Mahakama: Vicky Kamata Hakuwa Mke Halali Wa Dkt. Likwelile, Alikuwa Masuria
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekataa pingamizi la Mbunge wa zamani, Vicky Kamata la kupinga uteuzi wa mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile kuwa msimamizi wa mirathi na mali za…