×

Habari

Polisi Waendelea Kumshikilia Maxence Melo, Bado Hajafikishwa Mahakamani Hadi Sasa

MKURUGENZI Mtendaji wa Jamii Media na Mwanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo (pichani juu) mpaka muda huu bado anashikiliwa...

READ MORE

Tundu Lissu Akamatwa tena na Jeshi la Polisi

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anashikiliwa na...

READ MORE

Lady Jaydee X Spicy-Together Rimix (Official Video) Ipo Mkitoni

Together ni wimbo unaohusu urafiki, uaminifu na heshima, vitu ambavyo Spicy anaamini kwamba ni viungo muhimu kwenye mapenzi. Ni wimbo...

READ MORE

Extreme Web Technologies: Umuhimu Wa Kuwa Na Barua Pepe Ya Biashara

   UMUHIMU WA KUWA NA BARUA PEPE YA BIASHARA. Unakumbuka lile sakata la mmoja wa wagombea kiti cha Urais nchini...

READ MORE

Saida Karoli: Kuhusu Wimbo wa Salome, Siujui Mkataba na Diamond, Wala Sijawahi Kuonana Naye (+Video)

BAADA ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kuachia ngoma ya Salome ambayo ndani yake ametumia melodies na vionjo vilivyomo...

READ MORE

Wafuasi wa Lipumba na Maalim Seif Wachapana Makonde Tena Mahakamani

DAR ES SALAAM: Mahakama  Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana iligeuka kuwa uwanja wa masumbwi, baada ya wafuasi wa...

READ MORE

Muundo Mpya Wa CCM Wasomi, Maaskofu Wamsifu Magufuli

Mwenyekiti wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais John Magufuli akiongea jambo. WASOMI, wanasiasa wakongwe, wachambuzi wa kisiasa na viongozi...

READ MORE

Polisi Wavamia Ofisi za Jamii Media, Wafanya Upekuzi na Kuchukua Wafanyakazi 2 kwa Mahojiano

DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam  jana Desemba 15, 2016, lilivamia ofisi za mtandao...

READ MORE

TCRA Wafanya Ukaguzi Wa Mwisho Na Kuiruhusu Radio 5 Kurudi Hewani Dec. 16

Mamlaka ya Mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA), December 14 imefanya Ukaguzi wa mwisho, kujiridhisha na kuruhusu Kituo cha Utangazaji cha Radio5...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Alhamis Desemba 15, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 15, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Mwandishi wa ITV Aliyekamatwa kwa Amri ya DC, Aachiwa kwa Dhamana

Mwandishi  wa kujitegemea wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Halfani Lihundi ameachiwa kwa dhamana kutoka katika kituo cha Polisi cha...

READ MORE

Kada wa CCM Aliyedaiwa Kughushi Kitambulisho cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru

Miezi kadhaa iliyopita aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘UVCCM’ Arusha, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa...

READ MORE

Pichaz: Daraja la Waenda kwa Miguu la Furahisha Jijini Mwanza

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa (aliyeko mbele) akikagua daraja hilo. MWANZA: Ujenzi wa daraja la waenda...

READ MORE

Mbunge Kuwasaidia Wamachinga Mwanza Kufungua Kesi ya Madai

MANZA: Siku nane baada ya Rais John Pombe Magufuli kuagiza kusitishwa mara moja kwa zoezi la kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu...

READ MORE

Aliyetobolewa Macho na ‘Scorpioni’ Aanza Kutoa Ushahidi Mahakamani

NA DENIS MTIMA | GPL; Dar es Salaam: KESI ambayo imekuwa ikivuta hisia za watu wengi jijini Dar na maeneo...

READ MORE

Staili ya ‘Salamu ya Mwendokasi’ Yaitikisa Mitandao ya Kijamii

Pierre Ismael Bidoung Mpkatt (kulia) akimsalimia Paul Biya. Tangu Waziri wa Michezo nchini Cameroon, Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati...

READ MORE

Chatu Afa Baada ya Kumeza Mbwa

  CHATU aliyemeza mbwa mkubwa katika Jimbo la Warri nchini Nigeria, majuzi alikufa baada ya tumbo lake kuvimba kupita kiasi...

READ MORE

Mwingereza Afungwa Miezi 12 Kwa Kutaka Kumuua Trump

RAIA mmoja wa Uingereza amefungwa miezi 12 na siku moja gerezani katika jaribio la kutaka kumuua aliyekuwa mgombea urais wa...

READ MORE

Kanye West Akutana na Trump

RAPA maarufu nchini Marekani, Kanye West, ambaye hivi karibuni alilazwa hospitalini baada ya kupata matatizo ya msongo wa mawazo na...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Lang’ara Tena Tuzo za Ubora Duniani

Makamu wa Rais wa ShirIka la Ndege la Etihad, Kitengo cha Huduma kwa Wateja Linda Celestino na Meneja Masoko na...

