Video: Global Habari Machi 21 – Marais Kumuaga Jpm Dodoma
Msemaji Mkuu wa Serikali Dk.Hassan Abbas amesema viongozi mbalimbali wa kimataifa wanatarajia kushiriki kuuaga mwili wa Hayati Dk.John Pombe Magufuli siku ya kesho katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma