The House of Favourite Newspapers

Askofu Gwajima Alipoitembelea Efm Leo

Waumini wa Ufufuo na Uzima walipowasili leo Efm.

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuno na Uzima, la Jijini Dar es Salaam, Mch. Josephat Gwajima amewatembelea na kuwaombea wafanyakazi wa Kituo cha Radio na televisheni cha Efm.

Gwajimna (katikati) na waumini wakielekea ofisi za Efm leo Dar.
Wakipokelewa na Mmoja wa wa wafanyakzi wa Efm.

Wakipata maelekezo jinsi shughuli zinavyoendeshwa hapo Efm.

Mkurugenzi wa Efm Majizo kulia akisalimiana na Askofu Gwajima.

 

Gwajima akiwaombea wafanyakazi na uongozi wa Efm.

Picha na Mussa Matega/GPL

Comments are closed.