×

Habari

Bakari Apiga Hatua, PigaBet Yampa Boda, Ndoto Yaanza

Muuzaji wa mishikaki jijini Dar es Salaam, Bakari Hamisi Bakari, ameanza safari mpya ya kiuchumi baada ya kujishindia boda boda...

READ MORE

Mchungaji Jesse Jackson Afariki Dunia Akiwa na Miaka 84

Mchungaji Jesse Jackson, mfuasi wa Martin Luther King Jr. na mgombea urais mara mbili nchini Marekani, ambaye aliongoza harakati za...

READ MORE

Mwigulu Aonya Watendaji wa Serikali “kuzoea” Matatizo ya wananchi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa anataka kuona kila fedha inayotolewa kwa ajili ya miradi ya maendeleo inatumika kama...

READ MORE

Mahakama Kuu Yafuta Matumizi ya Mashahidi wa Kificho Katika Kesi za Jinai

Mahakama kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Mwanza, imefutilia mbali utaratibu wa kutumia mashahidi wa kificho katika kesi za jinai...

READ MORE

Serikali Ya Urusi Yakiri Kuwepo Raia Wao Anayetrendi Kenya Kwa Video Chafu

  Serikali ya Urusi imekiri kuwepo kwa ripoti zinazomhusisha mwanamume mmoja raia wa Urusi anayedaiwa kurekodi matukio ya mapenzi ya...

READ MORE

Kesi Ya Mgawanyo Wa Mali Chadema, Mbivu Mbichi Ya Lissu Leo

Kesi ya mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohammed na wenzake wawili...

READ MORE

Aziz Ki Amzawadia Hamisa Gari ya G-Wagon ya Milioni 300

Kiungo nyota wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye hivi karibuni ameondoka Wydad Athletic Club na kujiunga na Al Ittihad...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aahidi Maboresho Makubwa Bandari ya Tanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara maalum katika Bandari ya Tanga Februari 16, 2026, akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kufanya...

READ MORE

Odds Kibabe Zipo Hapa! Bashiri na Meridianbet Leo

Ligi ya mabingwa Barani Ulaya inazidi kurindima ambapo mechi za Play OFFS zitapigwa siku ya leo. Ingia kwenye akaunti yako...

READ MORE

Mzee Hiza Wa ‘Tanzania Yetu’ Afariki Dunia

Msanii mkongwe wa muziki Tanzania, Mzee Hiza, mtunzi na mwimbaji wa wimbo maarufu wa “Tanzania Yetu”, amefariki dunia. Mzee Hiza...

READ MORE

Miaka Kumi Na Sita Ya Mafanikio Ya Simu Za Samsung Galaxy 

Kwa zaidi ya miaka kumi na sita, simu za Samsung Galaxy S zimepitia mabadiliko makubwa. Galaxy S ya kwanza ilizinduliwa...

READ MORE

Burkina Faso Yashirikishwa Mbinu Bora za Utunzaji Mazingira na Ufugaji Migodi Tanzania

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amekutana na...

READ MORE

Aggy Simba Aibua Mjadala Kuhusu Hatma ya Simba Msimu Huu – Video

Shabiki wa soka nchini, Aggy Simba ameeleza kuwa Simba hii ni Simba ambayo ipo vibaya kwa msimu huu. Sababu zinazoweza...

READ MORE

Marekani Kuunga Mkono Shambulio la Israel Vs Iran, Mazungumzo ya Nyuklia Yafeli

  Rais wa Marekani Donald Trump alimwambia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwezi Desemba kwamba angeunga mkono mashambulizi ya...

READ MORE

Exim Yatangaza Washindi wa Kampeni ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’ na Kufanya Makabidhiano ya Zawadi

Benki ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’ kwa hafla ya kukabidhi zawadi kwa...

READ MORE

Mawaziri Wakutana Lushoto Kutafuta Suluhu ya Migogoro ya Wananchi Tanga

  Mawaziri saba (7) wa kisekta  wakiwa na mwenyeji wao ambaye ni Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. ...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aongoza Zoezi la Kutoa Huduma za Kisheria Kwa Wananchi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kutoa huduma za ushauri wa Kisheria kwa wananchi...

READ MORE

Video: Ghasia Zaibuka Israel, Waandamanaji Wakabiliana Na Polisi

    Ghasia kubwa zililipuka katika mji wa Bnei Brak, Israel, baada ya waandamanaji wa jamii ya Kiyahudi wa Kiharedi...

