×

Habari

Dodoma: Takukuru Yawafikisha Kizimbani Watatu Akiwemo Diwani

TAKUKURU inawatuhumu aliyekuwa Diwani wa Ntyuka, Theobald Maina; aliyekuwa Mtendaji wa Ntyuka, Benedict Mazengo na aliyekuwa Mwenyekiti Mtaa wa Chimala,...

READ MORE

Mbaroni Akidaiwa Kumuua Shemeji Yake

JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro, linamshikilia Shinje Njilangila (30), mkazi wa Kijiji cha Mbamba, wilayani Kilosa kwa tuhuma za...

READ MORE

Chama Afichua Jambo Simba

CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji anayekipiga ndani ya Simba, amefichua kwamba kilichombeba zaidi kwa msimu wa 2019/20 ni juhudi zake binafsi...

READ MORE

JPM Afanya Mabadiliko Wakuu wa Wilaya Wawili

RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa Wakuu wa Wilaya wawili, ambapo amemhamisha Mkuu wa Wilaya Rorya,...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kuilaki Treni Baada ya Kuikosa kwa Miaka 34

MAMIA ya wananchi jijini Arusha wamejitokeza kwa wingi kwenye hafla ya mapokezi ya Treni ya mizigo ya majaribio iliyowasili ikitokea...

READ MORE

Tanzania Yajivunia Mafanikio Wakati Wa Uenyekiti Wa SADC

Tanzania imejivunia mafanikio yaliyopatikana wakati ikiwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), chini ya uongozi wa Rais...

READ MORE

Mhadhiri UDOM Aliyedaiwa Kuomba Rushwa ya Ngono Afunguliwa Shtaka

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma inatarajia kumfikisha mahakamani Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dodoma...

READ MORE

Majaliwa Akagua Ujenzi wa Kivuko cha Mafia, Kigamboni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.   “Nataka niwahakikishie...

READ MORE

Samia Ahitimisha Maonyesho Kizimkazi 2020

…Akiangalia moja ya mikoba ya uki inayotengenezwa na wajasiriamali.

READ MORE

Kamala Anavyoweza Kumuinua, Kumdidimiza Biden

NI  wazi kwamba sasa  chama cha Democratic hakina muonekano wa Joe Biden. Ni chama kinachoashiria ujana na kujumuisha jamii tofauti-tofauti....

READ MORE

IGP Siro Afanya Ukaguzi Wa Miradi Ya Ujenzijijini DSM

Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Nyakoro Sirro  amefanya ziara rasmi katika Bohari kuu ya Polisi iliyopo Kilwa Road (Police Main...

READ MORE

Simba Kuanza Kutambulisha ‘Majembe Mapya’, Kuzindua Logo Mpya

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuanzia kesho Ijumaa, Agosti 14 utaanza kutambulisha wachezaji wapya ambao umemalizana nao kwa ajili ya...

READ MORE

Mganga ‘Atoroka’ na Mil. 25 za Choo

MGANGA Mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji cha Kibena wilayani Iringa, Hope Mwale,  ametoroka katika kituo chake cha kazi baada ya...

READ MORE

CHADEMA Yatangaza Majina Awamu ya Pili Wagombea Ubunge

CHADEMA kimemteua Lazaro Nyalandu kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Suzan Lyimo kugombea Jimbo la Kinondoni, Lucy Magereli Kigamboni,...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu: PM Majaliwa Atoa Maagizo Takukuru – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ihakikishe Watanzania hawarubuniwi ili watumie vizuri utashi...

READ MORE

TMA: Tetemeko Dar, Hakuna Tishio la Tsunami

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu hali ya bahari kufuatia tetemeko la ardhi chini ya Bahari...

READ MORE

Kurasa za Mbele za Magazeti ya Leo, Tarehe 13/8/2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 13, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Benki ya NMB yanogesha Siku ya Kizimkazi Zanzibar!

  Benki ya NMB inaendelea kuboresha miundombinu na mazingira ya shule visiwani Zanzibar kwa kutoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani...

READ MORE

Breaking: Tetemeko la Ardhi Lapiga Dar & Pwani

TTEMEKO la ardhi lenye kipimo cha richter 5.9, limepita katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kudumu kwa sekunde kadhaa,...

READ MORE

Mwanza: Mbaroni kwa Utapeli Kupitia Facebook

Watu 5 wamefikishwa Mahakamani kwa makosa 16 likiwemo la kujipatia fedha zaidi ya Tsh. Milioni 10 kwa njia isiyo halali...

