Breaking News: Mmoja wa Pacha Waliotenganishwa Muhimbili Aitwaye Neema Afariki Dunia
MMOJA wa pacha aitwaye Neema waliotenganishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili amefariki dunia Julai 10, 2022. Aidha mwenzake aitwaye Rehema anaendelea vizuri. Muhimbili imesema watoto hao walifanikiwa kuvuka saa 72 ambazo ni hatarishi, lakini bado walikuwa chini ya uangalizi maalum.