×

Celebrities

Wabongo Wampa za Chembe Zari

  DAR: ZILIPENDWA wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amejikuta ‘akipopolewa’ maneno makali na Wabongo...

READ MORE

Hatimaye Mrisho Aanza Kuvaa Viatu “Nimeitwa Mchawi”

MSANII wa tungo za mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto maarufu kama “Mjomba“, ameposti picha mtandaoni ikimuonesha amevaa viatu huku akiwauliza...

READ MORE

Nenga: Mimi na Nandy Mguu kwa Mguu Hadi Peponi!

WILLIAM Lyimo almaarufu kama Billnass, Bilinenga au Nenga, ni bonge moja la rapa hapa Bongo. Billnass amesikika kwenye ngoma kibwena...

READ MORE

Dj Cuppy Amkubali Rayvanny!

MKALI wa Bongo Fleva kutoka WCB, Rayvanny, ameendelea kupaa kimataifa baada ya kukubalika kinoma na DJ mrembo kutoka Nigeria, DJ...

READ MORE

Tunda Afunguka Kufumaniwa na Young D Chumbani

DAR: Mwanakulitafuta, mwana kulipata! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya sakata la video queen (vixen) matata Bongo Anna Kimario ‘Tunda’ kudaiwa...

READ MORE

SA’ Itakuwaje? Wimbo wa Harmo kwa Mkapa Kufutwa, Giza Nene!

  DAR: “Ikiwa Amen amen nenda salama kipenzi… Amen amen tutazidi kukuenzi… Tunakushukuru kwa yote mazuri uliyotufanyia… Safari ni yetu...

READ MORE

Ommy Dimpoz: Kung’aa Kawaida Yangu

Msanii kunako tasnia ya muziki wa Bongo fleva Omary Nyembo ”Ommy Dimpoz” amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho anakithamini kama suala...

READ MORE

Ishu ya Mtoto Bado Inamtesa Wema!

DAR: Bado ishu ya kutopata mtoto inamtesa kinoma staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu. Wema ameonesha kukerwa na kuchukizwa...

READ MORE

Mzee Yusuf: Tukutane Dar Live Mkesha Wa Kuamkia Nanenane

ILE shoo babkubwa ya Narudi Mjini ya Mzee Yusuf kama Mzee Yusuf, iliyokuwa ifanyike Julai 31, mwaka huu, imesogezwa mbele...

READ MORE

Gadner, Jide Mambo Ni Moto

AMKENI amkeni kumekucha, unaambiwa ile kapo mashuhuri Bongo ya Mtangazaji Gadner G. Habash na Malkia wa Bongo Fleva, Judith Wambura...

READ MORE

Nandy: Sijawahi Kuonja Kofi la Billnass

MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga ‘Nandy’ ameutupilia mbali uzushi unaodai kuwa mara nyingi anapata kipigo kutoka kwa mchumba wake...

READ MORE

Beka: Mimi ni Msanii wa Kwanza Kumuimbia Magufuli

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva anayefanya poa na ngoma ya Hapa Kazi tu, Bakari Katuti ‘Beka Flevour, amefunguka kuwa...

READ MORE

Gigy: Ukweli Wangu Nafukuza Wanafiki

MREMBO anayetamba kwenye muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amesema mara nyingi huwa anapenda kuwa mkweli hasa linapokuja...

READ MORE

Khadija Kopa: Aanika Hasira za Zuchu

MAMA mzazi wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuhura Othman Kopa ‘Zuchu’, Khadija Kopa amefichua siri kumhusu bintiye kwamba...

READ MORE

Lulu Diva: Ugomvi na Nandy ni Utoto

MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amesema ugomvi unaodaiwa ulikuwepo kati yake na msanii mwenzake Faustina Mfinanga ‘Nandy’...

READ MORE

Nandy: Tuna Baraka Zote za Wazazi

MREMBO mwenye Bongo Fleva yake, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema kuwa yeye na mchumba wake William Lyimo ‘Billnass’ wana baraka zote...

READ MORE

Mama Afungukia Wema Kuzimia

MAMA mzazi wa msanii wa filamu nchini Wema Sepetu, Miriam Sepetu amefungukia ishu ya mwanaye kudaiwa kuanguka na kuzimia. Mwishoni...

READ MORE

Dogo Janja: Amwagia Sifa ‘Baby’ Wke

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Abdulazizi Chande almaarufu “Dogo Janja” amefunguka kuwa mchumba wake yupo tofauti na wanawake wengine...

READ MORE

DC wa Arusha Afunga Ndoa na Miss Dodoma

MKUU wa Wilaya ya Arusha, Kenani Labani Kihongosi, jana amefunga ndoa mkoani Iringa na mchumba wake  Adilla Chigomelo aliyewahi kuwa...

READ MORE

Kisa Madawa, Msanii Akiri: ‘Nilijaribu Kujiua’

MSANII wa muziki nchini Uganda, Jackie Chandiru,  ambaye aliwahi kupambana na uraibu wa kutumia dawa za kulevya,  amerejea tena katika...

