×

Habari

Israel Yafichua Mpango Mpya wa Kumuua Trump Kutoka Iran, Mvutano Waongezeka

Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kijasusi kuhusu mpango mpya na maalum unaodaiwa kuandaliwa na Iran wa kumuua Rais wa Marekani,...

READ MORE

Harmonize na Kajala Waonekana Pamoja Baada ya Tetesi za Kuachana

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Music Worldwide, Harmonize, ameibua hisia usiku wa kuamkia leo Julai...

READ MORE

Marekani Yaripotiwa Kushambulia Karibu na Kinu Pekee cha Nyuklia cha Iran

TEHRAN – Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti kuwa Marekani imefanya mashambulizi yaliyolenga maeneo ya pembezoni mwa kinu...

READ MORE

Mwanamitandao wa Ghana Apelekwa Marekani Kujibu Tuhuma za Ulaghai wa Kimapenzi

Mtengeneza maudhui maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Ghana, Frederick Kumi, anayejulikana zaidi kwa jina la Abu Trica, amesafirishwa kwenda...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 10, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Saudi Arabia Yatuhumiwa Kutuma Mamluki Somalia Kuwapa Mafunzo Wapiganaji

Ripoti kutoka kwa vyombo vya habari na vyanzo vya kijeshi zimedai kuwa Saudi Arabia ilisimamia mafunzo ya wapiganaji wa Somalia...

READ MORE

Trump Adai Iran Inataka Kufanya Makubaliano Haraka Sana

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imewasiliana naye ikitaka kufikia makubaliano mapya, ikiwa ni mabadiliko makubwa ikilinganishwa na...

READ MORE

Dkt. Mwinyi na Othman Masoud Waandika Historia Mpya ya Maridhiano Zanzibar -Video

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo...

READ MORE

Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uungwana haupaswi kuzaa kiburi wala kutoweka nafasi ya...

READ MORE

Marekani Yaongeza Mashambulizi Dhidi ya Iran Kufuatia Shambulio la Meli za Kibiashara

Jeshi la Marekani limetekeleza mashambulizi mapya dhidi ya Iran usiku wa kuamkia leo Julai 9, 2026 baada ya meli tatu...

READ MORE

READ MORE

Madarasa Mapya, Matumaini Mapya: Uwekezaji Ulivyobadili Mazingira ya Kujifunzia Shule ya Msingi Orng’adida

Babati, Manyara – Kwa miaka kadhaa, wanafunzi wa Shule ya Msingi Orng’adida iliyopo katika Kata ya Quash, Wilaya ya Babati...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM Nchini Ufaransa

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo...

READ MORE

Ndege ya Mizigo Ya Pakistan Boeing 737 Yapoteza Mawasiliano Baharini

Ndege ya mizigo iliyosajiliwa nchini Pakistan aina ya Boeing 737 imetoweka baada ya kupoteza mawasiliano na waongozaji wa safari za...

READ MORE

Mwili wa Ali Khamenei Wawasili Iraq, Maelfu Washiriki Msafara wa Mazishi

NAJAF, Iraq: Maelfu ya waombolezaji walijitokeza Jumatano katika mji mtakatifu wa Najaf nchini Iraq kushiriki msafara wa mazishi ya aliyekuwa...

READ MORE

Trump Aamuru Mashambulizi Makali Baada ya Iran Kulenga Vituo vya Marekani

ANKARA, Uturuki: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran “yamefikia mwisho”...

READ MORE

Mixx yakabidhi zawadi kwa washindi watatu maonesho ya Sabasaba

Kampuni ya Mixx imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu wamekabidhiwa...

READ MORE

Rais Mnangagwa Aongezewa Muda wa Kuongoza Zimbabwe Hadi 2030 Baada ya Kusaini Sheria Mpya

HARARE, Zimbabwe: Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesaini kuwa sheria muswada unaomruhusu kuendelea kubaki madarakani hadi mwaka 2030, baada ya...

READ MORE

Marekani Yarudisha Vikwazo kwa Mauzo ya Mafuta ya Iran Baada ya Mashambulizi ya Meli Hormuz

WASHINGTON: Serikali ya Marekani imerejesha vikwazo dhidi ya mauzo ya mafuta ya Iran kufuatia mashambulizi yaliyolenga meli za kibiashara katika...

READ MORE

Wakulima Tanzania Kunufaika na Mkopo Mkubwa wa Kilimo Kutoka Japani

Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Japani kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japani (JICA) umefungua...

READ MORE

Godbless Lema Avunja Ukimya Mjadala wa Degree na Kufua Boxer

Kufuatia mjadala uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kauli ya mtumishi wa Mungu Rose Shaboka kuhusu mwanamke mwenye shahada...

