UJUMBE MZITO: Ingekuwa Kufikiri Rahisi, Tusingetumia Hisia Kujaji – VIDEO
Kutokana na baadhi ya watu kujaji vitu kabla ya kufikiri, na hivyo kuwasababishia migogoro katika jamii inayowazunguka kutokana na kutoelewana kihisia.
Ujumbe mzito umetolewa ili kuweza kuwasaidia watu kutumia akili zako kujaji kitu kwanza kabla ya kuchukua maamuzi ya kuongea au kufanya jambo fulani.
Comments are closed.