×

Habari

Serengeti Apple Yaongoza Shamrashamra Za Siku Ya Valentine  Dar 

Serengeti Breweries Limited (SBL) imeendelea kuimarisha mkakati wake wa ubunifu wa kupitia Serengeti Premium Apple  kinywaji chake kipya kilichotengenezwa hapa...

READ MORE

Rais Samia Akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika 2026 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed,...

READ MORE

Rich Mitindo Amzawadia Jackline Wolper Magari Mawili ya Kifahari Valentine

Mfanyabiashara na mwanamitindo maarufu, Rich Mitindo, amewaacha wengi midomo wazi baada ya kumzawadia mke wake, Jackline Wolper, magari mawili ya...

READ MORE

Kamati ya Bunge; OSHA Italipunguzia Taifa Mzigo wa Fidia na Matibabu

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imesema utekelezaji madhubuti wa majukumu ya Wakala wa Usalama...

READ MORE

Kwaresma 2026: Ratiba Rasmi ya Jumapili, Alhamisi Kuu na Pasaka… Ipo Hapa

Safari ya Kwaresma ni kipindi cha toba, sala na tafakari kinachoandaa waumini kuadhimisha Ufufuko wa Kristo. Hiki ni kipindi muhimu...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Awasili kwenye Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akagua na Kufungua Jengo la ICU Handeni

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 13, 2026, amekagua na kufungua Jengo la ICU katika Hospitali ya Halmashauri ya...

READ MORE

Rais wa CAF Awasili Tanzania Kuhudhuria Mkutano Muhimu wa Soka

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, amewasili rasmi nchini Tanzania asubuhi ya leo kwa...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu wa Serikali “Tunasogeza Huduma za Kisheria Karibu Zaidi na Wananchi”

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa...

READ MORE

Shigongo Awahimiza Vijana Kujiamini na Kutumia Vipaji vyao Kujiletea Maendeleo – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka vijana wa Kitanzania kujiamini na kuthamini vipaji walivyopewa, akisisitiza kuwa kila mmoja ana uwezo...

READ MORE

Mbeto: Siku 100, Siyo Penalti Ya Mwisho Kwa Rais Samia, Ampa Tano Rais Mwinyi

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Utikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, amesema Mafanikio katika kuwaletea...

READ MORE

Trump Aipa Iran Mwezi Mmoja Kufikia Makubaliano ya Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali zaidi kwa Serikali ya Iran, akitaka pande hizo mbili zifikie makubaliano ya...

READ MORE

Tanzania Creator’s Awards 2026: Washindi Watikisa Ukumbi wa Mlimani City (Picha +Video)

 USIKU wa kuamkia leo Februari 13, 2026, burudani ilihamia rasmi katika ukumbi wa Mlimani City Conference Centre, ambapo hafla...

READ MORE

Usikose! Bashiri na Meridianbet Ushinde Samsung A26 Leo

Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia...

READ MORE

Benki Ya Exim Kuwa Mdhamini Mkuu Wa Z Summit 2026

Benki ya Exim Tanzania imedhihirisha tena dhamira yake ya muda mrefu katika kuchochea ukuaji na ustawi wa sekta ya utalii...

READ MORE

Ushindi Upo Meridianbet Ukicheza Super Heli Premium

Meridianbet Tanzania imeizindua rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino ulioundwa kwa kasi, maamuzi ya haraka na malipo yanayoweza kubadilisha...

READ MORE

Bibi wa Miaka 88 Afanya Safari ya Ndege ya Kwanza Kutimiza Ndoto Yake ya Maisha

La Crosse – Chicago, Februari 8, 2026 – Bibi Frances Dahlke, mwenye umri wa miaka 88, amepata zawadi ya kipekee...

READ MORE

Rais Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Bole,...

READ MORE

Hafla ya Tuzo za Tanzania Creator Kufanyika Leo Mlimani City

Dar es Salaam – Leo Alhamisi, Februari 12, 2026, macho na masikio ya wadau wa burudani yameelekezwa katika Ukumbi wa...

READ MORE

Kamisheni ya Utalii Zanzibar Yatoa Mwongozo Maalum Kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Zanzibar – Kamisheni ya Utalii Zanzibar imewataka watalii, wafanyabiashara pamoja na wadau wote wa sekta ya utalii visiwani humo kuheshimu...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Ataka Ushirikiano Wa Kikanda Kwenye Mapambano Dhidi Ya Saratani

▪Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika ▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya...

READ MORE

Lissu Alalamikia Kutopatiwa Chakula, Kesi Yaahirishwa Kwa Muda

Dar es Salaam – Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa muda wa dakika 15...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Tanzania Kwenda Addis Ababa Kuhudhuria Mkutano wa AU

Dar es Salaam, Februari 12, 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekiagana na...

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa Serengeti, Mtuhumiwa Auwawa na Wananchi

Wakazi wa Kijiji cha Rung’abure, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamekumbwa na tukio la kusikitisha la mauaji ya watoto wawili...

READ MORE

Diamond Platnumz Aachia Video Mpya ya ‘Natulizana’

Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameachia video ya...

READ MORE

Tanzania na Urusi Zakubaliana Kuimarisha Biashara, Nishati na Madini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya ziara ya kikazi nchini...

READ MORE

Ujio Wa Kalamba Games Wazigeuza Sloti Kuwa Safari Ya Burudani Na Ushindi

Vipi kama kila mzunguko wa sloti ungekuwa mwanzo wa safari mpya? Meridianbet sasa inakupa fursa hiyo baada ya kuwakalibisha Kalamba...

READ MORE

Rais Mnangagwa Apendekezewa Mfumo Mpya wa Uchaguzi Kupitia Bunge

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba, hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83)...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 12, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Rais Samia Ateua Wenyeviti wa Bodi Anne Makinda, Prof Maboko Na Wengine 3 -Video

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi mbalimbali za taasisi...

READ MORE

RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameeleza kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi ya BRT phase...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaendelea Kukuza Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA

Morogoro, 12 Februari 2026 Kampuni ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA...

READ MORE

Nmb Yadhamini Maonesho ya Tri-Nations Livestock Expo Kwa Mil 300, Serikali Yaipongeza

Benki ya NMB imekabidhi mfano wa hundi yenye dhamani ya Sh. Mil. 300 kama uzamini wa miaka 3 ya Maonesho...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akabidhi miundombinu 21 ya utalii ya Shillingi billioni 114

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62. Amesema ujenzi...

READ MORE

Yanga Watangaza Viingilio vya Mchezo wa CAFCL Dhidi ya JS Kabylie Zanzibar

Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetangaza rasmi viingilio vya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya...

READ MORE

OSHA Yaja na Mpango wa Kuwezesha Biashara na Uwekezaji Nchini

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, akizungumza na washiriki wa kikao kazibaina ya OSHA na Maafisa Biashara wa Mikoa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Mapingamizi 3 ya Lissu, Lakubali Hoja Kuhusu Kizimba cha Shahidi wa Siri

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali mapingamizi matatu kati ya manne (4) yaliyowasilishwa na...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yaipongeza Tarura Kwa Kuimarisha Barabara, Kuokoa Maisha ya Wananchi

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Selemani Kakoso ameipongeza Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Uwanja wa Ndege Mtemere Mloka Mkoani Pwani

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 11, 2026 amezindua uwanja wa ndege Mtemere uliopo katika kijiji cha Mloka, mkoani...

READ MORE