×

Habari

Serengeti: Ngariba Nguli Atupwa Jela Miaka 5

NGARIBA nguli Mary Onyango Omega (50) maarufu Mkungu Mugesi mkazi wa kijiji cha Kitarungu Kata ya Nyansurura amehukumiwa na Mahakama...

READ MORE

Aliyempa Mimba Mwanafunzi Atupwa Jela Miaka 30

KIJANA Machage Samson (22) mkazi wa kijiji cha Nyamisingisi wilayani Serengeti mkoani Mara amefungwa miaka 30 na Mahakama ya Wilaya...

READ MORE

Museveni Alaani Shambulio Dhidi Katumba

RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amekosoa vikali shambulizi lilifanywa dhidi ya Jenerali Katumba Wamala, katika taarifa aliyoandika kwenye ukurasa wake...

READ MORE

Live: Bunge Lapamba Moto, Spika Job Ndugai Aongoza Kikao Cha Bunge

NI mkutano wa 3, kikao cha 30, wa Bunge la 12, umeendelea leo Juni 02, katika makao makuu ya nchi...

READ MORE

Basi la Classic Lapata Ajali, Watatu Wafariki

WATU watatu wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wengine zaidi ya 30 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Classic kupata...

READ MORE

Mbunge Hussein Nassor: Siombi Radhi

MBUNGE wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani Msongozi amesimama na kuomba mwongozo kuhusu ishu iliyotokea jana Juni 1, 2021 ya Mbunge...

READ MORE

HEBO, PMI Waungana Kutoa Elimu ya Usimamizi wa Miradi

    KAMPUNI ya HEBO kupitia kitengo chake cha mafunzo na ushauri wa kibiashara (HEBO Consult) imeingia makubaliano na Shirika...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Juni 2, 2021

   Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 2, 2021. Usipitwe...

READ MORE

Sakata la Mbunge Condester Kufukuzwa Bungeni, Wabunge Wacharuka

Sakata la Mbunge wa Tunduru, Condester Michael Sichalwe (CCM) kutolewa bungeni kipindi cha asubuhi kutokana na kuvaa mavazi yasiyoendana na...

READ MORE

Waziri Mkuu Akabidhi Magari 20 ya Wagonjwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi magari ya wagonjwa 20 yenye thamani ya sh. bilioni 2.24 ambayo yatapelekwa kwenye vituo vya...

READ MORE

Kigamboni: Watuhumiwa wa Kuiba Mafuta Yanayoenda Bandarini Wanaswa

Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni...

READ MORE

Rais Mwinyi Akutana na Viongozi wa ZSSF

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya...

READ MORE

Mkazi wa Makoroboi Mwanza Apandishwa Kisutu Kwa Tuhuma za Wizi

MFANYABIASHARA, Krushna Karia (37) Mkazi wa Makoroboi jijini Mwanza, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za...

READ MORE

TANZIA: Mama Vicky Nsilo Swai Afariki Dunia

Mama Vicky Nsilo Swai aliyekuwa mke wa mwanasiasa mkongwe, mpigania uhuru na waziri wa zamani, Asanterabi Nsilo Swai, amefariki dunia,...

READ MORE

Breaking: Waziri Apigwa Risasi

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Uganda, Jenerali Katumba Wamala amenusurika kifo baada ya gari lake kushambuliwa kwa risasi na...

READ MORE

Rais Samia Afanya Ziara ya Hospitali ya Mwananyamala -Video

Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 1, 2021 amefanya ziara ya Kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa -Mwananyamala Mkoani...

READ MORE

Majaliwa: Tumieni Nishati Mbadala

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Wizara, Taasisi, Mashirika yote ya Serikali na Sekta Binafsi pamoja na vikundi vya uzalishaji zinazotumia...

READ MORE

Spika Amtimua Mbunge Aliyevaa Suruali ya Kubana Bungeni

  Spika wa Bunge,  Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge  mbunge wa Momba (CCM),  Condester Sichwale kutokana na kuvaa...

READ MORE

Siku Ya Mazingira Duniani: Exim Yakabidhi Vifaa vya Usafi Dar

Benki ya Exim imekabidhi vifaa vya usafi kwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho...

