×

Habari

Vodacom Tanzania yawa kinara wa makampuni ya mawasiliano kwenye maonesho ya Nanenane mkoani Arusha

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega (kushoto) akimkabidhi kombe la ushindi wa kwanza kwa makampuni ya Mawasiliano Mkuu wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Agizo kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mifugo na Uvuvi ihakikishe inaboresha utoaji wa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji...

READ MORE

Mwafunzi wa Sekondari Rannia Nasser aja na maonesho ya picha

    Mwanafunzi wa sekondari umri wa miaka 17 Rannia Nasser amezindua maonesho ya picha maarufu kama ‘WATU WA TANZANIA’...

READ MORE

Majaliwa Atembelea Banda la Nmb Maonesho ya Nane Nane Simiyu

  Katika maadhimisho ya Nane Nane kitaifa yaliyofanyika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu, Benki ya NMB imewahakikishia wakulima kuwa...

READ MORE

Utata! Anayedaiwa Kufa Afufuka

MATUKIO ya watu sehemu mbalimbali nchini kudaiwa kufa na baadaye kupatikana wakiwa hai ‘kufufuka’, yanazidi kuzua utata miongoni mwa jamii,...

READ MORE

Presha Inapanda Wagombea Ubunge CCM

WAKATI vikao vya mchujo vikiendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kupata jina moja la mgombea atakayepeperusha...

READ MORE

Lissu Achukua Fomu NEC Kuwania Urais

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,  amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika uchaguzi...

READ MORE

Meli Iliyobeba Ammonium Nitrate Ilifikaje Beirut?

SERIKALI ya Lebanon imesema kuwa mlipuko mkubwa ulioharibu  maeneo kadhaa ya mji wa Beirut umesababishwa na tani 2,750 za kemikali...

READ MORE

Waziri Kilimo Azindua Mfumo wa Kuhakiki Mbegu na Pembejeo, ‘T-Hakiki’

WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki’.   T-Hakiki ni...

READ MORE

Ndege ya India Yaanguka, Yaua Watu 18

NDEGE ya abiria ya Shirika la Air India aina ya Boeing 737 iliyokuwa na watu 190 imeanguka katika uwanja wa...

READ MORE

Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango Atembelea Banda la PPRA

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, leo Agosti 8,2020 ametembelea banda la Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma...

READ MORE

Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 57 milioni kwa hospitali ya St Mary’s Kibara, Bunda

    Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi 57,881,360 kwa ajili ya watoto wanaozaliwa...

READ MORE

Wasiojulikana Wamuua Mjumbe – Video

MWANZA: Wakati mchakato wa kupitisha majina ya wagombea ubunge kupitia CCM ukizidi kushika kasi, ‘watu wasiojulikana’ wanadaiwa kumteka na kumuua...

READ MORE

Vyama vya Upinzani Vyagombania Rangi Nyekundu

VYAMA viwili vya upinzani nchini Uganda vimeingia katika mzozo juu ya haki ya kutumia rangi nyekundu huku kila chama kikidai...

READ MORE

Aliyemuua Mtoto Wake kwa Panga Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Bukoba imemuhukumu kunyongwa hadi kufa Melchedes Burchard (30) mkazi wa Kiluluma mkoani Kagera kwa kukutwa na...

READ MORE

Sheikh Majini: Lissu Tumia Maneno ya Busara

MTABIRI na mtaalamu wa visomo na dua, Sheikh Sharrif Majini, amemtaka mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema),...

READ MORE

Maambukizi Virusi vya Corona Afrika Yafikia Milioni 1

ZAIDI ya watu milioni moja wameambukizwa virusi vya Corona barani Afrika.   Kwa mujibu wa takwimu za shirika la habari...

READ MORE

NCCR-Mageuzi Yateua Wagombea Urais – Video

VYAMA vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kupitisha majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, hatua ambayo...

READ MORE

Kisa Barakoa; Wananchi Waadhibiwa Usiku Uwanjani

BAADHI ya wananchi wa Rwanda wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kupewa adhabu ya kukaa saa kadhaa na kusikiliza hotuba,...

READ MORE

Mrembo Afariki Akipiga Picha Kwenye Maporomoko

MWILI wa mrembo Jemima Oresha aliyetumbukia katika maporomoko ya Thompson Falls Nyahururu nchini Kenya, umeopolewa juzi Jumatano, Agosti 5, 2020...

READ MORE

Abbas: Miaka 5 ya JPM, Pato Limekua Kwa Kasi – Video

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas leo Agosti 7, 2020, ame pato la taifa limekua kwa kasi kutokana na shughuli...

READ MORE

Miaka 22 Shambulio Ubalozi wa Marekani Dar, Nairobi

MWAKA 1998, Agosti 7, majira ya saa 4 asubuhi, siku ya Ijumaa katika mitaa ya Dar es Salaam na viunga...

