×

Habari

Waziri Lukuvi Amaliza Mgogoro Sugu wa Ardhi Wazo

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi amehitimisha mgogoro wa muda mrefu baina ya wananchi wa...

READ MORE

Ninja Asimulia Magumu Wanayopitia Yanga SC

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefunguka kwamba wamekuwa wakipitia wakati mgumu kutokana na safu yao ya ulinzi...

READ MORE

Tulia Mgeni Rasmi Pambano la Queen of The Ring

NAIBU Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Akson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika pambano la...

READ MORE

Meya Ilala Akabidhi Vyakula kwa Wajane Vingunguti

MEYA WA Jiji la Ilala, Dar es Salaam Omary Kumbilamoto kwa kushirikiana na taasisi ya Alif Tanzania amekabidhi vyakula kwa...

READ MORE

Meridian Bet Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba

OFISA huduma wa jamii wa Meridian Bet, Amani Maeda na meneja mwendeshaji, Corrie Borman wamekabidhi msaada wa vifaa tiba mbalimbali...

READ MORE

DRC Yasitisha Chanjo ya Covid 19

SERIKALI ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeahirisha kampeni ya kutoa chanjo ya AstraZeneca.   Taifa hilo limepokea dozi milioni...

READ MORE

SBL, Spika Ndugai waungana kupanda maelfu ya miti Kongwa

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), leo imeungana na viongozi pamoja na wananchi wa wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma katika...

READ MORE

Mifumo Ya Kocha Mpya Yanga Yavuja, Yambeba Carlinhos, Niyonzima

KAMA Yanga ikifanikiwa kumnasa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Township Rollers ya nchini Botswana, Nikola Kavazovic, basi itakuwa imeramba dume kutokana...

READ MORE

Rais Aruhusu Wanajeshi Kuwapiga Risasi Wamiliki AK-47

RAIS Muhammadu Buhari ametoa agizo kwa Wanajeshi wa #Nigeria kwa kuwapa ruhusa ya kuwapiga risasi bila kuhitaji kibali, Watu wote...

READ MORE

Familia ya George Floyd Kulipwa Bilioni 63

Baraza la #Minneapolis limeidhinisha makubaliano ya kuilipa familia ya George Floyd kiasi cha dola milioni 27 (takriban Tsh. Bilioni 63)...

READ MORE

Simbachawene Atoa Siku 30 Kwa Jeshi la Magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha Gereza jipya la...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yashauri Askari Wahamishwe Uraiani

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama imeishauri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...

READ MORE

Polisi Wamsaka Kigogo wa Twitter Kuzusha Hofu

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar es Salaam linamsaka mwanaharakati anayejiita jina la Kigogo katika mtandao wa Twitter....

READ MORE

Fundi Simu Akamatwa Kwa Kusambaza Uzushi ‘JPM Mgonjwa’

CHARLES Majura (35), fundi simu na mkazi wa Dar es Salaam, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kwa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumtumbukiza Mtoto Kwenye Jaba la Maji na Kumuua

  Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia Tluay Shauri (46) mkazi wa kata ya Dareda kwa kosa la kumuiba ndani...

READ MORE

Dkt. Gwajima: Familia Jengeni Mazoea Ya Kufanya Mazoezi

  Familia zimetakiwa kujenga mazoea ya kufanya mazoezi ili Watoto waweze kuelewa umuhimu wa kufanya mazoezi wangali wadogo.   Rai...

READ MORE

Rais wa Msumbiji Awafuta Kazi Wakuu wa Majeshi

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi wakuu majeshi wa ardhini na angani wakati nchi inapokabiliana na wanamgambo wa Islamic...

READ MORE

Kenya Yatoa Masharti Mapya Kupambana na Covid 19

  RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta jana Machi 12, ametangaza  kurefusha kwa muda wa siku 60 marufuku ya kutoka nje...

READ MORE

Tanzia: Mfalme wa Wazulu Afariki Dunia

Mfalme wa Wazulu wa Afrika Kusini, Goodwill Zwelithini amefariki katika Hospitali ya KwaZulu-Natal alipokuwa anatibiwa Kisukari. Mfalme Zwelithini ameugua kwa...

READ MORE

Mwanza: Wamiliki 736 wa Ardhi Wafikishwa Mahakamani

  WAMILIKI 736 mkoani Mwanza ambao ni wadaiwa sugu wa kodi ya aridhi wamefikishwa katika Baraza la Mahakama ya Ardhi...

