Toeni Taarifa Kwenye Tatizo Kipindi cha Mvua-TANESCO
SHIRIKA la Umeme Tanzania(TANESCO) limetoa taadhari kwa Wananchi wote kutoa taarifa kipindi hiki cha mvua mara inapotokea hitilafu yoyote kwenye miundombinu ya umeme inayosababishwa na mvua au sababu nyingine.
Na Denis Mtima|GPL