×

Afya

Mfumo wa Pimaovid Wapata Hitilafu

Wizara ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuwa, kumetokea hitilafu katika mfumo wa utoaji vyeti kwa njia ya mtandao, maarufu...

READ MORE

Mbeya, Kilimanjaro Waongoza kwa Wanawake Wenye Vitambi

WANAWAKE wa Mikoa ya Kilimanjaro, Mbeya na Arusha wanaongoza kwa kuwa na unene uliopitiliza na kupata viribatumbo maarufu kitambi.  ...

READ MORE

Itilima: Waganga Wamiminika Kuchanjwa

WILAYA ya Itilima iliyopo mkoani Simiyu inatajwa kuongoza kwa idadi ya watu wanaojitokeza kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko19...

READ MORE

Unasumbuliwa na Vidonda vya Tumbo? Suluhisho Lipo

#DALILI 10 ZA VIDONDA VYA TUMBO (ULCERS) NA MADHARA YAKE VISIPOTIBIWA 0717172230 ✍🏻Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya...

READ MORE

Kipengele cha Fomu ya Chanjo Kufanyiwa Marekebisho

TIMU ya wataalam iliyoundwa na serikali kuwahamasisha wananchi wajitokeze kupata chanjo ya Virusi vya Corona imeahidi kukifanyia marekebisho kipengele kilichopo...

READ MORE

Waziri Gwajima Akabidhi Magari Mikoa Sita

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, amekabidhi magari kwa ajili ya ufuatiliaji wa...

READ MORE

Madaktari TZ Wapendekeza Chanjo Corona Kuwa Lazima

IKIWA ni mkakati wa kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19, waganga wakuu wa mikoa wameishauri Wizara ya Afya, Maendeleo...

READ MORE

Tanzania Yatahadharishwa Homa ya Meningitis

SERIKALI ya Tanzania imesema kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika kupitia mitandao...

READ MORE

Daktari Ajiondoa Kizazi “Sitaki Kuzaa Wala Kuitwa Mama”

KATIKA hali ya kushangaza, wakati watu wanahangaika kutafuta kizazi, kusaka watoto, mwanadada aliyefahamika kwa jina la Priyanka Ramgoolam (25) ambaye...

READ MORE

Fahamu Mambo Yanayoweza Kusababisha Kifo cha Ghafla Wakati wa Tendo

MATUKIO ya watu kupoteza maisha ghafla wakati wa tendo, yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara lakini ni wachache wanaoweza kuwa wanajua...

READ MORE

CRYOGENIC PRESEVARTION: Teknolojia ya kuwahifadhi Wafu kisha Kuwafufua

Dunia inakwenda kwa kasi sana, wanasayansi wanaumiza vichwa kila kukicha ili kupambana na hofu kuu ya binadamu, kifo. Ipo wazi...

READ MORE

Dk Gwajima: Eti Mimi Kigeugeu, Ninabadilika Badilika? Hili Agano Jipya

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk. Doroth Gwajima amesema hakuna kilichobadilika kutoka awamu ya tano kuja...

READ MORE

Chanjo ya UKIMWI Kuanza Kesho

HATIMAYE chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa inafanyiwa utafiti muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya nchini Marekani inatarajiwa...

READ MORE

Watanzania 207,391 Wapatiwa Chanjo ya Uviko-19

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto imesema mpaka kufikia jana Agosti 14, jumla ya...

READ MORE

Haya Ndo Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa kwa Muda Mrefu

TAFITI zilizofanywa na wataalam wa masuala ya afya na saikolojia ya binadamu zinaeleza endapo ukikaa muda mrefu bila kufanya tendo...

READ MORE

Ukiwa Kundi Hili Usichanje Mpaka Ushauri wa Daktari

JOPO la wataalamu wa afya wa mashirika ya Kimarekani nchini, limetaja makundi matatu ya watu ambao hawastahili kuchanjwa chanjo ya...

READ MORE

Chanjo ya Corona: Ukitazama Video Hii, Utaamua Uchanje au Usichanje! – Video

KUMEIBUKA nadharia mbalimbali tangu chanjo ya Uviko 19 iliporuhusiwa na Serikali kuingia nchini Tanzania na baadae watumishi wa Serikali na...

READ MORE

Delta Imeongeza Maambukizi ya Corona Duniani

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Maambukizi ya virusi vya Corona yanaongezeka kutokana na...

READ MORE

Alcohol Pills, Teknolojia ya kulewa bila kunywa

Hii inaweza kuwa habari njema sana kwa wanywaji wa pombe! Inafahamika kwamba ili ulewe, lazima unywe kinywaji chenye kilevi ukipendacho,...

READ MORE

Serikali Yasitisha Matamasha, Ibada za Mazishi Dakika 30

Serikali ya Tanzania imesitisha rasmi matamasha, sherehe na mikusanyiko na masharti kwa watakaolazimika kuwa na kibali maalumu kutoka kamati maalum...

