Wananchi wa Singida Wanajua Lissu Yupo Wapi; Ndugai Hajui!
KAMA kuna jambo lililoshangaza wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania ni tamko la kumvua ubunge Mbunge wa Singida- Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.
Tumemsikia Spika Job Ndugai akitangaza kumvua ubunge Lissu, hilo hakuna aliyeshangazwa…