×

Habari

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 21, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Rais wa Bolivia Atangaza Hali ya Dharura Kufuatia Maandamano na Mzozo wa Kiuchumi

Rais wa Bolivia, Rodrigo Paz, ametangaza hali ya dharura nchini humo huku maandamano makubwa yanayoikumba nchi hiyo ya Amerika Kusini...

READ MORE

Yas Wanaounga Mkono mbio za TCB Selous Marathon

Morogoro, Juni 2026 –Kampuni ya Mawasiliano ya Yas, imesema inaendelea kujivunia kuwa sehemu ya wadau wanaounga mkono mbio za TCB...

READ MORE

Wafanyabiashara Sita wa Bangi Wafungwa Miaka 30 Wilaya ya Mufindi, Iringa – Video

Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Juni 19, 2026, imewahukumu watuhumiwa sita baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mbalimbali...

READ MORE

Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richard Abwao Afariki Dunia

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amethibitisha kifo cha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao, kilichotokea katika...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais wa Namibia, Dk Netumbo Nandi-Ndaitwah, Ikulu Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Jamhuri ya Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah aliyewasili nchini...

READ MORE

Programu ya Mama Samia Kurasimisha Ujuzi Wa Vijana 80,000

Serikali imesema itaendelea kuimarisha elimu ya ujuzi na umahiri ili kuwajengea vijana uwezo wa kujiajiri na kuhimili ushindani wa soko...

READ MORE

Wolper Aingilia Kati Sakata la Ndoa ya Shamsa, Afunguka Mazito

Msanii wa sanaa ya Uigizaji nchini, Jackline Wolper, ameonyesha kumuunga mkono rafiki yake Shamsa Ford kufuatia ujumbe wa huzuni aliouweka...

READ MORE

Trump Azindua Air Force One Mpya Kutoka Qatar yenye Muonekano Mpya wa Kifahari -(Picha +Video)

Rais wa Marekani, Donald Trump, amezindua ndege mpya ya muda ya Air Force One, aina ya Boeing 747-8, ambayo awali...

READ MORE

Rumadha Fundi Ang’ara Ureno, Aipeperusha Bendera ya Tanzania kwenye Karate

Tanzania inaendelea kung’ara katika medani ya karate kimataifa kupitia Rumadha Fundi, mwenye Mkanda Mweusi Dan ya 6 na Mkufunzi Mkuu...

READ MORE

Maajabu Ya Airbus A380-800 Yanayowashangaza Watu Duniani

Ndege ya Airbus A380-800 imeendelea kutajwa kuwa moja ya ndege kubwa na za kipekee kuwahi kutengenezwa duniani kutokana na ukubwa...

READ MORE

NMB Yaongeza Kasi ya Kufadhili Biashara za Mifugo

  Benki ya NMB imetoa zaidi ya Sh180 bilioni kufadhili wafugaji na biashara katika mnyororo wa thamani wa mifugo, ikiwemo...

READ MORE

Waziri Mkuu: Ufugaji Wa Kisasa Ni Jawabu La Migogoro Ya Wakulima Na Wafugaji

WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafugaji nchini kuanzisha mashamba ya malisho na kutumia teknolojia za kisasa za ufugaji ili...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada kwa Hospitali ya Kinondoni Kupitia Programu za CSR

Meridianbet imeonesha upendo wa kweli kwa jamii kupitia mchango wake katika Hospitali ya Kinondoni, ikiwa ni sehemu ya programu zake...

READ MORE

Kim Kardashian Aonyesha Nguvu ya Utajiri Wake wa Mabilioni

Nyota wa vipindi vya Televisheni na mjasiriamali, Kim Kardashian, anaendelea kuishi maisha ya kifahari yanayoakisi utajiri wake unaokadiriwa kufikia dola...

READ MORE

Jumba la Sultan wa Brunei Lavunja Rekodi Duniani, Lina Vyumba 1,788 na Mabafu 257

Jumba la kifalme la Istana Nurul Iman, makazi rasmi ya Sultan Hassanal Bolkiah, linakadiriwa kuwa na thamani ya dola bilioni...

READ MORE

Mabaunsa Wavamia Nyumba Ya Mjane Wa Mchungaji Mtikila, Kisa Mkopo Wa Milioni 250 Aliomdhamini Mtu – Video

Nyumba ya mjane wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Bi. Georgia Christopher Mtikila, iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, imekumbwa...

READ MORE

Bilionea Mulokozi Asimulia Uchungu wa Kumpoteza Mfanyakazi Wake Tegemeo Silayo – Video

Bilionea Mulokozi amefunguka kuhusu majonzi aliyoyapata baada ya kumpoteza mmoja wa wafanyakazi wake muhimu, Goodluck Didas Silayo, aliyefariki dunia kufuatia...

READ MORE

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo...

