The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

wabunge

Ndugai: Nitawalinda Wabunge Viti Maalum CHADEMA

SPIKA wa Bunge la 12, Job Ndugai, amesema, kanuni za Bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao, hivyo  ameahidi kufanya hivyo kwa nguvu zake zote. Ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiana na TBC…

Wabunge Wote wa Upinzani Wajiuzulu Hong Kong

BAADA ya Wabunge wenzao 4 kufukuzwa  kazi, Wapinzani wote 15 ambao ni watetezi wa demokrasia  wamejiuzulu ikiwa ni ishara ya kuonesha mshikamano wa kupinga kutimuliwa  kwa wenzao, Hong Kong, China. Serikali  ambayo ipo…

Wabunge 21 CCM Kazi Kwao

PAMOJA na Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kuweka wagombea ubunge kwenye majimbo yote 264 nchi nzima, uchunguzi unaonesha kuwa wagombea 21 presha ya kushinda iko juu. Wabunge hawa ni wale ambao hawakushinda kwenye kura za maoni…

Mwigulu atoa tamko Bashe…

Na Mwandishi Wetu GPL/ Uwazi D ODOMA: Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba jana alitoa tamko kufuatia madai ya Mbunge wa Nzega Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Mohamed Bashe kuomba mwongozo wa Naibu Spika, Dk.…