×

Habari

Mwanamke Shujaa Alivyopambana na Majambazi

Usiku wa Januari 10, 2022 baada ya Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina mwenye umri unaokadiriwa kua miaka 30 -40 kuuawa...

READ MORE

Waziri Mkenda Akimkabidhi Ofisi Kwa Waziri Mpya wa Kilimo Bashe

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa Kilimo Hussein Bashe huku alieleza...

READ MORE

Madaktari Wamshauri Rais Asitishe Chanjo

MADAKTARI 11 wamemwandikia barua ya wazi Rais wa Ghana, Nana Addo Dankwa Akufo-Addo kutoa mwongozo ikiwezekana kusitisha usambazaji wa chanjo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Job Ndugai Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Januari 12, 2022 amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika...

READ MORE

Aliyemuua Mama Yake, Simulizi ya Tukio Inatisha

MAMBO mazito yanazidi kufichuka katika tukio la mtoto wa kike anetuhumiwa kumuua mama yake mzazi aitwaye Patricia Ibreck na kufukia...

READ MORE

Chenge Naye Ajitosa Uspika wa Bunge

MBUNGE wa Zamani wa Bariadi Magharibi (CCM) Andrew Chenge amejitosa katika kinyang’anyilo cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la...

READ MORE

Ratiba ya Mazishi Wanahabari Waliofariki kwa Ajali

Taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel inasema kuwa baada ya Ibada Maalumu ya kuwaaga Marehemu wa...

READ MORE

Mwandishi Ashtakiwa kwa Kutuma Taarifa za Kashfa Dhidi ya Rais na Mwanae

Mwandishi wa Uganda anayetuhumiwa kutuma taarifa za kashfa kuhusu rais na mtoto wake wa kiume kwenye mtandao wa Twitter amefunguliwa...

READ MORE

Tanzia: King Sure wa East Africa TV Afariki

Msanii wa muziki na mtangazaji aliyekuwa anafanya kazi kwenye kituo cha East Africa TV, Mustapha Matola ‘King Sure’ amefariki dunia...

READ MORE

Maeneo ya Dar, Kibaha Kukosa Maji kwa Saa 16

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha...

READ MORE

Wanajeshi Washikiliwa kwa Njama ya Mapinduzi

Mamlaka nchini Burkina Faso imetangaza kukamatwa kwa wanajeshi wanane wanaotuhumiwa kupanga njama ya mapinduzi. Miongoni mwa waliokamatwa ni Kanali Mohamed...

READ MORE

Mwanafunzi Achukua Fomu ya Uspika

IKIWA hatua ya uchukuaji fomu za kuomba uteuzi wa kikiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge...

READ MORE

Watatu Wafariki kwa Kulipukiwa na Kinachodhaniwa Kuwa Bomu

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya...

READ MORE

Nape Atoa Siku Saba Waajiri Kulipa Madai ya Wanahabari Waliofariki

SERIKALI imetoa siku saba kwa waajiri wote wanaodaiwa na waandishi wa habari waliofariki katika ajali ya gari wilayani Busega kulipa...

READ MORE

Vifo vya Wanahabari Mwanza, Nape Atoa Maagizo kwa Polisi

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nauye ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kuchambua matukio yote ya ajali...

READ MORE

Mwanafunzi UDSM Afariki kwa Kujirusha Ghrofani Baada ya Kuiba

MWANAFUNZI mmoja aitwaye Manawa Samson Horera (22) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Shahada ya kwanza ya Uhasibu...

READ MORE

Miili ya Wanahabari Waliokufa Ajalini Yawasili Nyamagana

Miili ya wanahabari na dereva wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza waliofariki katika ajali ya gari jana Januari...

READ MORE

Kikosi cha Makomando Sherehe za Mapinduzi Zanzibar

Kikundi cha Komando kikipita kutoa heshima wakati wa Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12,...

READ MORE

Waziri wa Elimu Mpya na Waziri Hussein Bashe Wakabidhiana Ofisi

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa Kilimo Hussein Bashe huku...