READ MORE

Vanessa Mdee X Jux – Juu (Official Music Video)

Itazame video mpya ya mwanadada Vanessa Mdee na mpenzi wake Juma Jux iitwayo ‘Juu’, iliyotayarishwa na Justin Campos.

READ MORE

Mwanachuo Aliyejifanya Shilole Apandishwa Kizimbani

  Thomas Lucas Magula ‘Shilolekiuno_official’ (katikati), akiwa ameshikiliwa na polisi wakati wa kupandishwa kizimbani. Na Musa Mateja HATIMAYE lile sakata...

READ MORE

Putin Ataka Kuonana na Trump Baada ya Kuapishwa

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema ataonana na Rais mteule wa Marekani, Donald Trump mara tu atakapo apishwa kuingia madarakani...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Desemba 14, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 14, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Kamanda Sirro: Aliyetishwa na Kauli ya Mzee wa Upako Afungue Kesi

DAR ES SALAAM: Polisi  Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemtaka yeyote anayeona kuwa kauli iliyotolewa na Mchungaji Kiongozi wa...

READ MORE

JPM Amteua Dkt Kazungu Kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, jana tarehe 13 Desemba, 2016 amemteua Dkt. Khatib M....

READ MORE

Serikali Yatangaza Ajira za Walimu wa Sayansi na Hisabati

SERIKALI imetangaza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika shule za sekondari ambao wametakiwa kupeleka nakala za vyeti...

READ MORE

Wateja wa Vodacom Kulamba Bilioni 5 Kupitia Nogesha Upendo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) akizungumza jambo katika hafla hiyo. Kutoka kushoto ni...

READ MORE

Jide Akiri Kutoka Kimapenzi na Mnigeria Spicy ‘Rasta’

Jide akifafanua jambo wakati wa mahojiano na Global TV Online leo. Kushoto ni mpenzi wake Spicy ‘Rasta’. Mpenzi wa Jide,...

READ MORE

Grand Tech Wajitolea Kujenga Barabara ya Shimo la Udongo kwa Zege

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akijaribu mojawapo ya mashine za kutengeneza barabara ya Kampuni ya Grand...

READ MORE

CCM Yawateua Polepole Kuwa Katibu wa Itikadi & Uenezi, Mpogolo Naibu Katibu Mkuu Bara

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Humphrey PolePole ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi...

READ MORE

Modo Mwenye Figa Ya Kuvutia Sanchoka Atembelea Global TV Online

Modo mwenye figa ya kuvutia nchini Bongo anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya urembo, Sanchoka yeye hupenda kujiita Sanchi akiwa...

READ MORE

Mwanzilishi wa JamiiForums, Maxence Melo Akamatwa na Polisi, Anyimwa Dhamana

DAR ES SALAAM: Mwanzilishi, Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa selo katika Kituo...

READ MORE

Kesi ya Pedeshee Ndama ya Kugushi Nyaraka Yaahirishwa Kisutu

Ndama Shaaban Hussein almaarufu Pedeshee Ndama Mutoto ya Ng’ombe (katikati) akiwa Mahakama ya Kisutu leo. Pedeshee Ndama Mutoto ya Ng’ombe...

READ MORE

Mabadiliko Yaliyofanywa Ndani ya CCM na Halmashauri Kuu Chini ya JPM

Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imekutana leo tarehe 13/12/2016 jijini Dar es salaam kwa kikao cha siku moja cha...

READ MORE

Mapya Yaibuka Kufuatia Miili 6 Kufungwa Kwenye Viroba na Kutupwa Mto Ruvu (Picha+Video)

Mto Ruvu ambapo miili sita ya watu ilikutwa ikielea mnamo Desemba 6, 2016. Mojawapo ya kaburi ilipozikwa baadhi ya miili....

READ MORE

JPM Aanika Mambo 10 ‘Pasua Kichwa’ Ndani ya CCM, Aahidi Kuanza Nayo

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli ameanika mambo 10 ‘pasua kichwa’ (yanayosumbua utendaji na utekelezaji wa...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Ngusa Samike Kuwa Mnikulu

Rais Dk John Pombe Magufuli (pichani juu) leo maemteua Bwana Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu Ofisi ya Rais, Ikulu. Katika...

READ MORE

Video: Darassa Ajibu Tuhuma za Kuiba Beat ya Saida Karoli, Atoboa Siri ya Nyimbo Zake Kutoboa

Darassa Afunguka Tuhuma za Kuiba Beat ya Saida Karoli Kwenye Wimbo Wake wa Muziki

READ MORE

China Kujenga Uwanja Wa Kisasa Msoga

PWANI: Serikali ya China imetoa ufadhili wa ujenzi wa uwanja wa Michezo kwa Shule ya Msingi Msoga iliyopo Halmashauri ya...

READ MORE