READ MORE

Mwanamke Kortini kwa Tuhuma za Kukutwa na Risasi 45

MWANAMKE mmoja Mkazi wa Manzese Argentina jijini Dar es Salaam, Asha Juma amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

Marufuku Kusafirisha Mtoto Chini ya Miaka 18 Bila Kibali

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, ameviagiza vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha kila mtoto mwenye miaka chini ya...

READ MORE

Samia Azindua Radio Jamii, Ukatili Dhidi ya Wanawake

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 12,2020, amezindua rasmi Kituo cha Redio...

READ MORE

Ufafanuzi wa TCRA Kuhusu Maudhui ya Vyombo vya Nje

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevitaka vyombo vya habari vya ndani ya nchi vyenye leseni ya kurusha matangazo kuhakikisha vina...

READ MORE

GGML Yathibitisha Yaendelea Kuisaidia Jamii ya Geita

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na Halmashauri ya Mji wa Geita mapema jana imesaini makubaliano ya utekelezaji...

READ MORE

Miaka 30 kwa Kujaribu Kumuua Rais Mpya wa Burundi

Mahakama nchini Burundi imewahukumu wanaume wawili na mwanamke mmoja kifungo cha miaka 30 jela kwa kutaka kumuua Rais wa nchi...

READ MORE

Serikali: Maudhui Redio za Nje Lazima Yapite TCRA

SERIKALI  imesema haijazuia maudhui ya redio za nje kusikika nchini bali imeagiza maudhui hayo yapate kibali kutoka Mamlaka ya Mawasiliano...

READ MORE

Marekani: Biden Amteua Kamala Mgombea-Mwenza

JOE BIDEN ambaye anayegombea urais wa Marekani kupitia Chama cha Democrat amemteua Kamala Harris kuwa mgombea-mwenza katika uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Serikali Yafafanua Uhusiano Watanzania Na Kenya -Video

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas, jana alifanya mahojiano maalum na +255 Global Radio, ambapo alizungumzia mambo mbalimbali likiwemo...

READ MORE

Wagombea Vyama 16 Wachukua Fomu za Urais

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa fomu za uteuzi kwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais...

READ MORE

TenMet Kujenga Bweni la Wanafunzi Wilaya ya Chemba

MTANDAO wa Elimu Nchini (TenMet) umeadhimia kutumia maadhimisho ya Juma la Elimu mwaka huu kujenga Bweni la wanafunzi Wilayani Chemba...

READ MORE

Tigo Yachangia Simu 1,350 Upatikanaji Wa Vyeti Vya Kuzaliwa

Tigo Tanzania inayo furaha kwa mara nyingine tena kuendelea kushirikiana na serikali kupitia taasisi ya RITA na wadau wengine ikiwemo...

READ MORE

JWTZ Kusaka Wahalifu Misitu Mpakani na Msumbiji

KIKOSI cha Kusini cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimesema kitafanya msako katika misitu ya mikoa inayopakana...

READ MORE

Mo Ashusha Straika Matata Simba SC

WAKATI wadau wa michezo wakiendelea kutega sikio kwenye hukumu ya aliyekuwa nyota wa Yanga, raia wa Ghana, Bernard Morrison, huku...

READ MORE

Mwanamuziki Kunyongwa kwa Kumkufuru Mtume

MWANAMUZIKI anayetambulika kwa jina la Yahaya Sharif-Aminu, mwenye umri wa miaka 22, kutoka  Jimbo la Kaskazini mwa Nigeria la Kano...

READ MORE

Seif Sharif Hamad Akiri Kuwa Yeye Ni Babu Kizee!

KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amekiri hadharani kuwa amezeeka na kwamba...

READ MORE

Putin Atangaza Chanjo ya Kwanza ya Corona Duniani

RAIS Vladimir Putin wa Russia ametangaza leo kuwa nchi yake imetengeneza chanjo ya kwanza kabisa dhidi ya virusi vya corona...

READ MORE

Mapacha 3 Wafunga Ndoa na Mapacha Wenzao 3

MAPACHA hao waliandaa sherehe ya harusi katika jimbo la Enugu Nigeria. Sherehe hiyo ya faragha ilhudhuriwa na waalikwa pekee. Picha...

READ MORE

Dkt. Abbas: Unaweza Kusajili Mchezaji Mwizi wa Magari, Tutadhibiti – Video

SERIKALI imesema inaweka mfumo imara wa kudhibiti wachezaji wa soka wanaosajiliwa nchini wawe na viwango vinavyotakiwa pamoja na vigezo vya...

READ MORE