READ MORE

Iran Yashambulia Vituo vya Kijeshi vya Marekani Bahrain na Kuwait, Bei ya Mafuta Yapanda

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka tena baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) kudai kushambulia...

READ MORE

Rais Samia na Dk. Mwinyi Kutingisha Kizimkazi Festival 2026

Zanzibar: Kaulimbiu ya “Kizimkazi Kumenoga!” ndiyo inayobeba Tamasha la Kizimkazi 2026, litakalofanyika kuanzia Agosti 12 hadi 14 katika Wilaya ya...

READ MORE

Waziri wa Ujerumani Aitaka Lebanon Kudhibiti Hezbollah, Aunga Mkono Mazungumzo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Ujerumani, Johann Wadephul ameitaka serikali ya Lebanon kuchukua hatua madhubuti dhidi ya...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Norway Yanayowashangaza Watalii Duniani

Norway ni miongoni mwa mataifa yanayotajwa kuwa na kiwango cha juu cha maisha duniani. Iko kaskazini mwa bara la Ulaya...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta Njia Mpya za Kueneza Kiswahili Duniani

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuna umuhimu wa kubuni mbinu mpya za kukieneza Kiswahili duniani baada ya...

READ MORE

RC Chalamila Atembelea Banda la Yas Sabasaba, Apongeza Suluhisho za Kidijitali kwa Watanzania

Dar es Salaam, Julai 7, 2026 – Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametembelea banda la Yas...

READ MORE

CMSA: Mafanikio ya iTrust Ni Habari Njema kwa Uchumi wa Tanzania

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA. Nicodemus Mkama amesema mafanikio ya asilimia 760.78,...

READ MORE

Polisi Yatoa Tamko Hali ya Usalama Nchini, Yawataka Wananchi Kuendelea na Shughuli Zao

Jeshi la Polisi Tanzania limesema hali ya usalama nchini inaendelea kuwa shwari, huku likiwahakikishia wananchi na wageni waliopo nchini kuwa...

READ MORE

Video: Kamanda Muliro Afunguka Sababu ya Polisi Kushirikiana na JWTZ Dar

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi...

READ MORE

Mbappé Amshambulia Seneta wa Paraguay kwa Kauli za Kibaguzi

Kylian Mbappé amemkosoa vikali seneta wa Paraguay, Celeste Amarilla, kufuatia kauli alizozieleza mitandaoni ambazo zimeelezwa kuwa za kibaguzi baada ya...

READ MORE

Shigongo Amtembeza Mbunge wa Norway Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar Kuitangaza Tanzania

Mbunge wa Jimbo la Buchosa,  Erick Shigongo, amemualika Mbunge wa Bunge la Norway, Himanshu Gulati, kutembelea Tanzania ili kujionea vivutio...

READ MORE

Trump Ataka Makubaliano, Aonya Hatua za Kijeshi Dhidi ya Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa Washington iko tayari ama kufikia makubaliano ya kidiplomasia au kuchukua hatua kali...

READ MORE

Kwa Nini Mwili wa Ali Khamenei Kupitishwa Iraq Kabla ya Mazishi ya Mwisho?

Kupitishwa kwa mwili wa aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, kupitia Iraq kabla ya mazishi ya mwisho kunatajwa kuwa...

READ MORE

Fahamu Kiumbe Cha Bahari Chenye Siri Nyingi Za Kushangaza, Soma Hapa

Pweza ni kiumbe cha baharini chenye maajabu mengi ikiwemo kuwa na mioyo 3 ambapo moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu...

READ MORE

Mwigulu Awalika Wafanyabiashara Wa Ufaransa Kuwekeza Tanzania

WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewaalika wafanyabiashara kutoka Ufaransa waje kuwekeza nchini Tanzania kwani ina fursa ya kutengeneza ajira, kuhamisha...

READ MORE

Haya Hapa Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu 2026 Yaliyotangazwa na NECTA leo – Video

 Baraza la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo Jumatatu Julai 6, 2026, limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato...

READ MORE

Rais Samia Awajulia Hali Sheikh Rashid na Pacome Hospitali ya Aga Khan Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametembelea Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam kwa...

READ MORE

Maelfu Wafurika Mitaani Tehran Kuaga Mwili wa Ayatollah Ali Khamenei- (Picha +Video)

Msafara wa mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei,  leo Julai 6, 2026 umepitia mitaa ya mji...

READ MORE

Video: Polisi Yafichua Mpango wa Siri wa Kuvuruga Amani Nchini

Jeshi la Polisi Tanzania limefichua kuwepo kwa mipango ya siri ya vikundi vya watu wachache wanaotumia mitandao ya kijamii kuhamasisha...

READ MORE