The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Emmanuel Okwi

Gomes Akabidhiwa Emmanuel Okwi

HABARI inayotikisa kwa sasa Bongo ni ile inayomuhusu mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi kurejea kwa mara nyingine kukitumikia kikosi hicho kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kimataifa msimu uajo. Okwi mwenye…

Okwi Hajatupia Mpaka Leo Misri

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi, anayekipiga katika Klabu ya Al Ittihad inayoshiriki Ligi Kuu ya Misri, amefikisha dakika 205 bila ya kufunga bao, huku akiambulia kadi ya njano. Mpaka sasa Okwi amecheza mechi…

Shiboub Ampoteza Okwi Simba

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Mganda, Emmanuel Okwi ambaye amesajiliwa na klabu ya Al Ittihad ya Misri msimu huu hatashiriki michuano ya kimataifa akiwa na klabu yake hiyo mpya. Hii ina maana kuwa wachezaji wapya wa Simba…

Okwi akataa miaka miwili Simba

EMMANUEL Okwi amezidi kuwatia kiwewe Simba kwanza kutokana na kiwango anachokionyesha kwenye michuano ya Kombe la Afrika ‘Afcon’ kule Misri pili ni kuwa anazingua kusaini mkataba wa miaka miwili Msimbazi. Okwi, raia wa…

Simba SC yabadili gia kwa Okwi

BAADA ya hivi karibuni mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi kudaiwa kugoma kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, sasa mambo yamekaa sawa. Habari njema kwa mashabiki wa Simba ni kwamba Okwi ambaye sasa…

CAF Yatoa Neno Kwa Emmanuel Okwi

KWA mujibu wa takwimu za mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi ambazo zimechezwa mpaka sasa, Emmanuel Okwi yuko vizuri. Takwimu hizo za Caf, ni za asisti za mechi za makundi yote ya michuano hiyo msimu huu wa…

OKWI AUNDIWA TUME MAALUM MISRI

WAKATI homa ya mechi ya kimataifa ya mabingwa Afrika kati ya Simba na Al Ahly ikizidi kupamba moto, imebainika kuwa mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi ndiye mchezaji anayewapasua vichwa vilivyo viongozi wa benchi la ufundi la…

Hat Trick Yamtesa Okwi Simba SC

MFUNGAJI Bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Emmanuel Okwi, bado anateswa na hat trick aliyoifunga Oktoba 28, 2018 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Okwi ambaye alifunga hat trick hiyo…

YONDANI: MKINILETEA HUYU WAMEKWISHA

BEKI mkongwe wa kati na nahodha wa Yanga, Kelvin Yondani amesema akisajiliwa mlinzi wa Rayon Sports ya Rwanda, Abdoul Rwatubyaye safu yao itatisha sana na watakata ngebe za washambuliaji jeuri kama, Emmanuel Okwi. Lakini sasa…

Okwi Hatihati Kuwavaa Wajeda Leo

STRAIKA matata na mfun­gaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Emmanuel Okwi ana asilimia 75 za kuanza kwenye pambano la leo dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi msimu wa 2018/19. Mshambuliaji huyo…

Salamba Aapa Kupambana Na Okwi…

STRAIKA mpya wa Simba, Adam Salamba anafahamu kila kitu kuhusiana na mtihani na ushindani alionao mbele ya Emmanuel Okwi lakini amesisitiza kwamba atakaza. Salamba ambaye amejiunga na Simba hivi karibuni akitokea…

Mzee Akilimali Ampa Tuzo Okwi

Emmanuel Okwi. KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali ‘Mzee Akilimali’ amesema kwake anaona mchezaji bora wa kigeni msimu huu ni Emmanuel Okwi. Okwi ameipa Simba ubingwa msimu uli­opita baada ya kupita miaka…

Kagera, Majimaji Zamtia Kiwewe Okwi

MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi raia wa Uganda amefunguka kuwa anazihofia timu ambazo watakutana nazo kwenye mechi zijazo kwa sababu timu hizo watawapa­nia kwa ajili ya kutaka kuvunja rekodi yao ya kutokufungwa. …

