Gomes Akabidhiwa Emmanuel Okwi
HABARI inayotikisa kwa sasa Bongo ni ile inayomuhusu mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi kurejea kwa mara nyingine kukitumikia kikosi hicho kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kimataifa msimu uajo.
Okwi mwenye…
