Spika wa Bunge la Kenya apiga marufuku mavazi yasiyofaa
Spika wa bunge la Kenya amepiga marufuku kile alichokieleza kuwa mavazi yasiyofaa yanayovaliwa na wabunge, hata kupiga marufuku vazi la kitamaduni la kiafrika na suti zinazopendwa na Rais William Ruto.
Moses Wentan’ugula aliwambia…