Ghafla! Tambwe Apewa Tano Simba

WAKATI kikosi cha Simba kikikaribia kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, mshambuliaji wa timu hiyo, Mganda, Emmanuel Okwi ametoa kauli ya kummwagia sifa mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe. Okwi ambaye…

Okwi Ageuka Gumzo Uarabuni

MSHAMBULIAJI Emmanuel Okwi amekuwa gumzo kubwa hapa jijini Port Said kutokana na kiwango alichokionyesha katika mechi dhidi ya Al Masry ya hapa. Okwi alionyesha kiwango kizuri wakati Simba ilipoivaa Al Masry katika mechi ya Kombe la…

Okwi Mchezaji Bora wa Simba

MSHAMBULIAJI Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi amefanikiwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Januari- Februari kwa Klabu ya Simba baada ya jana Alhamisi kutangazwa rasmi. Okwi tayari mwanzoni mwa msimu huu alifanikiwa kuwa…

Tambwe: Okwi Hamuwezi Chirwa

STRAIKA wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe, amewachambua Obrey Chirwa wa Yanga na Emmanuel Okwi wa Simba halafu akasema Okwi hamuwezi Chirwa na ndiye atakayekuwa mfungaji bora msimu huu. Okwi ambaye kwa sasa anaongoza kwa…

OKWI: MTABANA ILA MTAACHIA TU

AKIONGOZA kwa mabao 13 katika Ligi Kuu Bara, straika wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema wana kibarua kigumu cha kuchukua ubingwa wa ligi kuu, lakini watapambana kuhakikisha wanautwaa. Okwi, raia wa Uganda, ameitoa…

Okwi Ampagawisha Kocha Mpya Simba

KIKOSI cha Simba,  Alhamisi kilijitanua kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. …

Okwi Ampa Matumaini Ya Ushindi Djuma

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Mrundi, Masoud Djuma ametamka kuwa mshambuliaji wake Mganda, Emmanuel Okwi anatarajiwa kuwepo kwenye orodha ya wachezaji atakaowatumia kesho mechi dhidi ya Singida United. Hiyo, ikiwa ni siku moja…

Okwi na Niyonzima Kumbe Lao Moja

EMMANUEL Okwi amewaambia mashabiki wa Simba kwamba licha ya yeye kutokuwa sehemu ya kikosi kwa sasa katika michuano ya Mapinduzi lakini kwa jinsi alivyoona kwenye Azam TV hakuna ya kuwazuia kubeba ndoo. Okwi hatofautiani na Haruna…

Simba Yawatupa Jukwaani Okwi, Niyonzima

KOCHA wa Simba, Masoud Djuma amesema kuwa kutokana na mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi raia wa Uganda kutokuwa sawa, amelazimika kumpatia mazoezi ya peke yake ili kumuweka fiti huku akitarajiwa kukosa mechi dhidi ya Ndanda mchezo ambao…

Okwi Aanza Kuwindwa Kimyakimya

STRAIKA wa Simba, Em­manuel Okwi, raia wa Uganda, kwa sasa ndiye kinara wa mabao kwenye Ligi Kuu Bara, lakini wap­inzani wake wameanza kumuwinda kimyakimya wakitaka kumpiku. Miongoni mwa wanaojipanga kwa ajili ya…

Okwi: Nashindwa Kufunga Mkoani

MSHAMBULIAJI matata wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi amefunguka kuwa licha ya kutamani kufunga kwenye michezo ya timu hiyo ya mikoani lakini anashangazwa na ubutu ambao unamtokea. Licha ya Okwi kufunga mabao nane kwenye ligi…

Ray: Okwi Anazifunga Timu Ndogo Tu

MSANII wa Bongo Movie’s, Vincent Kigosi ‘Ray’ amewaambia mashabiki wenzake wa Yanga kuwa, wasihofi e mabao ya Emmanuel Okwi wa Simba, kwani huwa anazifunga timu ndogo tu. Yanga leo Jumamosi inacheza na Simba kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar…