Yahya Jammeh ‘Alivyosepeshwa’ Gambia Kwenda Kuishi Uhamishoni
Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh.
Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh ameondoka nchini humo baada ya mvutano wa muda kufuatia kushindwa katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Disemba Mosi mwaka jana.
Kwa mujibu wa…