Kafulila: Nyaraka za Tegeta Escrow Nilipewa na Mwandishi wa Habari
Kwa mara kwanza tangu aibue Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow wakati akiwa mbunge mwaka 2014, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila amesema kuwa nyaraka juu ya ufisadi huo alizipata kutoka kwa mwandishi wa habari.
…