READ MORE

Mikoa 10 Kipaumbele Chanjo Corona

SERIKALI imepokea msaada wa chanjo ya Corona kutoka Marekani na kueleza kuwa baada ya kujiridhisha kuwa ni salama utolewaji wake...

READ MORE

Kigoma Ina Wagonjwa 12 wa Corona

HABARI: Mkoa wa Kigoma umeripotiwa kuwa na wagonjwa 12 wa Corona ambapo wengine wamejitenga majumbani na wengine wanaendelea kupatiwa matibabu...

READ MORE

Nenda Sabasaba Kapimwe Macho, Miwani Gharama Nafuu – Video

Sambamba na OFA hii tuna ofa nyingine nyingii zinazohusiana na afya ya macho yako. Karibu katika Banda letu la TWCC mkabala...

READ MORE

Majina ya Madaktari Walioajiriwa na Serikali Julai 2021

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Idara Kuu ya Afya, Prof. Abel Makubi, amesema...

READ MORE

Kiwanda cha Chanjo ya Corona Kutengenezwa Nchini

SERIKALI imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Virusi vya Corona hapa nchini ili kupunguza gharama ya kuagiza nje ya nchi...

READ MORE

Prof. Janabi: Ulaji Futari Nyingi Unachochea Mshtuko wa Moyo

Katika mwezi huu wa Ramadhan familia nyingi nchini na duniani kwa jumla kuna nchi ambazo raia wake wanafunga saumu hii...

READ MORE

Serikali Yafunga Mtambo wa Bil 4.6 JKCI

Serikali imefunga mtambo wa kisasa wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6 wa uchunguzi na matibabu ya moyo (Catheterization Laboratory –...

READ MORE

Fahamu Vyakula Vinavyoweza Kuimarisha Tendo la Ndoa

Kama kungekuwa na ushahidi kwamba chakula cha aina moja kinaweza kuimarisha tendo la ndoa na kukuzidishia hamu, huenda kungekuwa na...

READ MORE

Nafasi za kazi African Union Commission, Director Conflict Management

Director Conflict Management Date: Apr 17, 2021 Location: Addis Ababa, Ethiopia Organization: African Union Commission – AUC AU Values    ...

READ MORE

Muhimbili Wamjibu Kigwangalla ‘Hatuondoi Nyungu’

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema haitaondoa huduma ya kujifukiza Hospitalini hapo kama ilivyoshauriwa na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hamisi...

READ MORE

WHO Yamlilia Rais Magufuli

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus ni miongoni mwa watu waliotuma salamu za pole...

READ MORE

Ufahamu Ugonjwa wa Moyo wa Mfumo wa Umeme (Atrial Fibrillation)

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema sababu ya kifo cha Rais John Magufuli ni tatizo la moyo la mfumo...

READ MORE

Fahamu Umuhimu wa Nywele Sehemu za Siri za Mwili wa Binadamu

NYWELE hujitokeza katika sehemu tofauti katika mwili wa mwanadamu , na faida zake hutegemea sehemu inazojitokeza mwilini kulingana na tafiti...

READ MORE

Astrazeneca: Hakuna Ushahidi wa Chanjo Kugandisha Damu

  KUFUATIA mataifa mbalimbali ulimwenguni kusitisha matumizi yake, Kampuni ya #AstraZeneca imesema hakuna ushahidi wa hatari ya kuganda damu kutokana...

READ MORE

Gwajima: Wanaume Wengi Wanaugua Figo

Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake....

READ MORE

Madaktari Waonya Dalili Mpya za Corona

LICHA ya dalili za awali zinazotambulika tangu wimbi la kwanza, pia kuna dalili nyingine zinazogunduliwa na madaktari hivi karibuni, ambazo...

READ MORE

Wajawazito Watafuta Wanaume Bandia

  KINA mama wajawazito wilayani Kilindi mkoani Tanga wamewalalamikia wanaume wanaowapa ujauzito kukwepa kwenda kliniki kupima afya zao kama kanuni...

READ MORE

Kumradhi Mawaziri Wa Afya

Jana, Machi 8, 2021 katika mtandao huu, kuliripotiwa taarifa iliyokuwa na kichwa cha habari: MAWAZIRI WA AFYA WAIKUBALI IMMUNO BOOSTER...

READ MORE

Serikali: Tunaikabili Corona Kisayansi na Kiasili

Serikali imesema inaendelea na jitihada za kuyakabili maambukizi mapya ya COVID-19 kwa kutafuta tiba mbadala na kusema licha ya kutumia...

READ MORE

Shigongo, Mollel Watua Hospitali ya Mwangika – Video

NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel na Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, wamewatembelea wagonjwa katika Kituo...

READ MORE