Sven Aidai Simba Mil 102, Aipeleka FIFA
Ni miezi mitatu baada ya kuondoka kwenye klabu ya Simba SC, Sven Vandenbroeck ameishtaki klabu hiyo kwa Shirikisho la soka, Fifa kuwa anaidai kiasi cha dola za marekani 44,000 zinazotokana na malimbikizo ya malipo ya ziada.
…