×

Habari

Rais Samia Alivyokabidhiwa na Nmb Vifaa vya Elimu kwa Wenye Uhitaji

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukuru na kuipongeza Benki ya NMB kwa mchango unaoenda...

READ MORE

Zungu amtoa hofu Rais Samia kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Aitembelea Klabu ya Ajax

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa Klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi...

READ MORE

Staa wa filamu Ukraine auawa Vitani

Staa mkubwa wa filamu nchini Ukraine, Pasha Lee aliyeamua kuweka sanaa pembeni na kuingia vitani kuipigania nchi yake, ameuawa baada...

READ MORE

Samia akutana Live na kijana Emmanuel, aomba apishwe wazungumze – Video

Rais Samia Suluhu ametembelea Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa leo ambapo akiwa Shuleni hapo ametimiza ahadi ya kukutana na Mwanafunzi...

READ MORE

Bilionea Mturuki Anaitaka Chelsea

MFANYABIASHARA na bilionea kutoka Uturuki, Muhsin Bayrak, amepokea ofa ya kutaka kuinunua Klabu ya Chelsea na muda wowote atatua London...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Shule Ya Benjamini Mkapa – Dar es salaam-Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametembelea Shule ya Sekondari Benjamini Mkapa, Kariakoo Jijini Dar es...

READ MORE

Ukatili; Raia Wanaokimbia Vita Wapigwa Mabomu Ukraine

TUHUMA kuhusu majeshi ya Urusi kuwashambulia raia wa Ukraine zinazidi kuongezeka ambapo katika matukio ya hapo jana, raia wanaokadiriwa kufikia...

READ MORE

Ukraine: Rais Zelensky Ahimiza Vikwazo Zaidi Dhidi Ya Urusi

RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa mataifa ya Magharibi kuimarisha vikwazo dhidi ya Urusi, akikosoa viongozi kwa kutojibu...

READ MORE

Fury Ampa Tano Wladimir Klitschko

STAA wa uzito wa juu duniani, Tyson Fury, amewaunga mkono mabondia wa Ukraine, Wladimir Klitschko na Vitali Klitschko kwa kitendo...

READ MORE

Wiki ya Wanawake Kimataifa, Vodacom Yahamasisha Wasichana Kujifunza Tehama

  Wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali za sekondari nchini wakionesha jinsi ya kutengeneza tovuti baada ya kupata mafunzo ya...

READ MORE

Mbowe Afunguka Mazito, Nguvu Ya Umma Imenitoa Gerezani-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Halotel Yasherekea Siku ya Mwanamke Duniani Kivingine

  Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Halotel ikiwa ni sehemu ya jamii ya Tanzania inaendelea kujali na kuchangia katika...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 6 , 2022 ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa kilichofanyika kwenye...

READ MORE

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Belarus Ajiuzulu

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Belarus ambaye pia ni mwanajeshi mwenye cheo cha Meja Jenerali, Viktor Gulevich ameandika barua ya...

READ MORE

Majaliwa Akutana na Rais Mstaafu Karume

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekututana na Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, alipomtembelea nyumbani kwake,...

READ MORE

Msuluhishi wa Ukraine Kwenye Mzozo wa Kivita Auawa

Msuluhishi wa Ukraine kwenye mzozo wa kivita dhidi ya Urusi ameuawa na baada ya maafisa usalama wa Ukraine kugundua kuwa...

READ MORE

Idadi ya Wakimbizi wa Ukraine Yafikia milioni 1.5

Mashambulio ya Urusi dhidi ya Ukraine yaingia katika siku ya 11 huku idadi ya wakimbizi ikitarajiwa kufikia karibu watu milioni...

READ MORE

Rais Zelensky Awasihi Waukraine Kuendelea na Mashambulizi

Rais Volodymyr Zelensky amewaambia raia wa Ukraine “wamestahimili pigo” la uvamizi wa Urusi huku akiwataka raia kuendelea na mapigano.  ...

READ MORE

Urusi Yapoteza Ndege 88 Ukraine, Marubani Wakamatwa

Wizara ya ulinzi ya Ukraine imechapisha ripoti yake ya kila siku kuhusu mzozo huo. Haya hapa mambo muhimu: Vikosi vya...

