Video: Mapokezi ya Kombe la Yanga Dar Haijawahi Kutokea.. Basi la Madrid Labeba Wachezaji
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo Juni 26, 2022 wametua wakitokea Mbeya walikokabidhiwa taji lao la msimu huu mashabiki na wanachama wa timu hiyo wamefika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) kuwapokea.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx