jembe amepata ajali mbaya ya gari wakiwa wanasindikiza mwili wa marehemu Joel...

READ MORE

38 Wafariki kwa Kuangukiwa na Kifusi Mgodini

Watu 38 wamepoteza maisha baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu wa Darsay kijiji cha Fuja nchini Sudan....

READ MORE

Watu Watatu Wafariki kwa Ajali Geita

WATU watatu waliokuwa wakisafiri kutoka Kata ya Nzera kuelekea Geita Mjini wakitumia gari la abiria (aina ya Toyota Hiace) wamefariki...

READ MORE

Waziri Anusurika Kufa, Aogelea Saa 12 Kujiokoa

WAZIRI wa Ulinzi na Polisi wa Madagascar, Serge Gelle (57) ameogelea kwa saa 12 baharini hadi kufika nchi kavu baada...

READ MORE

Mabasi Yang’olewa Namba Mwanza

Mabasi tisa ya abiria katika stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza yang’olewa namba na kuzuiwa kuendelea na safari...

READ MORE

Ajali ya Ndege Yaua 9 Santo Domingo

WATU tisa wamefariki papohapo akiwemo mtayarishaji wa Muziki kutoka Puerto Rico, Jose Angel Hernandez ama Flow La Movie baada ya...

READ MORE

Magari Yagongana Uso kwa Uso, Watu 2 Wafariki Dunia

WATU wawili wamefariki Dunia katika ajali iliyohusisha Malori mawili iliyotokea eneo la Mkambarani barabara ya Morogoro – Dar es alam...

READ MORE

Ajali Zaambatana Mwisho wa Mwaka

MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za...

READ MORE

Gari la Magazeti Laua Watu 9 Iringa

WATU 9 wamefariki dunia ikiwemo wanawake 4 na wanaume 5 na wengine 3 kujeruhiwa baada ya Gari ya magazeti aina...

READ MORE

Ajali Ndani ya Hifadhi ya Mikumi Yaua Mmoja

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Joseph, Mkazi wa Makambako mkoani Iringa amefariki dunia huku wengine wawili wakijeruhiwa katika...

READ MORE

Serikali Kugharamia Mazishi Ya Wanakwaya 33 Waliofariki Mtoni

GAVANA wa Kaunti ya Kitui nchini Kenya Charity Ngilu amesema kuwa serikali ya kitaifa na ile ya kaunti yake zitagharamia...

READ MORE

Watoto 8 wa Familia Mbili Wakutwa Wamekufa Kwenye Gari

JESHI  la Polisi nchini Nigeria wanasema wanaendelea kuchunguza tukio la vifo vya watoto nane wa familia mbili tofauti, waliokutwa wamekufa...

READ MORE

Waliokufa Baada Ya Basi Kutumbukia Mtoni Wafika 32

Idadi ya watu waliopoteza maisha ya baada ya basi walilokuwa wakisafiria, kusombwa na maji katika Mto Enziu, Ngune, Kaunti ya...

READ MORE

Basi Lililotumbukia Mtoni Latolewa, Waliokufa Waongezeka

Shughuli za uokoaji ziliendelea siku ya Jumapili kufuatia ajali mbaya iliyotokea Jumamosi katika mto wa Enziu, kaunti ya Kitui huku...

READ MORE

Watu 20 Wafariki Baada ya Basi Kusombwa na Mto

Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia Jumamosi Desemba 4 wakati basi lao lililokuwa likielekea kwenye harusi liliposombwa na Mto Enziu...

READ MORE

Mtwara: Waandishi wa Habari Wapata Ajali

Waandishi wa habari ambao idadi yao haijawezafahamika wamepata ajali mbaya wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig....

READ MORE

Rubani Aliyepotea, Spidertracks Yaonekana

WAKATI Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) ikitoa taarifa ya kusitisha shughuli za utafutaji wa rubani Samweli Gibuyi, familia yake...

READ MORE

Ajali ya Basi Yaua Abiria wa Bodaboda Kibaha

AJALI mbaya imetokea usiku huu katika eneo la Kwa Mathias wilayani Kibaha, mkoani Pwani wakati basi lenye namba za usajili...

READ MORE

Magari Matano Yagongana Dar

AJALI mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi, Novemba 13, 2021 katika maeneo ya Mbezi kwa Yusufu, Dar es Salaam...

READ MORE

 Watu 115 Wazikwa Pamoja

WATU 115 walifariki katika mlipuko wa tenki la mafuta siku ya Ijumaa, nchini Sierra Leone wanazikwa kwa pamoja katika mji...

READ MORE

Mjamzito Afariki kwa Ajali Akienda Kujifungua

MWANAMKE mmoja mjamzito amefariki dunia katika ajali ya kuogofya karibu na Hospitali ya Virgin kwenye barabara ya Kenol-Murang’a kaunti ya...

READ MORE

Wanne Wafariki kwa Ajali Iringa

WATU wanne wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha lori na basi la Isamilo, lililokuwa linasafiri...

READ MORE

Breaking: Ajali Yauwa Wawili Arusha – Video

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la kampuni ya Kimotco ya jijini...

READ MORE

Basi la Adventure Lapata Ajali Mlima Kamba

Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Mpanda mkoani Katavi kwenda Kasulu mkoani Kigoma, wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni ya Adventure...

READ MORE

Afariki Kwa Kuanguka na Pikipiki Mtaroni

KIJANA Joseph Mushi mkazi wa Ndembezi Manispaa ya Shinyanga, amefariki dunia mara baada ya kuanguka na pikipiki kwenye Mtaro uliopo...

READ MORE

Ajali Mbaya Coco Beach

Gari aina ya Toyota  Prado lenye namba za usajili T872CHR limetumbukia baharini jana saa saba katika eneo la Ufukwe wa...

READ MORE

Ajali Mbaya Dar, Wananchi Waiba Saruji – Video

AJALI imetokea maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam leo baada ya lori ambalo kuacha njia na kugonga daladala na...

READ MORE

Breaking: Basi la Emigrace Lapata Ajali – Video

Basi la Kampuni ya Emigrace lenye namba za usajili T 703 DLG linalofanya safari zake kati ya Babati na Dar...

READ MORE

Jamaa Achoma Nyumba Ya Mpenzi Wake, Mwingine Auawa -Video

  KATIKA hali ya kusikitisha, mwanamama Felista Michael mkazi wa kijiji cha Wama, Kata ya Gisambala wilayani Hanang Mkoani Manyara...

READ MORE

Mwandishi Gabriel Kandonga Afariki kwa Ajali – Video

Mwandishi wa ITV na Radio one mkoa wa Songwe,Gabriel Kandonga amefariki kwa ajali alfajiri ya leo akiwa njiani kuungana na...

READ MORE

Waandishi Global TV na Dar Mpya Apata Ajali Tabora – Video

MWANDISHI wa habari wa Global TV, ambaye kituo chake cha kazi ni jijini Dodoma, Mohamed Zengwa (pichani chini) na wenzake...

READ MORE

Ajali ya Coaster Yaua 6 Mbinga

BAD NEWS: Watu sita wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Ijumaa, Septemba 17, 2021 katika wilaya...

READ MORE

Ajali Yaua mmoja na Kujeruhi 7 Shinyanga

MTU mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa kufuatia ajali ya Gari aliyokuwa amepanda kuligonga trekta kwenye eneo la kijiji...

READ MORE