×

Habari

Amani lafika Tandale, wasomaji wachangamkia ‘Shinda Nyumba’

Athumani Hemed (kushoto) mkazi wa Tandale sokoni  akijaza kuponi  kushiriki bahati nasibu ya Shinda Nyumba. Anayemshuhudia ni Ofisa Masoko wa...

READ MORE

Mashindano ya Kuhifadhi Quraan Tukufu Kufanyika Diamond Jubilee Jumapili

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan Tukufu, Sheikh Othman Ally Kaporo (katikati), akizungumza kwenye...

READ MORE

NACTE yatoa wito kwa wadau wa elimu kutoa maoni ya utendaji wake

Kaimu Katibu Mkuu wa  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dk .Adolf Rutayuga, (Kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi...

READ MORE

Rais Kagame Kufungua Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa, Dar

Ofisa Mawasiliano Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Theresa Chilambo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar...

READ MORE

Rais amteua mwanaye kuwa Makamu wa Rais

Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema. Equatorial Guinea Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema amteua mwanaye wa kwanza...

READ MORE

JPM awaonya wanaoendekeza siasa badala ya kazi

Rais Dkt. John Magufuli Ikulu, Dar es Salaam; MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amekabidhi...

READ MORE

Kova aagwa, aomba kazi ya masoko polisi

Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Suleiman Kova, ameliomba jeshi hilo kumpa kitengo cha masoko ili aweze kulitangaza na kuliunganisha...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa Mwaka wa GEPF Wafanyika Jijini Mbeya

   Baadhi wa wakurugenzi kutoka mashirika ya Hifadhi ya Mifuko ya Jamii waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa Mfuko wa...

READ MORE

Aamka na kukuta nyoka kitandani

Australia Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia...

READ MORE

Barua za babake Obama zafichuliwa

Marekani Akiwa bado kijana nchini Kenya mwaka 1958, babake rais wa Marekani Barack Obama, Barack Hussein Obama, alituma barua kwa...

READ MORE

Ukatili abakwa, atobolewa macho, afya!

Mwili wa marehemu ukitolewa eneo la tukio. Richard Bukos na Issa Mnally, AMANI DAR ES SALAAM: Huu ni ukatili namba...

READ MORE

Kinyozi auawa kwenye fumanizi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza SACP Ahmed Msangi Na Mashaka Baltazar, AMANI MWANZA: Fundi wa kunyoa nywele (kinyozi)...

READ MORE

Siku kama ya leo wiki ijayo, mjengo utakuwa wako

     ALHAMISI ijayo, katika Viwanja vya Mbagala Zakhem kuanzia mapema, shughuli kubwa kuwahi kutokea katika Tanzania, zitaanza ambazo mwishowe, mtu...

READ MORE

Madenti Chuo Kikuu wazichapa kavukavu wakimgombea mbunge!

(Picha na maktaba) Na Mwandishi Wetu, AMANI DODOMA: Wanafunzi wawili wa chuo kikuu kimoja mkoani Dodoma, hivi karibuni walizichapa kavukavu...

READ MORE

TMAA Yasifia Uimarishaji, Udhibiti wa Madini

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini, Gilay Shamika (kulia) akisoma taarifa  kwa wanahabari. Pembeni mwake ni baadhi...

READ MORE

Maskini Baba Diamond, Azidiwa ghafla!

        Abdul Juma ‘Baba D’ Erick Evarist na Gladness mallya DAR ES SALAAM: Maskini wee! Baba wa staa wa Bongo...

READ MORE

Kupatwa kwa jua, Profesa Bisanda ataja faida zake

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania, Prof. Elifasi Bisanda (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mhadhiri wa Fizikia...

READ MORE

Dotnata Awafuturisha Wasanii

Wasanii wa kike wakichukua futari. Wasanii wa kiume wakipata futari. Wasanii wakimfanyia Dotnata dua maalum. Dotnata (katikati), mama Kanumba (kulia),...

READ MORE

Mtuhumiwa wa Mauaji ya Mwangosi Akutwa na Kesi ya Kujibu

Daud Mwangosi enzi za uhai wake. Na  Francis Godwin, Iringa KESI ya mauaji ya aliyekuwa  mwandishi  wa habari wa Channel...