READ MORE

Ndege Yanasa Kwenye Njia ya Treni

Rubani wa Ndege ndogo iliyopata ajali na kunasa kwenye njia ya Treni amenusurika kifo baada ya kuokolewa na Polisi wa...

READ MORE

Nape: Wizara Ipo Mikono Salama

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amemuhakikishia aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo ambaye kwa sasa...

READ MORE

Video: Vita Ya Kumrithi Ndugai CCM Yanoga, Jina La Rais Samia Latajwa Kesi Ya Mbowe | Front Page..

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Shahidi Afunguka Tukio la Lissu Kupigwa Risasi

MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Makada CCM Wajitosa Kuutaka Uspika

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameendelea kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kukiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya...

READ MORE

Mwili wa Rubani Mazula Aagwa Dar

MWILI wa rubani mstaafu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATC), Kapteni Deogratius Mazula (77), umeagwa jana katika Parokia ya Bikira...

READ MORE

Polisi Waanika Mtoto Alivyomuua Mama Yake

SILAHA ya jadi aina ya panga, ni moja ya vifaa vilivyokutwa katika shimo alilofukiwa mtu anayedhaniwa alikuwa muuguzi wa Hospitali...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mwakilema TANAPA

Rais Samia Suluhu amemteua Mhifadhi William Mwakilema kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Kamishna...

READ MORE

Ole Madeye Naye Autaka Uspika

Akiyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye amechukua fomu kuwania kiti cha Uspika. Ole-Medeye aliyekuwa Mbunge na Naibu...

READ MORE

Rais Samia Azindua Kiwanda Cha Nguo, Zanzibar leo (Picha +Video)

Leo Januari 11, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anazindua kiwanda cha nguo cha BASRA...

READ MORE

Apandikizwa Moyo Wa Nguruwe

MWANAUME mmoja nchini Marekani amekuwa mtu wa kwanza duniani kupandikizwa moyo kutoka kwa nguruwe aliyebadilishwa vinasaba.   David Bennett, mwenye...

READ MORE

Waandishi wa Habari Waliofariki Kwenye Ajali ya Gari Simiyu

Taarifa kamili juu ya ajali iliyohusisha waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza. …………………………………….. Ndugu waandishi wa habari na wadau wa...

READ MORE

Rais Samia Awalilia 14 Waliofariki Ajali ya Gari Simiyu – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wanahabari na wafiwa wote kutokana na ajali iliyotokea leo...

READ MORE

Msukuma Achukua Fomu Kumrithi Job Ndugai – Video

MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Jumanne Januari 11, 2022  amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama...

READ MORE

Panya Magawa Afariki Dunia

Panya shujaa wa Tanzania aliyetumika kutegua mabomu yaliyotegwa ardhini na vilipuzi -Magawa amefariki dunia mwishoni mwa wiki.   Mwezi November...

READ MORE

Vodacom Yatoa Zawadi za Msimu wa Sikukuu kwa Wapendanao Mkoani Mbeya

Washindi wa promosheni ya Vodacom “Show Love, Tule Shangwe” wakiwa na zawadi mara baada ya kukabidhiwa na Meneja mkakati wa...

READ MORE

Gari la Wanahabari Lagongana na Hiache 11 Wafariki

WATU zaidi ya 11 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja...

READ MORE

Video: Mjadala Mzito Nafasi Za Lukuvi, Kabudi, Maisha Mapya Ya Ndugai Bungeni | Front Page…

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Watoto Wawili Wafia Ndani ya Gari Mama Akiwa Ibadani – Video

WATOTO wawili wa familia moja wamekutwa wamekufa ndani ya gari aina ya (Nissan Double Cabin) kwa kukosa hewa baada ya...

READ MORE

Afariki kwa Kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Mkazi wa Kijiji cha Gumba, Kata ya Gwata wilayani Kibaha mkoani Pwani, Bakari Mbagara (63) amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa...

READ MORE

Bei ya Mahindi Haikamatiki Sokoni

BEI ya mahindi katika masoko mbalimbali mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara), haikamatiki huku bidhaa hiyo...

READ MORE