×

Habari

Mama wa Chid Benz Afariki Dunia, Msiba Upo Chanika jijini Dar

Mama mzazi wa msanii wa Hip Hop, Rashid Makwilo almaarufu Chid Benz, Bi Hawa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Scholes Aishauri Man United Kumsajili Cristian Romero Kutoka Tottenham

Nguli wa Manchester United Paul Scholes ameishauri klabu yake ya zamani kufanya usajili wa beki wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero,...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Kuzindua Miundombinu ya Kisasa ya Utalii Hifadhi ya Nyerere

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 11, 2026, ameelekea katika Hifadhi ya Taifa...

READ MORE

TEMESA Yatangaza Nafasi 6 za Meneja wa Kanda, Maombi Mwisho Februari 20

Kwa niaba ya Wakala wa Huduma za Ufundi za Umeme, Mitambo na Elektroniki Tanzania (TEMESA), Ofisi ya Rais – Sekretarieti...

READ MORE

Vera Sidika Afunguka Kuwa Single, Avutiwa na Wanaume wa Tanzania

Mrembo na staa wa mitandao ya kijamii kutoka Kenya, Vera Sidika (@queenveebosset), ameweka wazi hali yake ya mahusiano, akithibitisha kuwa...

READ MORE

Rashford Aondoka Rasmi kwenye Mipango ya United, Carrick Aweka Msimamo Wazi

Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi...

READ MORE

Historia ya Mazda Familia Van – Kutoka Mazda Asili hadi Toyota Probox

  Mazda Familia Van — Muhtasari wa Historia 1. Mwanzo wa Familia Van (Miaka ya 1960) Mazda Familia ilianza kama...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aongoza Kikao Cha Kamati Ya Kitaifa Ya Afcon 2027

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027)...

READ MORE

Samsung Imezindua Maduka Mapya Ya Brand Store Kunduchi Na Ubungo

Ikionyesha Uzoefu Kamili wa Wateja wa Samsung Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi...

READ MORE

Ferrari Yatoa Jina la Gari Lake la Kwanza la Umeme “Luce” – Video

Ferrari imevunja utulivu wa wapenzi wa magari na tech baada ya kutangaza rasmi jina la gari lake la kwanza la...

READ MORE

Mwanachuo Mwaka wa Kwanza Mbaroni Kwa Kusafirisha Dawa Za Kulevya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne ambao ni Wilfred Komba, miaka 24, Mwanachuo mwaka wa kwanza katika...

READ MORE

Video: Ndugu Wa Familia Moja Washikiliwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia ndugu wa familia moja wakazi wa Busoka–Masebe kwa tuhuma za kumuua Jenti Segelela...

READ MORE

Usajili Kili Marathon Wakaribia Kufungwa

Usajili wa Kilimanjaro International Marathon 2026 unakaribia kufungwa · Wandaaji wataja tarehe na vituo vya kuchukulia namba za ushiriki. Ikiwa...

READ MORE

Pareso Asisitiza Ushirikishwaji wa Wananchi Sheria Ndogo Serikali za Mitaa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe Cecilia Daniel Paresso amesisitiza ushirikishwaji wa wananchi wakati wa...

READ MORE

Polisi Watangaza Kununua Mbwa Wapya Kuboresha Usalama!

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amesema Jeshi la Polisi litaendelea kuweka jitihada za kununua mbwa wapya...

READ MORE

Mgahawa wa Maarifa Waibua Mjadala Mpana Kuhusu Tabianchi Jinsia na Haki za Afya ya Uzazi

Kawe, Kinondoni – Februari 7, 2026 Jamii ya Kata ya Kawe, Wilaya ya Kinondoni, imekutana katika mdahalo wa kipekee kujifunza...

READ MORE

Canon Europe Yaendeleza Ushirikiano na Infocus Studio Kupitia Ziara Rasmi

Infocus Studio imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Canon kupitia ziara rasmi ya uongozi kutoka Canon Europe. Ziara hiyo iliongozwa na...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Ikulu, Afafanua Sababu za Kumhamisha Waziri Salum (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Video: Polisi Wanawatafuta Wanawake Waliompiga Mwenzao Kwa Mwiko

  Jeshi la Polisi limetangaza kuanza uchunguzi kuhusiana na picha mjongeo (video) inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, ikiwaonyesha wanawake wawili...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaaahirishwa hadi Feb. 11, 2026

Kesi ya uhaini No. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea leo, Jumatatu...