READ MORE

PSPF Yafanya Majadiliano na Wanachama Wake Mkoani Manyara

Mwakilishi wa Katibu Tawalawa mkoa wa Manyara Bw.Longino Kazimoto (katikati), akifungua kikao cha pamoja kati ya Mfuko wa Pensheni wa...

READ MORE

Kitwanga afunguka kwa mara ya kwanza, kutua bungeni wiki ijayo

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema yupo imara na amerejea nchini akiwa na matumaini mapya....

READ MORE

Ugomvi wa wabunge wa CCM na UKAWA wafikia pabaya

Sakata la wabunge wa Ukawa kususa vikao vya Bunge vinavyoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson limefika pabaya baada ya...

READ MORE

Muhimbili Sasa Kutoa Huduma ya Chakula kwa Wagonjwa

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeboresha huduma za chakula kwa wagonjwa wote watakaolazwa kuanzia Julai Mosi, mwaka huu ili kuwaondolea...

READ MORE

Ticha aporwa bodaboda, auawa!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji. Na Stephano Mango, RISASI MCHANGANYIKO RUVUMA: Mwalimu wa shule ya msingi Lupapila...

READ MORE

Bunge 2016 ndivyo sivyo

Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson. Na Mwandishi wetu, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Wiki Ya Miujiza Imewadia!

Na Mwandishi Wetu, Risasi Mchanganyiko KAMA kuna kitu mwanafunzi wa ngazi yoyote huwa anakisubiri kwa hamu kubwa, basi huwa ni...

READ MORE

Mwingine Akamatwa kwa Kumtukana Rais Kupitia “WhatsApp”

Mkazi wa Dar es Salaam, Leornad Kyaruzi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka la kutoa lugha ya...

READ MORE

Nisha Kula Futari na Watoto Yatima

Msanii wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ akizungumza na wanahabari (hawapo pichani), kushoto kwake ni mmoja watoto yatima. Mkutano ukiendelea....

READ MORE

Uwazi Lafika Vingunguti na ‘Shinda Nyumba’

    Wiliam Samson (kulia) mkazi wa Vingunguti akijaza kuponi  kushiriki bahati nasibu ya Shinda Nyumba. Anayemshuhudia ni Ofisa Masoko wa...

READ MORE

Morogoro: Polisi Wakamata Risasi 853 Zilizofichwa Kwenye Dumu

Morogoro: JESHI la Polisi mkoani Morogoro, limekamata risasi 853 zinazotumika kwenye silaha aina ya G3 zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye dumu la...

READ MORE

Mfumo wa Kidigitali wa Kusoma Magazeti ‘M-Paper’ Wazinduliwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)wakati wa Uzinduzi...

READ MORE

Aliyewezeshwa na Airtel Fursa atoa ajira kwa vijana wengine 15

Kijana Innocent Kipondya aliyewezeshwa na Airtel kupitia mpango wake wa kuwawezesha vijana hapa nchini ujulikanao kama Airtel FURSA Tunakuwezesha akimuonyesha...

READ MORE

Mahakama Yagomea Pingamizi la Mbowe kwa Jeshi la Polisi

KESI ya madai iliofunguliwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kuiomba mahakama...

READ MORE

Bungeni Dodoma: Ukawa kama kawa!

Dodoma UKAWA kama kawa: Ndiyo lugha nyepesi tunayoweza kusema, hii ni kutokana na Wabunge wa Kambi ya Upinzani kuendelea kususia...

READ MORE

Ajali ya Hiace Yaua Mmoja Songea

Gari lilivyopata ajali. Songea, Ruvuma MTU mmoja ambaye hakufahamika jina lake aliyekuwa akiendesha baiskeli amegongwa na gari ndogo ya abiria...

READ MORE

Trump Nusura Auawe Las Vegas

Michael Sandford baada ya kudakwa na polisi. Las Vegas, Marekani MGOMBEA urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republica, Donald...

READ MORE

Video: Mkutano wa Maalim Seif Washington DC

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Maalim Seif Sharif Hamad, Jumamosi June 18, 2016 alifanya mkutano na Watanzania...

READ MORE

Mdosi mbaroni kwa ujambazi Moshi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, ACP Wilbroard Mtafungwa. Issa Mnally na Richard Bukos, UWAZI DAR ES SALAAM: Watu...

READ MORE