×

Habari

Wagonjwa wa Corona Walazimisha Kuondoka Amana Hospital

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, amethibitisha kuwa kuna baadhi ya wagonjwa walioathirika wa virusi vya Corona waliokuwa kwenye...

READ MORE

Madereva Watanzania Wakutwa na Corona Uganda

Raia wawili wa #Tanzania wote madereva wa malori wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini #Uganda. Mmoja alikuwa kwenye...

READ MORE

Wabunge Waazimia Kujigawia Mil. 20 Kila Mmoja za Corona

WABUNGE nchini Uganda wameazimia kujigawia Shilingi za Uganda mil. 20 kila mmoja kama fedha ya ahueni wakati huu wa janga...

READ MORE

Rais Madagascar Adai Kugundua Dawa Tiba ya Corona

WAKATI wanasayansi duniani kote wakihangaika kupata chanjo na tiba ya virusi vya corona, Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amezindua dawa...

READ MORE

Iran Yarusha Setalaiti ya Kijeshi Angani

JESHI la walinzi wa kimapinduzi nchini Iran limesema limepeleka setalaiti yake ya kwanza ya kijeshi katika mzunguko wa dunia.  ...

READ MORE

Bidhaa za Red Gold Zaweka Rekodi Ya Ubora Kwa Watumiaji

Yawezekana kwa kipindi kirefu umekuwa ukitumia bidhaa zinazozalishwa na Red Gold lakini pengine hukuwahi kujua kwamba ubora wake wa kipekee...

READ MORE

#CoronaVirus: Watanzania Wawili Watupwa Baharini

WATANZANIA wawili ambao majina yao ni Amiri Salamu (20) na Hassani Rajabu (30) walitoswa baharini na Wachina wakiwa wamepewa ‘life...

READ MORE

Utajiri wa Mama Rwakatare Ngoma Nzito!

  KIFO cha ghafla cha Mchungaji Kiongozi, Askofu Dk Getrude Rwakatare ‘Mama Rwakatare’ wa Makanisa ya Mlima wa Moto (Assemblies...

READ MORE

NMB MastaBoda Yafika Kileleni, Watano Washinda Pikipiki    

Washindi wakionyesha kadi za pikipiki baada ya kukabidhiwa.   Benki ya NMB imehitimisha kampeni yake ya Mastaboda, kwa kuwazawadia waendesha...

READ MORE

Amani ya Moyo Ni Tunu, Itunzeni Kwa Gharama Yoyote!

MUNGU ni mwema sana! Tunakutana Jumatatu nyingine kwenye uwanja wetu huu maridhawa, kupeana elimu ya uhusiano. Ni vyema na haki...

READ MORE

JPM: Dawa Zilizopulizwa Dar ni Upuuzi, Hakuna Lockdown DSM – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amezungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na...

READ MORE

Trump Aagiza Jeshi la Marekani Kuzilipua Boti za Iran

RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameliagiza Jeshi la Maji la nchi hiyo (Navy) kuzishambulia na kuziharibu kabisa boti za kivita...

READ MORE

Wasomaji Jet Lumo na Machimbo Walikubali Betika

  Ikiwa ni Jumatano ya Aprili 22, 2020, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imeendelea na kulisambaza gazeti la...

READ MORE

Ewura Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kushuka Bei za Mafuta

KATIKA siku za hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushuka kwa bei ya mafuta ghafi nchini...

READ MORE

A-Z Arusha Watoa Mashuka 100 Kwa Serikali

Kiwanda cha A-Z kilichopo mkoani Arusha leo Aprili 22, 2020 kimekabidhi jozi ya mashuka mia moja kwa Serikali mkoani Arusha...

READ MORE

Sukari Ipo ya Kutosha, Atakayepandisha Bei Ashughulikiwe – Video

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema hakuna haja ya kupandisha bei ya sukari kutokana na...

READ MORE

Corona Inavyomwingizia Pesa Bilionea wa Amazon

MWANZILISHI na mmiliki wa Kampuni ya Amazon ameshuhudia utajiri wake ukichupa kwa kiasi cha dola bilioni 24 (sawa na pauni...

READ MORE

Wagonjwa Wapya 30 Wathibitishwa Tanzania, Jumla Wafikia 284

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema, hadi Aprili 21, 2020 jumla ya wagonjwa 284 wamethibitika kuwa na #COVID19; Wagonjwa 256 wanaendelea...

READ MORE

Rais JPM Afanya Uteuzi Mpya Akiwa Chato

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa...

READ MORE

LIVE: Maombi ya Kitaifa Dhidi ya Janga la Corona

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, leo Aprili 22, 2020, anaongoza Taifa zima katika maombi maalum...

