×

Habari

Meya wa Kinondoni na Kinamama wa Sweet Tanzania Spice Walivyochangia Damu

    MEYA wa Manispaa ya Kinondoni, Dar Songoro Mnyonge ameungana na kinamama wa wajasiriamali wa kikundi cha Sweet Tanzania...

READ MORE

Wawekezaji Wawekewe Mazingira Mazuri, Wakiondoka Itakuwa Aibu Kwetu Tanzania

WAKATI kukiwa na ongezeko la bei ya mafuta katika nchi nyingi Tanzania ikiwamo, huenda mitandao ya usafirishaji kama Uber, Bolt,...

READ MORE

Urusi Yakamilisha Kuyaondoa Majeshi Yake Kutoka Kyiv na Chernihiv, Marekani Wafunguka

Maafisa wa idara ya ulinzi ya Marekani wamesema kuwa hatua ya Urusi kujiondoa katika mikoa ya Kyiv na Chernihiv sasa...

READ MORE

Spika wa Bunge la Tanzania Ahudhuria Mazishi ya Spika wa Bunge la Uganda

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson,  ameshiriki ibada ya kitaifa ya kuaga mwili...

READ MORE

Live: Majaliwa Aja Na Mambo 8 Bajeti Mpya, Kizungumkuti Bei Ya Mafuta, Samia Azidi Kuibana MSD…

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Moto Wateketeza Eneo la Kuhifadhia Mafuta Ghafi Kigamboni, Dar – Video

MOTO uliolipuka ghafla Jumatano Aprili 6, 2022 umeteketeza eneo la kuhifadhia mafuta ghafi linalomilikiwa na Mamlaka ya Bomba la Mafuta...

READ MORE

Tarura Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Faini za Wakwepa Kodi za Maegesho

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) unapenda kuwataarifu wananchi kuwa umeanza rasmi kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho...

READ MORE

DC Jokate Azindua Tawi Jipya la Tcb, Atoa Mwelekeo wa Serikali

  Benki ya Taifa ya Biashara (TCB) imeongeza uwepo wake jijini Dar es Salaam kwa kufungua tawi la 12 katika...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro Afanya Uhamisho wa Makamanda

MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko ya baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa...

READ MORE

Rais Samia: Serikali Kumwaga Magari ya Wagonjwa 258 Nchi Nzima

RAIS  Samia Suluhu Hassan amesema magari ya wagonjwa 233 ya kawaida yanatarajiwa kumwagwa Tanzania nzima, huku mengine 25 zenye hadhi...

READ MORE

Waamuzi Nane Kutoka Afrika Kuchezesha Mechi za Kombe la Dunia Nchini Qatar

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza orodha ya waamuzi watakaochezesha mechi za michuano ya Kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza Novemba...

READ MORE

Sasa Rasmi Nato Yaingilia Vita ya Ukraine, Yatuma Zana Angamizi za Kivita

  UMOJA wa kujihami wa nchi za magharibi NATO umeingilia vita kati ya Ukraine na Urusi kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Onyo Kwa Wafanyabiashara Wanaopandisha Bei za Bidhaa Kiholela

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi wazalishaji na wafanyabiashara wa bidhaa muhimu kutopandisha bei za vitu kiholela bila utaratibu na hatua...

READ MORE

Mchungaji Aanguka na Kufa Kanisani Wakati Akihubiri Kuhusu Wachawi

Tukio la kusikitisha limetokea katika Kanisa la Evangelical Winning All (ECWA) nchini Nigeria baada ya shemasi kuanguka ghafla na kufariki...

READ MORE

AXIAN Telecom na Rostam Wakamilisha Mchakato wa Kumiliki Kampuni za Mawasiliano

    MUUNGANO wa AXIAN Telecom na Rostam Aziz, leo umetangaza kukamilika kwa mchakato wa umiliki wa kampuni iliyounganishwa ya...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Aprili 6, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 6, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

NBC leo Yazindua Kampeni ya ‘Jaza Kibubu na NBC’

Benki ya Taifa ya Biashara NBC leo imezindua Kampeni ya ‘Jaza Kibubu na NBC’  yenye lengo la kuweza kutoa elimu...

READ MORE

Airtel Yakabidhi Gari kwa Mshindi wa Tesa Kimilionea

    KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel Tanzania leo imekabidhi gari mpya aina IST kwa mshindi wa kwanza...

READ MORE

Mbunge Musukuma Ajiuzulu Kisa Ripoti ya Mto Mara

Balozi wa Mazingira anayewakilisha Bunge, Joseph Kasheku (Musukuma) leo Jumanne Aprili 5, 2022 amejiuzulu nafasi hiyo akisema ni aibu kuwa...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yapaa Haijawahi Kutokea Tanzania, Petroli Yapanda Kwa Tsh 321

Wakati Serikali ikitangaza kurejesha Sh100 katika mafuta, watumiaji wa nishati hiyo watalazimika kufunga mkanda kutokana na bei kuendelea kupaa.  ...

