The House of Favourite Newspapers

Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama

0

 

Mwanafunzi wa kidato cha nne, shule ya sekondari Kinyerezi jijini Dar Es Salaam, Rahma Seif akielezea namna ya kujisomea kupitia mfumo wa Instant Schools unaowezesha kupata materialsā€˜ kwa njia ya mtandao bure kutoka Vodacom. Hii ni hamasa iliyowekwa na Vodacom kuelekea siku ya wanawake Duniani kwa mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi yenye kauli mbiu I am the face of Tech.

Mkuu wa Idara ya IT na Miradi Vodacom Tanzania PLC, Cleopatra Mukangara akitoa zawadi kwa wanafunzi mbalimbali wa shule ya sekondari Kinyerezi iliyopo Tabata, Dar Es Salaam

Leave A Reply