×

Habari

Breaking News: Bilionea Subash Patel Afariki Dunia

MWENYEKITI  Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea wachache nchini Tanzania na mfanyabiashara, Subhash Patel...

READ MORE

Huduma za Google Zapotea Mtandaoni Duniani

  HUDUMA za mtandao wa Google ghafla leo (Jumatatu)  zilitoweka na kuleta athari kwa watumiaj iduniani.  Miongoni mwa watumiaji hao...

READ MORE

Rais Mwinyi Amtumbua Katibu Wake Siku 37 Baada ya Kumwapisha

Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi leo Jumatatu, Desemba 14, 2020 ametengua uteuzi wa Katibu wa rais, Suleiman Ahmed Saleh na...

READ MORE

Rais Tshisekedi Atangaza Kuunda Serikali Mpya

KATIKA hotuba yake mbele ya wanaseta na wanabunge, Rais wa DRC, Felix Tshikedi ametangaza tena nia yake ya kuunda serkali...

READ MORE

Mahakani Kwa Makosa ya Kukata Noti za Bil 4.6 BoT

WALIOKUWA atumishi  13  Benki Kuu ya Tanzania (BOT)  wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka sita likuwemo...

READ MORE

Rais Magufuli Awalilia Walikufa kwa Ajali Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, ametuma salamu za rambirambi kwa familia za Watu 14 waliofariki kwenye...

READ MORE

Mahakama ya Mafisadi Yaahirisha Hukumu ya Kiboko na Mkewe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu Mahakama ya Mafisadi, imeahirisha kutoa hukumu katika kesi ya...

READ MORE

Mfungwa Mwingine Mweusi Anyongwa Marekani

MWANAMME aliyemuua binti yake karibu miaka 20 iliyopita amekuwa mfungwa wa pili Marekani kuuawa. Kifo cha Alfred Bourgeois kwa sindano...

READ MORE

Nilianza Kupika Chakula cha Kienyeji, Hawakunielewa, Leo ni Shujaa!

WAKATI  naanzisha wazo la kutoa huduma ya vyakula vya vya asili watu  wengi walinidhihaki kwa kupika vyakula vya kienyeji  na...

READ MORE

Polisi 9 Jela kwa Mauaji

Mahakama moja nchini Misri imewahukumu kifungo cha miaka mitatu maafisa tisa wa polisi kwa kosa la kumtesa na kupelekea kifo...

READ MORE

Biteko Atumbua 4, Afuta Leseni 6 za Madini, Asweka Ndani 13

WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko amemvua madaraka Mwenyekiti wa Soko la Madini Chunya na kuwasimamisha kazi watumishi watatu, kufuta leseni...

READ MORE

Lil Wayne Jela Miaka 10 Kukutwa Bastola, Madawa ya Kulevya

RAPA Lil Wayne amekutwa na hatia ya kubeba bunduki iliyokuwa imekokiwa mwaka 2019 akipanda Ndege binafsi huko Miami.   Alikutwa...

READ MORE

Mchungaji Ashambuliwa na Nyoka Akikemea Mapepo

HALI  ya kutatanisha imezuka Kasikeu, Makueni nchini Kenya wakati Pasta aliyeitwa kuwakemea mapepo aliposhambuliwa na nyoka katika nyumba ya jirani...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Eswatini Afariki kwa Corona

SERIKALI  ya Eswatini imesema Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ambrose Dlamini, amefariki dunia, wiki nne baada ya kupatikana na virusi...

READ MORE

Mbaroni Akidaiwa Kuua Mchepuko na Mtoto

POLISI mkoani Kagera inamshikilia Festo Venance mwenye (38) kwa tuhuma za kuwaua watu wawili na kumjeruhi mwingine mmoja, katika kijiji...

READ MORE

Google Yataja Maneno Yaliyotafutwa zaidi 2020, Tanzania Imo

KAMPUNI ya Google imetoa orodha ya maneno yaliyotafutwa zaidi katika nchi mbalimbali duniani mwaka 2020 ikiwemo Kenya.   Orodha hiyo...

READ MORE

Breaking News: 14 Wafariki Ajalini Singida

WATI  14 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea mkoani Singida baada ya gari dogo la...

READ MORE

Sekeseke Kung’olewa Spika DRC Lafika Pabaya

MUUNGANO wa vyama vya kisiasa wa FCC wa aliyekuwa rais wa Congo (DR), Joseph Kabila, umekiri kuwa kung’olewa kwa, Jeanine...

READ MORE

Shigongo Kwashughulikia Mafisadi Bulyaheke – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mheshimiwa  Eric Shigongo, ametembelea ujenzi wa zahanati ya Bulyaheke na kusisitiza watendaji pamoja na kamati ya ujenzi...

READ MORE

Magari ya Angani Kufungwa Mlima Kilimanjaro

SERIKALI a imeruhusu ufungwaji wa magari yanayotumia nyaya angani (cable cars) katika Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu zaidi barani Afrika ili...