READ MORE

SIMBA Uso kwa Uso na Orlando Pirates, Robo Fainali Kombe la Shirikisho

BAADA ya kutinga hatua ya robo fainali Simba imepangwa kukutana na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Simba inayonolewa na Kocha...

READ MORE

Spika Amuapisha Shamsi Vuai Nahodha Kumrithi Polepole Bungeni Leo Dodoma

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk Tulia Akson amemwapisha Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha kushika wadhifa huo...

READ MORE

Rais Samia: Tulifika Uchumi wa Kati Tukarudishwa “Tutarudi Uchumi wa Kati Kufikia 2025”

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwamba ingawa Tanzania imeondolewa kwenye nchi zenye uchumi wa...

READ MORE

Rooney Adai Manchester United Ilifanya Makosa Kumsajili Cristiano Ronaldo

GWIJI wa soka na mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na Timu ya Taifa ya Uingereza Wayne Rooney ameibuka na...

READ MORE

Infinix na Tigo Wazindua Mkombozi wa Wengi “Infinix Smart 6 na Hot 12i”

DAR ES SALAAM. Tarehe 5 Aprili, 2022. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za kidijitali Tanzania, Tigo Tanzania, imeshirikiana na...

READ MORE

Mdundo Yawatakia Watanzania Ramadhan Kareem Na Kuwakaribisha Katika Mwezi Mtukufu

Imani na muziki zitaungana pamoja kwenye Mdundo.com ili kukonga nafsi za waumini wote katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhan...

READ MORE

Utata Chadema, NCCR Wagoma, Wataka Kukutana Rais Samia, Bunge ‘Live’ Larejea | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Ajali Yaua Wanne na Kujeruhi Tisa Dodoma, Basi la Geita Express Lagongana na Fuso

Watu wanne wamefariki dunia na 19 kujeruhiwa mkoani Dodoma katika ajali iliyohusisha basi la Geita Express kugongana na Fuso jana...

READ MORE

Kenya Yakumbwa na Uhaba wa Mafuta, Foleni Ndefu Zashuhudiwa Sheli

UHABA wa mafuta umeendelea kuikumba nchi ya Kenya, huku miji mikuu ikiripoti kuwa na foleni ndefu kwenye vituo vichache vya...

READ MORE

Waziri Nape Baada ya Simba Kutinga Robo Fainali, Ajilipua – “Hili Jambo Nimeliingilia Mwenyewe Sasa”-Video

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza mara baada ya Simba kuichapa USGN ya Niger kwa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Ugawaji wa Vitendea Kazi kwa Maafisa Ugani Kilimo-Video

Rais samia leo april 4, 2022, amezindua zoezi la ugawaji wa vitendea kazi ikiwemo pikipiki kwa maafisa ugani kilimo wa...

READ MORE

Waziri wa Uingereza Masuala ya Afrika, LATAM na Visiwa vya Caribbean Atembelea Serengeti

    MOSHI, Tanzania; Aprili 3, 2022: Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika, Latini Amerika na Caribbean Vicky Ford, leo...

READ MORE

Askofu Mwaikali Atikisa, Aongoza Mamia Ya Waumini, Chadema, ACT Wataka Bunge Lifupishwe…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Mbele ya Rais Samia, Nmb Yaeleza Ilivyomwaga Mabilioni Kwa Wakulima

  JUMLA ya Sh78.8 bilioni zimeshatolewa na benki ya NMB kwa wakulima kati ya Sh100 bilioni walizotengewa kwa ajili ya...

READ MORE

GGML yatoa Sh milioni 50 kwa Hospitali ya CCBRT

KAMPUNI ya AngloGold Ashati kupitia Mgodi wake wa dhahabu Geita (GGML) imetoa kiasi cha Sh milioni 50 kwa Hospitali ya...

READ MORE

Breaking: Watu Wafukiwa Na Kifusi Kigamboni, Zoezi La Uokoaji Linaendelea Muda Huu..

Taarifa iliyotufikia leo Aprili 3, 2022 ni kwamba watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha kwa kufukiwa na kifusi katika machimbo ya...

READ MORE

TRA Yakusanya Trilioni 16.69 kwa Miezi 9, Ongezeko la Trilioni 3.1 Ukilinganisha 2020/21

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika kipindi cha robo tatu ya mwaka wa fedha 2021/22, yaani kuanzia Julai...

READ MORE

Masoud Kipanya Azindua Gari Lake la Umeme, ni la Kwanza Kutengenezwa Tanzania -Video

MCHORAJI katuni wa Tanzania, Masoud Kipanya April 2, 2022 amezindua rasmi gari lake ambalo ni la kwanza la umeme kutengenezwa...

READ MORE

Dkt. Mpango Awaomba Viongozi wa Dini Kuendelea Kuliombea Taifa na Viongozi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewaomba viongozi wa dini na waumini kwa ujumla...

READ MORE