READ MORE

Bolt Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kamisheni Na Punguzo La Nauli Kwenye Mfumo Wake 

Dar es Salaam, Februari 16, 2026, Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafiri mtandao nchini, Bolt, imekutana na waandishi wa habari...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Akagua Mradi wa Maji – Korogwe, Tanga

WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amekagua Mradi wa Maji wa Miji 28 unaoendelea kujengwa wilayani Korogwe mkoani Tanga kwa thamani...

READ MORE

Arsenal Yasasa Sio Ajali, Ni Kiwango Bora Walichonacho

Je unajua kuwa Arsenal mpaka hapa walipofika si kwa bahati mbaya?. Haya ni matokeo ya uwekezaji mkubwa ambao wamefanya kwenye...

READ MORE

RC Chalamila Azindua Kliniki ya Sheria Jijini Dar es Salaam

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imezindua Kamati...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Bentley: Magari ya Kifahari Yanayovutia Wapenzi wa Kasi

Bentley Continental GT inatengenezwa na Bentley Motors, kampuni ya magari ya kifahari yenye makao yake makuu huko Crewe, Uingereza. Kwa...

READ MORE

Diamond Ashangaza Mashabiki kwa Kumpongeza Kiredio na Vee Dollarz

Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Diamond Platnumz, ameshangaza mashabiki wake baada ya kumpongeza mtangazaji...

READ MORE

NMB Yaitangaza Sekta ya Madini ya Tanzania Nchini Afrika Kusini

Waziri wa Madini wa Tanzania, Anthony Mavunde, akizungumza wakati wa Kongamano la Uwekezaji katika Mnyororo wa Thamani wa Madini Tanzania,...

READ MORE

Rais Samia Awasili Zanzibar Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU

Rais wa Samia Suluhu Hassan, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume...

READ MORE

TRA Yaanza Kutekeleza Maagizo ya Rais Samia Karatu

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi Ya Tanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 15, 2026 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa miundombinu ya Chuo Kikuu...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka Kiwanja che Ndege cha Kimataifa cha Bole, Addis...

READ MORE

Polisi Inawasaka Waliomrekodi Mtoto Akivuta Sigara

Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi baada ya kusambaa kwa picha mjongeo mtandaoni inayomuonesha mtoto mdogo wa kiume akihamasishwa kuvuta sigara....

READ MORE

Airtel Yafungua Maduka 4 ya Kisasa Mkoani Arusha 

Arusha. Kampuni ya Airtel Tanzania imefungua maduka manne mapya ya Smart Shop katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya...

READ MORE

Yanga Yaanza Safari ya Historia kwa Ujenzi wa Uwanja Mpya

Yanga SC imetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujenga uwanja wake wa kisasa baada ya kumaliza mchakato wa zabuni na kuchagua...

READ MORE

Msajili Atangaza Uchaguzi wa CUF 2024 Batili, Aagiza Urudiwe

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imetangaza kuwa matokeo ya Uchaguzi wa Viongozi wa Kitaifa wa Chama cha...

READ MORE

Gari la Maajabu: Fahamu 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD

Katika ulimwengu wa magari ya kisasa, 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD imejitokeza kama chaguo la kisasa kwa familia, wapenzi...

READ MORE

Mvutano wa Nyuklia Wazidi Kupamba Moto Kati ya Washington na Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, siku ya Ijumaa alikiri kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa hatua muhimu, akisema...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Ashiriki Ufunguzi wa Mkutano wa AU Addis Ababa

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, katika nafasi zake za Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Elimu Duniani – Global...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Mradi wa Maji Kwamaligwa – Kilindi, Tanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 14, 2026 amekagua mradi wa maji wa Kwamaligwa uliopo wilaya ya Kilindi Mkoani...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Fimbo za Kutembelea kwa Watu Wasioona Dar

Meridianbet Tanzania imeandika historia nyingine ya uwajibikaji kwa jamii kwa kukabidhi msaada wa fimbo za kutembelea kwa watu wenye ulemavu...

READ MORE

Bahati Inapenda Wenye Ujasiri, Bashiri Sasa na Meridianbet

Siku ya leo huenda ikawa ni bahati kwako endapo ukibashiri na Meridianbet ambao ndio wakali wa ubashiri Tanzania. Bahati hii...

READ MORE

Meridianbet Yajivunia Miradi Zaidi 500 Ya Ustawi wa Jamii

Katika hafla ya chakula cha usiku ya American Chamber of Commerce (AmCham Tanzania), Meridianbet ikisimama kama moja ya washiriki wakubwa...

READ MORE