READ MORE

Sheria za TZ Zaanza kutafsiriwa kwa Kiswahili

Wataalamu wa #Sheria kutoka Taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wameanza kazi ya kutafsiri Sheria...

READ MORE

RC Chalamila: Rais Magufuli Haumwi, Nimeongea Naye – Video

MKUU wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema amempigia simu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe...

READ MORE

Majaliwa: Rais Magufuli Yuko Imara – Video

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, leo Ijumaa, Machi 12, 2021, amewataka Watanzania wote wawapuuze wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki...

READ MORE

Kiwanda cha Kinamama wa Sengerema ‘Serikali Mikono Yetu’

  AHADI mojawapo ya kiserikali ambayo inatekelezwa hadi sasa, ni kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara na wajasiriamali, yatakayowasaidia kuendesha viwanda,...

READ MORE

Tanzia: Aliyevumbua Kaseti Afariki Dunia

INJINIA wa Uholanzi, Lou Ottens, aliyesifika kwa kubuni kaseti ya sauti, amefariki akiwa na umri wa miaka 94. Inakadiriwa kuwa...

READ MORE

Afungwa Siku Moja kwa Kumuua Mume Wake

MAHAKAMA nchini Kenya imemhukumu kifungo cha siku moja mwanamke aliyemuua mume wake mwaka mmoja uliopita, Kwa mujibu wa gazeti la...

READ MORE

Rais Kagame, Mkewe Wachanjwa Kinga ya Covid19

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame na mkewe Jeannette Kagame wamepokea chanjo ya corona katika Hospitali ya Mfalme Faisal jana Alhamisi,...

READ MORE

RC Mongela: Achaneni na Miongozo ya Kijinga

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amewataka watendaji wa halmashauri kuacha kufuata miongozo ya wizara badala yake waangalie uhitaji...

READ MORE

Muuguzi Afukuzwa Kazi kwa Kubaka Mwanafunzi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa Tabora, limeazimia kufukuzwa kazi aliyekuwa Muuguzi wa zahanati ya Kalunde, Elipidius Kweyamba, baada...

READ MORE

Wezi Wapuliza Dawa ya Usingizi, Wawaibia Wafiwa

JESHI la Polisi mkoani Pwani wamekamata vifaa mbalimbali vilivyoibiwa katika msiba eneo la Mlandizi, Kibaha mkoani humo.     Akizungumza...

READ MORE

Sakata Kusafirisha Vinyonga, Nyoka Mapya Yaibuka

SERIKALI inawashikilia Watanzania watatu kwa tuhuma za kushirikiana na raia wa Jamhuri wa Czech kusafirisha nje ya nchi vinyonga 74...

READ MORE

Waziri Bashungwa Akutana na Uongozi wa TBC Kujadili Maendeleo ya Shirika hilo

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa, na Naibu wake Mhe. Abdallah Ulega, jana Machi 11,...

READ MORE

Mwanadada Afurahia Kumiliki Pikipiki!

Washindi wa Pikipiki za miguu mitatu aina ya Lifan Cargo wa Droo ya kwanza ya Kampeni ya Weka Pesa na...

READ MORE

Mwigulu: Kiongozi wa Nchi Sio Parish Worker

WATANZANIA wametakiwa kuacha kuibua taharuki kwa kuzusha taarifa za uongo ambazo hazina uthibitisho kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha...

READ MORE

Raila Odinga Awatoa Hofu Wakenya “Niko Fiti”

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema hali yake ni nzuri na anafuata ushauri wa madaktari kwa kupumzika.  ...

READ MORE

Uganda Yaanza Kampeni ya Chanjo ya Covid-19

Uganda imeanza kampeni ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumatano baada ya kupokea dozi 864,000 ya chanjo...

READ MORE

Malyasia: Wakristo Ruksa Kutumia Jina ‘Allah’

Mahakama ya Malyasia imebadilisha sera inayopiga marufuku watu wa dini ya Kikristo kutumia jina ‘Allah’ kumaanisha Mungu, ikiwa ni hatua...

READ MORE

Gwajima: Wanaume Wengi Wanaugua Figo

Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake....

READ MORE

Waliomteka Mchina Arusha Wakamatwa Dar

  Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumteka mtu mmoja raia wa China ambaye...

READ MORE

Mserbia Kumrithi Kaze Yanga

KOCHA wa zamani wa Township Rollers ya Botswana, Nikola Kavazovic, anatarajiwa kuchukua mikoba ya Cedric Kaze ndani ya kikosi cha...

READ MORE