READ MORE

Mtoto wa Museveni Astaafu Jeshini

KAMANDA wa Jeshi la Ardhini nchini Uganda UPDF , Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kustaafu katika jeshi hilo baada ya...

READ MORE

Naibu Waziri Aipongeza Dcb Kwa Kuwainua Wajasiriamali

  Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Bi. Mwanaidi Ali Khamis  ameipongeza Benki ya...

READ MORE

Waliofukuzwa JKT Wasamehewa

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, amewasamehe vijana 853 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa...

READ MORE

Maelfu Waandamana Kuiunga Mkono Urusi

ZAIDI ya wananchi 10,000 wa Serbia, wameingia mitaani na kuandamana katika Jiji la Belgrade kuelekea katika ubalozi wa Urusi nchini...

READ MORE

Seneta Marekani Ataka Putin Auawe

KUPITIA kituo cha runinga cha Fox News, Seneta wa Marekani, Lindsey Graham amesababisha hasira kwa baadhi ya raia wa Urusi...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mbowe Ikulu Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  leo Machi 4, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti...

READ MORE

Timu ya Taifa ya Pool Yaifunga Kenya 13 – 9 Zambia

TIMU ya Taifa ya Pooltable Waanaume  imeanza vyema mashindano  Afrika kwakuwafunga majirani Kenya 13-9 katika mchezo wake wa kwanza wa...

READ MORE

Urusi Yaridhia Wanafunzi wa Kitanzania Kutoka Ukraine

Balozi za Tanzania za Stockholm Sweden na Moscow, Urusi zimesema Serikali ya Urusi imeridhia Wanafunzi wa Kitanzania waliokwama kwenye Mji...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe 04...

READ MORE

Shehe Kipozeo alivyompongeza Rais Samia

Hilali Shaweji Makarani ‘Shehe Kipozeo’ amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali wito wa kuzungumza na viongozi wa dini. Amesema...

READ MORE

Rais Museveni akutana na Balozi wa Urusi

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni jana Machi 3, 2022 alikutana na balozi wa Urusi, Vladlen Semivolos kujadili masuala mbalimbali...

READ MORE

Viongozi Walaani Shambulio Dhidi ya Kituo cha Nyuklia Ukraine

Kumekuwa na kilio cha kimataifa kuhusu shambulio lililotokea usiku la Urusi kushambulia kituo kikubwa zaidi cha nishati ya nyuklia barani...

READ MORE

Mtambo wa Nishati ya Nyuklia Washambuliwa Ukraine

 UPDATES: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kwamba njia pekee ya kumaliza vita nchini Ukraine ni kufanya mazungumzo ya...

READ MORE

Live: Hatma Ya Mbowe Leo, Viongozi Wa Dini Wamuomba Rais Samia, Machungu Ya Vita Ya Ukraine …Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Sasa Kutoa Taarifa za Mkopaji kwa Kiswahili

  TAASISI ya Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Limited leo imetangaza kuwa taarifa za mkopaji pamoja na maelezo kwa...

READ MORE

Wakazi Wa Kyiv Bado Wamejificha Kwenye Handaki

 Wakazi wa Kyiv wa rika zote – watu wazima na watoto – walielekea tena chini ya ardhi jana usiku...

READ MORE

Mchungaji Zumaridi na Wenzake 92 Wafikishwa Mahakamani – Video

Mchungaji Diana Bundala maarufu ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake 92 leo Machi 3, 2022 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Meridianbet Mkuchu Cup Imehitimishwa Kwa Matembezi ya Hisani!

Meridianbet kwa kushirikiana Emmanuel Mkuchu (muandaaji wa Meridianbet Mkuchu cup) pamoja na Taasisi ya Bega kwa Bega na Mama,  walishirikiana...

READ MORE

Mhadhiri wa Chuo Matatani Kwa Rushwa ya Ngono

Mhadhiri wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Adam Semlambo ameingia matatani, akihusishwa na rushwa ya ngono ambapo uongozi wa chuo...

READ MORE