Rais Samia Ahutubia Akiwa Uganda, Ziara Yake Ya Siku Mbili Inaendelea… (Picha +Video)
Rais Samia Suluhu Hassan anafanya ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini Uganda kuanzia leo Jumanne Mei 10 -11, 2022, kwa mualiko wa Rais wa nchi hiyo, Yowei Museveni.