The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Uingereza

Cameron Kuachia Ngazi Leo Uingereza

David Cameron . Theresa May leo anakuwa waziri mkuu wa pili mwanamke katika historia ya nchi ya Uingereza baada ya Margaret Thatcher aliyetumikia nafasi hiyo kati ya 1979-1990. Waziri mkuu huyo mtarajiwa  huenda akaongeza nafasi nyingi…

David Cameron Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron ametangaza kujiuzulu wadhifa huo baada ya Uingereza kupiga kura ya kujitoa rasmi kwenye Umoja wa Ulaya (EU). Cameron ametangaza uamuzi huo wakati akitoa hotuba yake ambapo amesema Uingereza…