×

Habari

Hakimu Atuhumiwa Kupokea Rushwa 150,000/=

HAKIMU mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Magugu,  Adeltus Richard Rweyendera, amefikishwa mahakamani na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa...

READ MORE

NEC Yatoa Siku 2 Waliochukua Fomu Bila Kutambulishwa na Vyama

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inafuatilia zoezi la kuchukua fomu za uteuzi na kubaini kuwa kuna changamoto ambazo...

READ MORE

Biden Adai Trump Ameiingiza Nchi Gizani

MGOMBEA urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic, Joe Biden, amesema  Rais Donald Trump ameitumbukiza Marekani kwenye giza kwa muda...

READ MORE

Vigogo Waliopigwa Chini, Ubunge CCM Hawa Hapa!

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), jana Agosti 20, 2020, kimetaja majina ya wanachama wake wake watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika...

READ MORE

Vodacom na Smart Codes watangaza Washindi wa Shindano la ‘Vodacom Digital accelerator Program 2020

  Kampuni ya teknolojia ya mawasiliano inayoongoza nchini, Vodacom Tanzania Plc na Kampuni ya Smart Codes wanayofuraha ya kutangaza washindi...

READ MORE

Parimatch Yazinufaisha Timu za Tanzania

Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania  imetimiza adhima yao ya kusaidia timu zenye uhitaji muhimu na ambazo ziliweza...

READ MORE

Watatu Wafikishwa Mahakamani Wakituhumiwa Kupanga Ugaidi

WTU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yakiwamo mashtaka...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Kumshambulia Mwanafunzi kwa Fimbo

JESHI la polisi mkoani Pwani, linamshikilia mwalimu Evata Mboya, wa shule ya msingi Mwendapole, Kibaha, kwa kosa linalodaiwa ni kumshambulia...

READ MORE

Zimbabwe Yaihoji Vatican Ukosoaji wa Maaskofu

SERIKALI ya Zimbabwe imewasiliana na mwakilishi wa Vatican, Askofu Mkuu Marek Zalewski, kupata maelezo juu ya ukosoaji wa maaskofu wa...

READ MORE

Watanzania Kuendelea Kuwekwa Karantini Kenya

MAMLAKA nchini Kenya zimetoa orodha mpya ya raia wa nchi 130 ambao wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini.  ...

READ MORE

Yanga SC Kutambulisha Majembe Yake Agosti 30

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, Agosti 30, mwaka huu, unatarajia kutambulisha majembe yake mapya katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi....

READ MORE

Benki Ya Exim Kuhudumia Sekta Kilimo cha Korosho

Benki ya Exim Tanzania mapema wiki hii ilishiriki kikamilifu kwenye mkutano mkuu wa wadau wa Korosho uliofanyika mkoani Lindi.  ...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Anyweshwa Sumu Kwenye Chai

MSEMAJI  wa chama cha upinzani nchini Urusi kiitwacho Russia of the Future, ameeleza kuwa kiongozi wa chama hicho ambaye pia...

READ MORE

RC Kunenge Ampa Maagizo Mkandarasi Daraja la Kivule

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Aboubakar Kunenge,  amemuelekeza mkandarasi wa kampuni ya Nyanza inayojenga barabara na Daraja la...

READ MORE

JPM: Hatujampendelea, Kumwonea Mgombea Yeyote! – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. John Magufuli amewahakikishia wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

READ MORE

Rungwe: Sera Yetu ni ‘Ubwabwa Kwanza’ – Video

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Spunda Rungwe ameendelea kukazia kuwa sera ya Chama chake katika...

READ MORE

Wanafunzi, Wazazi Washiriki Mijadala ya Juma La Elimu

  MTANDAO wa Elimu Tanzania (TENMET) ukiendelea na wiki ya maadhimisho ya Juma la Elimu yanayofanyika wilayani Chemba, umefanya mazungumzo na...

READ MORE

NMB Yatoa Gawio la Shilingi Bilioni 15.2

  Benki ya NMB imetoa shilingi 15. 2 bilioni kama gawio kwa serikali ambayo inamiliki asilimia 31.8 ya hisa zote...

READ MORE

Rais Magufuli Amwondoa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma

Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli amemteua Joseph Constantine Mafuru kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma mkoani Dodoma.   Kabla ya...

READ MORE

Mbeya: Hofu Yatanda Mwalimu Kuchinjwa!