READ MORE

Wanjara: Nimeitwa Tasa, Mgumba Lakini Nimezaa!

MISS Mara, mwanamitindo na aliyewahi kuwa mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Prof Jay, Rashida Wanjara,  amesema anajisikia furaha kuwa mzazi...

READ MORE

Wasafi: Shoo Moja ya Zuchu Milioni 20

MENEJA wa kimataifa wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na WCB, Sallam Sk, amebainisha kwamba kutokana na uwekezaji mkubwa...

READ MORE

Top Five: Wasanii wa Kike Wenye Voko Kali Bongo

Muziki mzuri siku zote hutengenezwa na vitu vizuri ndani yake kwa kuzingatia umakini, mfano melodi nzuri, mashairi na kikubwa zaidi...

READ MORE

Gigy: Zuchu ni Kiboko Yao

Msanii kunako anga la muziki wa Bingo Fleva Gift Stanford wengi wanamjua kwa jina la ’Gigy Money’ amesema kuwa Zuchu...

READ MORE

Nuh Mziwanda: Sina Mpango wa Kumlipua Shilole

Nipeleke kwa muganga na mimi nataka wanga… Mana mapenzi yamenikoroga kinoma ……. Kanichanja chale mwili mzima….. Mi simkumbuki hata jina...

READ MORE

Mwijaku Kortini kwa Tuhuma za Kusambaza Picha za Utupu

MTANGAZAJI na msanii, Mwemba Burton maarufu Mwijaku (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, leo...

READ MORE

Asha Boko Atamani Mzee Majuto Arudi Duniani!  

UKIZUNGUMZIA vipaji vikubwa vya uchekeshaji ambavyo havijawahi kuchuja Bongo, huwezi kuacha kumtaja Asha Boko.   Ni mchekeshaji mkongwe ambaye amekuwa...

READ MORE

P Funk: Msishangae Siku Nikiokoka

PAUL Matthysse almaarufu kama P Funk, Halfani, Majani, Kinywele Kimoja, ni mtayarishaji mkubwa wa muziki na mmiliki wa Studio za...

READ MORE

Tessy Jimbo Liko Wazi!

AONGEZE sauti? Sosholaiti matata Bongo ambaye ni baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka, Katyesia Abdul ‘Tessy Chcolate’...

READ MORE

Jux Kuvuta Jiko Soon

HAYAWI hayawi yanakwenda kuwa! Megastaa wa RnB Bongo, Juma Mussa ‘Jux’ amevunja ukimya kuwa muda umefika wa kuvuta jiko.  ...

READ MORE

Mondi Arudishwa kwa Tanasha!

MWONEKANO mpya wa mzazi mwenza wa na mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna umewatoa wengi udenda...

READ MORE

Exclusive: Mama D Apasua Jipu Mrembo wa Mondi

Mama wa mwanamuziki maarufu  wa Afro Pop ndani na nje ya nchi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platiumuz’ Sanura Kassim ‘Mama Dangote’...

READ MORE

Rich Mavoko Acha Unyonge Maisha ni Vita, Amka

UNAPOTAJA jina la Q-Chillah kwa mashabiki na wadau wote wa Bongo Fleva na hata ambao siyo wapenzi wa muziki huo...

READ MORE

Harmo Aja na Balaa Lingine!

DAR: Rais wa Lebo ya Konde Music Worldwide, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ametangaza balaa jipya mwezi ujao wa Agosti. Harmonize au...

READ MORE

Marioo: Kungekuwa na Tuzo Ningejaza Kabati!

“Tikisatikisa, mbona nikaa nataka kufa… Mbona nikaa sijielewi… Nipe kubwa nipe na ndogo.. Changamka usiwe gogo.. Zikipanda nakuwa gogo… Sikawii...

READ MORE

Mimba ya Nick Minaj Yamchoma Meek Mill

MIMBA ya rapa mkali wa Marekani, Onika Tanya Maraj ‘Nick Minaj’ inadaiwa kumchoma rapa mwenzake, Meek Mill ambaye alikuwa mpenzi...

READ MORE

Huddah Akodi Hoteli Dubai Hadi Desemba

SOSHOLAITI mwenye jina kubwa Afrika Mashabiki, Huddah Monroe amekanusha kufilisika kwa kutamba kwamba kwa sasa yupo Dubai ambapo amekodisha hoteli...

READ MORE

Mama: “Sipendi Nandy Aingie Kwenye Ndoa” – Video

MAMA mzazi wa msanii  wa Bongo Fleva, Fausta Mfinanga, maarufu kama Nandy, ameweka bayana juu ya maamuzi ya mwanaye kufunga...

READ MORE

Jenifer: Nalipa Fadhila kwa Mama Kanumba!

JENIFER Kanumba siyo jina geni kwenye masikio ya mashabiki wa Bongo Movies. Jina lake halisi ni Hanifa Daudi. Ni kipaji...

READ MORE