READ MORE

Serikali Yakiri Shule Iliyojengwa na NMB Ina Viwango

Serikali imeipongeza NMB Bank Plc kwa kujenga shule ya sekondari ya bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu wilayani Bahi, mradi...

READ MORE

Fahamu Tunda la Zabibu Linavyosaidia Moyo, Ubongo na Ngozi

Zabibu ni miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi vinavyosaidia kuimarisha afya ya mwili. Hapa ni baadhi ya faida zake: 1....

READ MORE

Rais wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah Kuwasili Tanzania Kesho

Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania Juni 19, 2026 kwa ziara ya kitaifa, ikiwa ni ziara yake...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Asafiri kwa SGR Kutoka Dodoma hadi Dar – Picha

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo Alhamisi Juni 18, 2026, amesafiri kwa treni ya kisasa ya Standard Gauge Railway...

READ MORE

Fahamu Majabu 7 Usiyoyajua ya Papai kwa Afya ya Binadamu

PAPAI ni tunda linalopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu na faida zake nyingi kiafya. Tunda hili hupatikana...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Amtembelea John Malecela Dodoma

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, akiwa ameambatana na mkewe, Bi. Neema Nchemba, wamemtembelea Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela, nyumbani kwake jijini...

READ MORE

Video: Shamsa Ford Azua Gumzo Baada ya Kuonekana Akilia na Kudai Talaka

Staa wa filamu za Bongo Movie, Shamsa Ford, amezua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kusambaza video inayomuonyesha akiwa katika hali...

READ MORE

Watu 17 Wajeruhiwa Katika Shambulio la Ukraine Moscow

Jiji kuu la Urusi, Moscow, limekumbwa na kile kinachotajwa kuwa moja ya mashambulizi makubwa zaidi tangu kuanza kwa vita kati...

READ MORE

Trump Atetea Kuachiliwa kwa Mali za Iran Zilizozuiwa Nje ya Nchi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametetea mpango wa kuachia sehemu ya mali za Iran zilizozuiwa nje ya nchi, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Trump na Rais wa Iran Wasaini Makubaliano ya Kusitisha Mvutano

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wamesaini Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MOU) inayolenga kupunguza...

READ MORE

Wakili wa Besigye Ashtakiwa kwa Kosa la Uhaini Uganda

Meya wa zamani wa Kampala na wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, Erias Lukwago, amefikishwa mahakamani na...

READ MORE

Mwigulu: Hakuna Ubaguzi wa Huduma za Afya Kati ya Bara na Zanzibar – Video

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amesema huduma za afya zinazotolewa nchini hazibagui wananchi kwa kuzingatia upande wa Muungano wanaotoka,...

READ MORE

Arnold Schwarzenegger Aibuka na Mpenzi Wake Baada ya Miaka 14 ya Mahusiano

Mwigizaji maarufu wa filamu, Arnold Schwarzenegger na mpenzi wake wa muda mrefu Heather Milligan wameonekana pamoja hadharani katika tukio nadra...

READ MORE

Waziri Sangu Awahimiza Waajiri Nchini Kutoa Mikataba ya Ajira kwa Wafanyakazi Wao

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao...

READ MORE

Mahakama Yaruhusu Benki Kuuza Mali za Marehemu Hans Poppe Kulipa Deni la Bilioni 7.4 za

Kitengo cha Biashara cha Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam kimeruhusu Benki ya Biashara Tanzania (TCB) kuendelea na...

READ MORE

Mexico na South Korea Kukutana Katika Vita ya Kuongoza wa Kundi A

Mchezo wa mashindano ya Dunia 2026 kati ya Mexico na South Korea utakaochezwa usiku wa kuamkia Juni 19 saa 04:00...

READ MORE

Waitara: Viongozi Wanaowagawa Wananchi Wachukuliwe Hatua – Video

Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara, ametoa wito kwa viongozi nchini kuwa waangalifu na kauli...

READ MORE

G7 Yarejea Kujadili Vita vya Ukraine Baada ya Mgogoro wa Iran

Donald Trump amesema Marekani inaweza kurejesha vikwazo dhidi ya usafirishaji wa mafuta ya Russia katika siku za karibu, huku viongozi...

READ MORE

Mbunge Shadya Akemea Mijadala ya Muungano Inayoweza Kuligawa Taifa

Mbunge wa Viti Maalum Kaskazini Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shadya Haji Omar, leo Juni 17, 2026, amechangia mjadala...

READ MORE

TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Watumishi 9 Geita Tuhuma za Ubadhirifu Milioni 90

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za...

READ MORE

Rais wa Equatorial Guinea Avunja Serikali Yake Baada ya Kushindwa Kufikia Malengo

Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ameivunja Serikali yake baada ya kubaini kuwa imeshindwa kutekeleza majukumu yake na...

READ MORE