READ MORE

Maisha ya Mama Rwakatare, Kuzaliwa Mpaka Kifo – Video

Hii ni makala fupi inayomuelezea Mwanamke Shujaa ambaye alfajiri ya juzi aliaga dunia, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare, aliyekuwa Askofu wa...

READ MORE

Corona Kenya: Watu 50 Watoroka Karantini – Video

JESHI la Polisi nchini Kenya linawasaka watu 50 waliotoroka katika kituo cha Kenya Medical Training College, mjini Nairobi kilichokuwa kinatumika...

READ MORE

Wagonjwa Wapya 15 wa Corona Wathibitishwa Kenya, Wafikia 296

Wizara ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la wagonjwa 15 wapya waliothibitishwa kuwa na virusi vya corona na kufikisha 296...

READ MORE

Corona: Mungu Yuko Bize – Rais Museveni

RAIS  wa Uganda, Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus.   Museveni...

READ MORE

Mateso ya Mtoto Huyu… Mungu Tenda Miujiza  

MUNGU tenda muujiza! Ndiyo maneno unayoweza kutamka kutokana na mateso anayopata mtoto Musa Abel (2) ambaye anasumbuliwa na tatizo la...

READ MORE

Mbosso: Sioi Leo Wala Kesho!

KWENYE playlist yako ya wakali wa Bongo Fleva, huwezi kuacha jina la dogo anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB)...

READ MORE

Vilio vya Maombi ya Corona Vyatawala

SIKU tatu za maombi maalum kwa ajili ya kudhibiti Virusi vya Corona, zimetimia juzi huku vilio kutoka kwa waumini na...

READ MORE

Corona: Maombi na Sala Zetu Yaambatane na Vitendo – Shigongo

NAOMBA nikiri wazi kwamba mimi ni Mkristo, nimeokoka na ninampenda Yesu ambaye siku zote amekuwa mwanga na kiongozi wa maisha...

READ MORE

Spika: Mchungaji Rwakatare Kuzikwa na Watu 10 – Video

UONGOZI wa Bunge kupitia Spika Job Ndugai umethibitisha maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Mchungaji Getrude Rwakatare, kusimamiwa na...

READ MORE

Droo ya Pili ya Baba Lao, Washindi 6 Wajazwa Mkwanja

DROO ya pili ya bahati nasibu ya Jishindie Gari na Championi na Spoti Xtra (maarufu kama promosheni ya Baba Lao...

READ MORE

Taiga Gas Yatoa Mashine Za Kujikinga Na Corona Bungeni, Spika Azipokea -(Picha +Video)

Spika Ndugai leo Aprili 21, 2020 ameishukuru Kampuni ya Taifa Gas Tanzania kwa kukabidhi mashine maalum zenye dawa ya kunyunyiza...

READ MORE

Kinara wa Usafirishaji Wahamiaji Haramu Anaswa Mbeya

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya Imefanikiwa Kumkamata mtuhumiwa wa usafirishaji wa wahamiaji haramu Bwana Paul Edward Kawilo, alimaarufu Mwakaniemba...

READ MORE

Bibi wa Miaka 68 Ajifungua Mapacha Nigeria

Mwanamke mwenye miaka 68 nchini Nigeria amejifungua watoto mapacha na kuwaacha wengi na mshangao. Bibi huyo alijifungua katika Hospitali ya...

READ MORE

Takukuru Siha Kuwafikisha Mahakamani Watendaji Waliokwamisha Miradi Ya Serikali

  Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro imeanza uchunguzi wa manunuzi hewa ya vifaa...

READ MORE

Huyu Ndiye Mwanamke wa Kwanza Kugundua Corona 1964

JUNE Almeida ndiye mwanamke aliyegundua kwa mara ya kwanza virusi vya corona kwenye mwili wa binadamu.  Alikuwa binti wa dereva...

READ MORE

Kim Jong Adaiwa Mahututi Baada ya Oparesheni ya Moyo

SERIKALI ya Korea ya Kusini inaangalia kwa undani taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari vya Marekani kuwa kiongozi wa Korea...

READ MORE

Waziri Mkuu Kuongoza Maombi Kitaifa Dhidi ya Corona

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa,  kesho Aprili 22, 2020,  anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maombi...

READ MORE

TLS Yatoa Tamko Juu ya Mbinu za Kupambana na Ugonjwa wa Corona

Mnamo tarehe 16 Machi 2020, Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, kupitia kwa Waziri wa Afya, Jinsia na Watoto,...

READ MORE

Abood Lagongana na Lori la Mafuta, Lateketea, Mmoja Afariki – Video

Mtu mmoja amefariki dunia usiku wa kuamkia jana leo usiku Aprili 20, 2020,  baada ya Basi la Kampuni ya Abood...

READ MORE

Vodacom Yakabidhi Vifaa Kwa Serikali ya Zanzibar Kupambana Covid-19

   Matukio katika Picha;  

READ MORE