Mjue Pauline Gekul Aliyetumbuliwa Uwaziri Akikabiliwa Na Tuhuma Nzito
Mbunge wa Babati Mjini mkoani Manyara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Philipo Gekul amekuwa gumzo kubwa mno.
Hii ni baada ya kuwepo kwa madai ya udhalilishaji wa vijana wawili…