READ MORE

Msumbiji Yadaiwa Kituo cha Wapiganaji wa Islamic State

  MAREKANI imetahadharisha kuwa makundi ya wanamgambo yameendelea na operesheni zake nchini Msumbiji katika eneo la Kaskazini la Cabo Delgado...

READ MORE

Trump: Biden Atamkasirisha Mungu

RAIS  wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa “Joe Biden anakwenda kinyume na Mungu”. Trump ameyasema hayo kufuatia kauli ya Biden ...

READ MORE

Meli ya Msumbiji Yadaiwa Kuhusika Mlipuko wa Beirut

MAMLAKA ya bandari nchini Msumbiji imekanusha madai kwamba meli yake ilikuwa imebeba mzigo uliosababisha mlipuko wa Beirut, kwa mujibu wa...

READ MORE

Mlipuko Beirut: Maandamano Yaitikisa Serikali

WAANDAMANAJI katika mji wa Beirut nchini Lebanon walikabiliana na vikosi vya usalama vya nchini humo  wakipinga serikali siku ya Alhamisi....

READ MORE

Fisi Wakithiri Shinyanga, Serikali Kuwashughulikia

KUTOKANA na kukithiri kwa matukio ya fisi kushambulia wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga hususan watoto wadogo, serikali imeunda...

READ MORE

Waziri Bashungwa Asema Mfumo Wa CRDB Wakala Unachochea Ukuaji Sekta Ya Fedha Nchini

Waziri wa Viwanda Innocent Bushungwa ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jitihada za Serikali katika...

READ MORE

Jamaa Aliyesaidia Kutuliza Vurugu Kijiji Cha Mpeta Kigoma Amwomba Waziri Mkuu Awadie

Jamaa ameibuka kutoka katika kijiji cha Mpeta Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma akiwawakilisha wananchi sita wakimuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...

READ MORE

Majambazi Yamponza Kigogo wa Polisi

MAJAMBAZI yaliyomvamia mfanyabiashara mmoja, Mkombozi Mjaila (32) wilayani Handeni, mkoani Tanga na kumjeruhi kichwani, yamemponza kigogo wa polisi ambaye ni...

READ MORE

Majanga Yaendelea Kumwandama Mtoto Aliyeokolewa Chooni

MISUKOSUKO imeendelea kumwandama mtoto (jina linafichwa) ambaye aliopolewa kwenye shimo la choo cha Shule ya msingi Murganza iliyoko wilayani Ngara...

READ MORE

Binti wa Miaka 17 Mahakamani: Sikubakwa na Nilitaka Mwenyewe

MTOTO wa miaka 17, ameiambia Mahakama ya Mkoa ‘B’ Chake Chake kuwa, mshitakiwa Bakar Mbwana Juma wa Kengeja hakumbaka, bali...

READ MORE

Hati za Viwanja vya Wachezaji wa Taifa Stars Ziko Tayari

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas...

READ MORE

Atuhumiwa kwa Kuua Ndugu Zake Waliomtuhumu Kuiba Kuku na Redio

Mwanaume wa miaka 33, mkazi wa Lira, Uganda anashikiliwa na polisi baada ya kuwaua ndngu zake waliomtuhumu kuiba kuku na...

READ MORE

Mwakyembe Ataka Vitabu Visivyo na Ithibati Kuondolewa

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amelitaka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kuwasajili wafasiri, wakalimani...

READ MORE

JPM Aeleza Dhamira Kugombea Urais -(Video +Picha)

SIKU moja baada ya pazia la uchukuaji fomu za urais kufunguliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) leo mgombea urais was...

READ MORE

Twitter Yazuia Akaunti ya Kampeni ya Rais Trump

TWITTER imezuia akaunti ya kampeni ya Rais wa Marekani,  Donald Trump, kwa kukiuka sheria zake zinazohusu usambazaji wa taarifa za...

READ MORE

Naibu Waziri Adaiwa Kutoa Rushwa Kura za Maoni UWT

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Mary Mwanjelwa, amedaiwa kutoa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano wa Umoja wa...

READ MORE

TB Joshua: Nasubiri Sauti Kutoka kwa Mungu

MCHUNGAJI maarufu wa Nigeria, Temitope Balogun Joshua maarufu kama TB Joshua,  anasema anasubiri kusikia ‘sauti ya Mungu’ kabla hajafungua huduma...

READ MORE

Ifahamu Kemikali Iliyoisambaratisha Beirut

  TAKRIBANI tani 3,000 za kemikali ya ammonium nitrate zilizohifadhiwa miaka sita iliyopita katika ghala zimeelezewa kusababisha mlipuko huo uliotokea...

READ MORE