READ MORE

Rais Samia Ambana Mkandarasi- “Mnaturudisha Nyuma” -Video

RAIS Samia Suluhu, amefanya ziara ya kushtukiza katika jiji la Dar es Salaam, ambapo ameanzia Katika soko la Kariakoo, na...

READ MORE

Rais Samia Ashtukiza Soko la Kariakoo, Asimamisha Uongozi -Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 1, 2021 amefanya ziara katika la Kariakoo jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Kamishna wa Ardhi Kanda Ya Dar Ahimiza Wananchi Kulipia hati za Viwanja vyao

KAMISHNA wa Wizara Ya Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya Makazi Kanda ya Dar es Salaam Bw. Idrisa Kayera ametoa wito...

READ MORE

OSHA Yazindua Mpango wa Kusajili, Kukagua Maeneo ya Wajasiriamali Wadogo

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango maalum wa kuwasajili na kuwahudumia wajasiriamali wadogo kupitia ukaguzi...

READ MORE

Mabadiliko Jeshi la Polisi, Muliro Dar, Muroto Astaafu

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro leo tarehe 31.5.2021 amefanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kubaka Mwanawe

MAHAKAMA ya Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara imemhukumu Chegera Mayemba (35), mkazi wa Kijiji cha Buchanchari, kifungo cha miaka...

READ MORE

Babu Tale: Neno Rais Litumike kwa Rais wa Nchi, si TFF – Video

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale amependekeza neno Rais litumike kumtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Sabaya Ashikiliwa na Takukuru

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, amekamatwa jijini Dar es Salaam, Gazeti moja linalotoka kila...

READ MORE

Yanga Yathibisha Carlinhos Kuondoka

Uongozi wa Yanga umethibisha kufikia makubaliano na Carlinhos ya kusitisha mkataba wao kuanzia sasa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Carlinhos...

READ MORE

Mamadou Sakho Balozi wa Utalii Tanzania

Mchezaji wa Crystal Palace ya Uingereza na timu ya taifa ya Ufaransa Mamadou Sakho, akubali kuwa balozi wa Utalii Tanzania....

READ MORE

Katibu wa Chama cha Wasioamini Uwepo wa Mungu Ajiuzulu

CHAMA cha Wasioamini Uwepo wa Mungu Nchini Kenya (AKS) kimepata pigo kubwa kufuatia kujiuzulu kwa katibu wao Seth Mahiga baada...

READ MORE

Tanzania na Kenya Zaondoa Vikwazo vya Biashara

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amewahamasisha wafanyabiashara wa Kitanzania kuendelea kufanya biashara na kwenda kuwekeza nchini Kenya...

READ MORE

Rais Samia Amteua Wambura Kuwa DCI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Mei 30, 2021 amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (SACP)...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Afunga Ndoa

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amefunga ndoa na Carrie Symonds katika sherehe ndogo iliyofanywa kwa siri huko Westminster Cathedral....

READ MORE

Helkopta ya Raila Odinga Yapata Ajali Mbaya

Helikopta ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Kenya cha ODM imepata ajali...

READ MORE

Wakuu wa Wilaya Presha Inapanda, Inashuka

NI dhahiri kuwa sasa presha inapanda, inashuka kwa wakuu wa wilaya nchini baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea na...

READ MORE

Matapeli Wamliza Lazaro Nyalandu

SIKU chache baada ya kurejea nyumbani –CCM, aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lazaro...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Msimamo wa Covid- 19

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Dkt. Hussein Mwinyi, amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya...

READ MORE

Askari Watatu Wasimamishwa Kazi Uhamiaji

IDARA  ya Uhamiaji imewasimamisha kazi Askari wake watatu kwa tuhuma za kutumia nguvu kinyume cha sheria na maadili ya kazi...

READ MORE

Video: Mama Asimulia Mazito – “Nimeambiwa Mwanangu Amekufa”

MREMBO Aisha Abdala amezunguma na Global TV Online na kusimulia mkasa mzito unaomuhusisha mtoto wake wa kumzaa na mwanaume aliyezaa...

READ MORE