×

Habari

Aliyemwangusha Hawa Ghasia Ubunge Atoboa Siri Nzito

MMOJA wa wabunge wawili wa upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa wakati mchakato wa majumuisho ya mwisho ukiendelea,  Shemsia Mtamba, wa...

READ MORE

Nyumba ya Mshindi Ubunge Yanusurika Kuchomwa Moto

  POLISI mkoa wa Shinyanga inafanya uchunguzi kuhusiana na tukio la jaribio la kuchoma moto nyumba ya mbunge mteule wa...

READ MORE

Wahamiaji 140 Wapoteza Maisha Boti Ikizama

WATU wapatao 140 wamepoteza maisha baada ya meli iliyokuwa na wahamiaji wapatao 200 kuzama katika pwani ya Senegal.   Katika...

READ MORE

Chama Tawala Chashindwa Kubadili Katiba Zambia

MUSWADA  tata wa kikatiba ulishindwa kupitishwa bungeni jana Oktoba 29, 2020 kufuatia upinzani mkali kutoka kwa asasi za kiraia na...

READ MORE

UN Yataka Dini na Imani Zote Kuheshimiwa

MWAKILISHI  wa Umoja wa Mataifa (UN), Miguel Angel Moratinos, amehimiza kuheshimiana kwa dini zote na imani na kukuza utamaduni wa...

READ MORE

Wimbi Jipya Maambukizi ya Corona Laibuka Kenya

WIZARA ya Afya nchini Kenya imeelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko kubwa la idadi ya watu wanaofariki kutokana na ugonjwa wa...

READ MORE

Haya Hapa Matokeo Ya Ubunge Majimbo Ya Dar

 Jimbo la Ukonga, ameshinda Jerry Silaa, wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndiye mbunge wa jimbo hilo baada ya kupata...

READ MORE

Mbatia wa NCCR Chali Ubunge Vunjo, Kimei wa CCM Ashinda

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Dkt. Charles Kimei kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata...

READ MORE

Ally Keissy Chali, Chadema Yashinda Nkasi Kaskazini

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa...

READ MORE

Askofu Gwajima Ambwaga Halima Mdee Kawe – Video

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kawe amemtangaza Askofu Josephat Gwajima wa CCM kuwa ndiye mshindi wa jimbo hilo kwa kupata...

READ MORE

Kitu Kingine cha Infinix Chaja Kufunga Mwaka

KAMPUNI ya Simu za mkononi ya Infinix mbioni kutamba tena na toleo la NOTE na hii ni baada ya toleo...

READ MORE

Bulaya Chali Bunda Mjini, CCM Yanyakua Jimbo

Ester Bulaya amepoteza jimbo la Bunda Mjini baada ya kushindwa na Robert Maboto wa CCM aliyepata kura 31,129 huku Bulaya...

READ MORE

Nyalandu Aangushwa Ubunge Singida

Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM,...

READ MORE

Abbas Tarimba Ashinda Ubunge Kinondoni – Video

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni na Kawe, Aron Kagurumjuli amemtangaza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kinondoni Abass Tarimba...

READ MORE

Mrisho Gambo Amshinda Lema Ubunge Arusha Mjini

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arusha Mjini amemtangaza Mrisho Gambo wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo kwa...

READ MORE

Daraja la Jangwani Lafurika Mafuriko, Wananchi Washangaa!

Baadhi ya wananchi wakilazimisha kupita katikati ya mafuriko.  Baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli zao katika maeneo ya Kariakoo na Posta...

READ MORE

Breaking News: Dkt. Mwinyi Ashinda Urais Zanzibar – Video

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Mwinyi kuwa mshindi wa...

READ MORE

Zitto Kabwe Chali Ubunge Kigoma Mjini

Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Kigoma Mjini amemtangaza Kirumbe Ng’enda wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge wa Jimbo hilo...

READ MORE

Shigongo Ashinda Ubunge Buchosa – Video

MSIMAMIZI  wa uchaguzi Jimbo la Buchosa, Crispin Luanda,  leo Oktoba 29, 2020, amemtangaza mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kwa...

READ MORE

Prof. Jay Ashindwa Ubunge

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay,  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameshindwa kutetea...

