The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Job Ndugai

Nikiharibu Aulizwe Makinda- Ndugai

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai amesema kuwa endapo ikitokea ameharibu katika kazi zake basi wa kulaumiwa ni Spika Mstaafu wa Bunge Mama Anne Makinda, kwani yeye ndiye aliyekuwa akimwongoza tangu awali.…

Ndugai: Nitawalinda Wabunge Viti Maalum CHADEMA

SPIKA wa Bunge la 12, Job Ndugai, amesema, kanuni za Bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao, hivyo  ameahidi kufanya hivyo kwa nguvu zake zote. Ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiana na TBC…

Ndugai Ampa Tano Dkt. Kashililah

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemshukuru aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kwa utumishi uliotukuka. Ametoa shukrani hizo leo Jumatatu Ikulu jijini hapa baada ya Rais John Magufuli kuwaapisha mawaziri, manaibu na Katibu wa…