HOFU kuu imetanda wilayani Kyela mkoani Mbeya kufuatia tukio la kutisha la mauaji ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwenge...

READ MORE

Waliotishia Kuuawa ‘Wakutana’ na RC

MKUU wa Mkoa wa Pwani; Mhandisi Evarist Ndikilo, amekutana na wafugaji ambao baadhi yao wamewatishia kuwaua wakulima ambao wamemlalamikia kiongozi...

READ MORE

Mtoto Mwingine Atupwa Chooni Kagera

MTOTO mwingine wa kike mwenye umri wa siku tatu, ameopolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwenye choo cha Zahanati...

READ MORE

Rais Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Dodoma Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo...

READ MORE

Wasiojulikana Wachoma Nyaraka Ofisi ya Chadema Mbeya

MNAMO tarehe 19.08.2020 majira ya saa 03:00 usiku huko Mtaa wa Kagwina, Kata ya Sinde, Tarafa ya Sisimba Jijini Mbeya....

READ MORE

Baada ya Kumpindua Rais, Jeshi la Mali Latangaza Serikali ya Mpito

VIKOSI nchini Mali vimemuondoa madarakani rais Ibrahim Boubacar Keïta na kutangaza azma yao ya kuunda serikali ya mpito kabla ya...

READ MORE

Watatu Wafikishwa Kisutu Wakikabiliwa na Mashtaka Saba

Washtakiwa watatu wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka saba, yakiwemo ya kushiriki...

READ MORE

Sirro: Wanasiasa Fanyeni Siasa za Amani, Utulivu – Video

  ZIKIWA zimebaki siku chache ili kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Mkuu wa Jeshi la Polisi...

READ MORE

Waliofariki kwa Covid-19 Kenya Wafikia 487

KENYA imetangaza watu wanne zaidi kufariki kutokana na CoronaVirus na kufanya idadi ya vifo kufikia 487. Aidha, watu 271 wamethibitishwa...

READ MORE

Biden Ateuliwa Rasmi Democratic Kugombea Urais

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa kitaifa wa Chama cha Democratic nchini Marekani wamemteua rasmi Joe Biden kuwa mgombea urais kwa...

READ MORE

Kenya: Mama Amzika Mtoto wa Siku 1, Kisa Kuchepuka

MWANAMKE mmoja nchini Kenya anatuhumiwa kumuua na kumzika mtoto wa siku moja baada kulaumiana na mume wake juu ya kupata...

READ MORE

Wanahabari Washiriki Maandamano Kumpinga Rais

WAFANYAKAZI wa Shirika la Habari la Belarus wameacha majukumu yao na kujiunga na maelfu wa waandamanaji kutaka Rais wa nchi...

READ MORE

Fahamu Eneo Lenye Jina Refu Zaidi Duniani

  Taumatawhakatangihangakoauauotamateaturipukakapikimaungahoronukupokaiwhenuakitanatahu ni jina la muinuko ulioko Porangahau, New Zealand.   Jina hilo likiandikwa kwa urefu linakuwa na alama ‘Characters’...

READ MORE

Waziri Amsimamisha Mkurugenzi Kwa Tuhuma za Ngono

NAIBU Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.  leo Agosti 19, 2020,  amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi...

READ MORE

Rais wa Mali Ajiuzulu Baada ya Kushikiliwa na Jeshi – Video

RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keïta,  amejiuzulu muda mfupi baada ya kuwekwa kizuizini na jeshi la nchi hiyo. Akilihutubia taifa...

READ MORE

Ruth Zaipuna Atangazwa Kuwa C.E.O Mpya wa NMB

Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB imemtangaza Ruth Zaipuna kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Benki hiyo uteuzi ulioanza...

READ MORE

Majambazi 4 Wauawa Dar, Bastola, Risasi Vyakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam mnamo tarehe 15.08.2020 majira ya saa tisa na nusu alasiri kupitia kikosi...

READ MORE

Michelle Obama Amshambulia Rais Trump

VITA ya maneno kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2020, sasa imebebwa na Michelle Obama, mke wa Rais mstaafu wa...

READ MORE

Zitto: Wapinzani Tuache Ubinafsi, Wananchi Hawatotusamehe

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, ametoa wito kwa vyama vya upinzani nchini kuwa viache ubinafsi kwa kuwa...

READ MORE