READ MORE

Tabasamu Ashinda Ubunge Sengerema – Video

MSIMAMIZI  wa uchaguzi jimbo la Sengerema, Magesa Mafuru, leo Oktoba 29, 2020, amemtangaza mgombea ubunge wa Jimbo la Sengerema, Hamis...

READ MORE

Prof. Mkenda Amburuza Selasini Rombo – Video

MSIMAMIZI wa uchaguzi wa Jimbo la Rombo, Godwin Chacha, amemtangaza Profes  Adolf Mkenda wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi...

READ MORE

Jesca Amsambaratisha Mch. Msigwa Iringa Mjini

MSIMAMIZI wa uchaguzi Jimbo la Iringa Mjini amemtangaza mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Tundu Lissu Apinga Matokeo ya Uchaguzi

  MGOMBEA wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametangaza kutokubali matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutangazwa...

READ MORE

Live Updates: Matokeo ya Urais Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kupokea na kutangaza matokeo ya kura za urais zilizopigwa jana Oktoba 28, 2020....

READ MORE

Ester Matiko Ashindwa Ubunge Jimbo la Tarime Mjini

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Tarime Mjini, Ester Matiko ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kushindwa na mshindani wake, Michael...

READ MORE

Breaking: Waitara Ambwaga Heche Tarime Vijijini

MSIMAMIZI wa uchaguzi katika Jimbo la Tarime Vijijini amemtangaza Mwita Waitara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa ubunge...

READ MORE

Hawa Ghasia (CCM) Ashindwa Ubunge, CUF Yaibuka Kidedea

Shamsia Mtamba kupitia CUF, ametangazwa ameshinda jimbo la Mtwara Vijijini baada ya kuibuka kidedea kwa kura 26,262, dhidi ya mpinzani...

READ MORE

CCM Yashinda Ubunge Mtwara Mjini

HASSAN SELEMAN wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameshinda ubunge Mtwara Mjini kwa kupata kura 22,411 akifuatiwa na mgombea wa Chama...

READ MORE

Katambi Ashinda Ubunge Shinyanga Mjini

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Shinyanga Mjini Mkoani Shinyanga amemtangaza Patrobas Katambi wa CCM kuwa Mshindi wa kiti cha Ubunge...

READ MORE

Mkuchika Ashinda Ubunge Newala Mjini

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Newala Mjini, Mkoani Mtwara,  amemtangaza Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Anna Lupembe Wa CCM Ashinda Ubunge Jimbo la Nsimbo, Katavi

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nsimbo, Mohamed Ramadhani, amemtangaza Ana Lupembe wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge jimbo...

READ MORE

Mwanyika Ashinda Ubunge Njombe Mjini – Video

MSIMAMIZI wa Uchaguzi katika Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Philip Mwanyika wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa...

READ MORE

Breaking: CCM Yaibuka Kidedea Arusha Mjini – Video

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Arusha Mjini amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kata 24 kati ya 25 za udiwani...

READ MORE

Mgombea Ubunge, Makamba Akamatwa na Polisi

POLISI mkoani Shinyanga wanamshikilia mgombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Salome Makamba, kwa tuhuma za kufanya...

READ MORE

Breaking: CCM Yashinda Ubunge Moshi Mjini kwa Mara ya Kwanza Tangu 1995

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Moshi Mjini, amemtangaza Priscus Tarimo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

CCM Yashinda Viti Vyote Udiwani Sengerema, Tarime Mjini

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda viti vyote 47 vya udiwani katika majimbo ya Sengerema na Buchosa wilayani Sengerema.   Pia...

READ MORE

Dkt. Tulia Ambwaga Sugu Mbeya Mjini – Video

  MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya ubunge...

READ MORE

Mbowe Ashindwa Ubunge Hai, Mafuwe Kidedea

Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Saashisha Mafuwe, ameibuka mshindi katika Jimbo la Hai katika uchaguzi uliofanyika jana Jumatano,...

READ MORE

Barrick: Kampuni ya Twiga ni ‘Ushirikiano wa Ushindi

  MTENDAJI Mkuu wa kampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow, ushirikiano uliopo katika kampuni ya Twiga Minerals Corporation baina yake...

READ MORE