READ MORE

Nmb Kukuza Uchumi wa Zanzibar Kupitia Utalii

  Benki ya NMB imesema kuwa imejipanga na kukusudia kuhakikisha inashirikiana na serikali katika kuona sekta ya utalii inakidhi mahitaji...

READ MORE

Global Habari Dec 13 – Vituo Vya Malezi Ya Watoto Vyapewa Siku 14 Kujitathmini

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu amewapa siku 14 wamiliki wa...

READ MORE

Soko la Chuno Kivutio Manispaa Mtwara Mikindani – Picha

Hili ni soko la kisasa maarufu kama Soko la Chuno linalojengwa ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani, soko hili ni...

READ MORE

Familia Wagombania Mali za Maradona

ATAENDELEA kukumbukwa kuwa ni shujaa wa soka, ikiwemo mafanikio yake katika Kombe la Dunia 1986 alipofunga bao la ‘Mkono wa...

READ MORE

Taasisi za Umma Zenye Madeni Kukatiwa Umeme

WAZIRIi wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuwakatia umeme wadaiwa wote sugu wa umeme nchi...

READ MORE

Mrithi Wa Ummy Mwalimu Gumzo, Abebwa Na Falsafa Ya Utendaji Wa Kasi

KATIKA majina ya mawaziri waliounda Baraza la Mawaziri lililoteuliwa na Rais Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’, wiki iliyopita, jina la...

READ MORE

Zanzimana: Nusu Binadamu, Nusu Sokwe, Awashangaza Wazungu

BI RUKIA, mkazi wa Manga A pale jijini Mbeya alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kutupa kichanga...

READ MORE

Chuo Kikuu Ardhi Chafanya Utafiti Kudhibiti Matetemeko

  CHUO Kikuu Ardhi (ARU) kimefanya utafiti kuhusu teknolojia ya asili ya ujenzi wa nyuba zinazostahimili matetemeko ya ardhi katika...

READ MORE

Mke Alia Mumewe Kufanyiwa Kitu Mbaya na Mwenyekiti

LOGATI Jonathan ambaye ni mkazi wa Kitongoji cha Maretoni, Kata ya King’ori – Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameiomba Serikali...

READ MORE

Shigongo Akomaa na Daraja Korofi Buchosa

MBUNGE  wa Jimbo la Buchosa, Mh. Eric Shigongo amekagua ujenzi wa daraja la Mizolozolo barabara ya Sengerema – Nyehunge ambapo...

READ MORE

DC Sabaya Amsweka Ndani Mtumishi kwa Utapeli – Video

MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameingilia kati sakata la @qnetintanzania na wananchi. Baadhi ya wananchi na walimu...

READ MORE

DAS Ashauri Wanawake Nao Walipe Mahari

KATIBU  Tawala wa wilaya ya Bukoba (DAS), mkoani Kagera, Kadole Kilugala, amesema kuwa kama suala la mahari ni lazima katika...

READ MORE

Senzo Atwishwa Zigo la Kichuya

BODI ya Wakurugenzi ya Simba SC inakutana kwa haraka kujadili adhabu ya faini ya Sh 294 milioni ambazo Shirikisho la...

READ MORE

Mmoja Mbaroni Mauaji ya Mwanafunzi

JESHI la polisi mkoani Mwanza linamshikilia Hamis Omary mwenye umri (19) mkazi wa Nyasaka kwa tuhuma za mauaji. Mtuhumiwa alinadaiwa...

READ MORE

GSM GROUP Yazindua Maduka Matatu Makubwa Jijini Dodoma

Kampuni ya GSM Group imezindua maduka makubwa eneo la Capital City Mall jijini Dodoma yatakayokuwa yakiuza bidhaa mbalimbali zikiwemo samani...

READ MORE

Msuva Aanza Vizuri Wydad Casablanca

 KIUNGO mshambuliaji Mtanzania, Simon Msuva juzi amefanikiwa kupata ushindi wa pili akiwa na timu yake mpya ya Wydad Casablanca katika...

READ MORE

Wema, Nicole, na Poshy Queen Wanatajwa Kutengeneza Shepu

SIKU hizi muonekano ndio humbeba mtu hasa mtoto wa kike, ndio! Ukiwa na muonekano mzuri ni rahisi hata kupata madili...

READ MORE

Washindi 40 Wa Droo ya Pili Ya Mastabata Siyo Kikawaida Watangazwa!

Benki ya NMB imetangaza washindi 40 wa Sh. 100,000 kila mmoja wa droo ya pili ya Kampeni ya NMB MastaBata...

READ MORE

Amshtaki Mpenzi Wake kwa Kumpotezea Muda Miaka 8

Mwanamke mmoja nchini Zambia amemshtaki mpenzi wake kwa kumpotezea muda na kushindwa kumuoa baada ya kuchumbiana kwa miaka nane.  ...

READ MORE