READ MORE

Rais Samia: Maamuzi Yangu Yanalenga Kulinda Maslahi ya Taifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Iran Yawakamata Viongozi Wanne Wanaodaiwa Kujihusisha Na Vurugu

Iran imewakamata viongozi wanne wa kisiasa wenye mwelekeo wa mageuzi, akiwemo katibu mkuu wa chama cha reformist na aliyewahi kuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Kituo Kikubwa Cha CNG Puma Energy 

Februari 9, 2026: Puma Energy Tanzania imezindua rasmi Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) kilicho kikubwa na cha kisasa...

READ MORE

Prof. Shemdoe Akutana na Wakuu Wapya Mikoa ya Kagera na Mtwara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana...

READ MORE

Kesi ya Lissu Kusikilizwa Siku 20 Mfululizo Mahakama Kuu – Video

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo katika Mahakama Kuu...

READ MORE

Rais Samia Kuwaapisha Viongozi Wapya Leo Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwaapisha viongozi mbalimbali walioteuliwa kushika nafasi tofauti serikalini...

READ MORE

Halmashauri ya Mwanga Yatangaza Nafasi 9 za Ajira kwa Watanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga ametangaza waziwazi fursa za ajira tisa (9) kwa Watanzania wenye sifa, baada...

READ MORE

Iran Yasema Haitaacha Kurutubisha Uranium Hata Itangazwe Vita

Iran imesisitiza kwa msimamo mkali kuwa haitaacha kurutubisha uranium, hata kama italazimika kukabiliana na vita, kauli inayozidisha mvutano wa kidiplomasia...

READ MORE

Video: Rais Samia Ataka Kujengwe Eneo La Kulea Watoto Sokoni Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametaka mbali na vyumba vya kunyonyeshea katika Soko la Kariakoo, kujengwe vyumba vya malezi ya...

READ MORE

Video: Rais Samia Awataja Mawinga Akizindua Soko La Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema anatambua juhudi za wafanyabiashara wadogo yaani machinga na mawinga katika kujitafutia kipato, ndiyo maana...

READ MORE

Majambazi Watatu Wauawa Simiyu Wakifyatuliana Risasi na Polisi

Watu watatu wamefariki dunia usiku wa kuamkia Februari 8, 2026, baada ya kuhusika katika majibizano ya risasi na Askari Polisi...

READ MORE

Rais Samia Azindua Soko La Kisasa la Kariakoo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 08 Februari, 2026, amezindua rasmi Soko...

READ MORE

Video: Gari Lililoibiwa Lakutwa Kwa Fundi Magari Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limefanikiwa kulikamata gari lililoibiwa aina ya Mitsubishi Outlander pamoja na mtuhumiwa mmoja, ambaye alikutwa...

READ MORE

Weka Dau Meridianbet Leo – Mechi Kibao, ODDS Kubwa, Mamilioni Yanakusubiri!

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu...

READ MORE

Pozi za Lulu Diva Zatibua Mtandao, Mashabiki Wakosa la Kusema

Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva (@luludivatz), ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kuonyesha kiwango kipya cha kujiamini...

READ MORE

Farhan Afunguka Mo Dewji Kuchafuliwa, Ishu ya Mangungu Kupigwa – Video

Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi...

READ MORE

Trump Atia Saini Amri ya Ushuru Mpya kwa Mataifa Yanayofanya Biashara na Iran

Washington, Marekani – Rais wa Marekani, Donald Trump, ametia saini amri mpya ya Rais (Executive Order) inayotishia kuyawekea ushuru wa...

READ MORE

Airtel Yazindua Maduka 4 ya Kisasa Zanzibar

Zanzibar, 10 Februari 2026.  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania leo inazindua rasmi maduka manne mapya ya kisasa...

READ MORE

Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta Julai mwaka huu kupitia EACOP

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Julai mwaka huu, huenda meli ya kwanza ikasafiri kutoka Tanga nchini Tanzania kusafirisha...

READ MORE

Watanzania Wawili Watuhumiwa Kujihusisha na Ugaidi Kenya

Mamlaka nchini Kenya zimetangaza kuwa Watanzania wawili ni miongoni mwa watu 13 wanaotuhumiwa kujihusisha na makosa ya kufadhili ugaidi katika...

READ MORE