×

Habari

Watu 3200 wakusanyika na kupigwa picha za utupu!

          Sehemu ya umati wa watu 3,200 waliohudhuria tukio hilo. Hull, Uingereza WATU zaidi ya 3200 wamekusanyika na kusherehekea...

READ MORE

Mapigano yazuka tena Juba, Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umehimiza viongozi wa kisiasa kutuliza wanajeshi wao Juba, Sudan Kusini MAPIGANO yamezuka tena nchini Sudan Kusini saa...

READ MORE

Airtel na VETA Yaitambulisha VSOMO kwa Makundi ya Vijana Arusha

    Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Arusha, Mushashu Anaclet (wa pili kushoto) akiongea wakati wa kutambulisha mpango wa mafunzo ya...

READ MORE

Vijana Acheni Kulalamikia Ajira Wakati Uwezo wa Kujiajiri Mnao- Mhe. Mavunde

Picha/Habari na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Vijana, Kazi na Ajira, Antony Mavunde Jumamosi...

READ MORE

Rais Magufuli na Hatma ya CCM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Na Leonard Msigwa “MIMI nang’atuka, lakini ninaendelea kuamini kuwa...

READ MORE

Maandamano ya Wamarekani Weusi Yapamba Moto

  Wamarekani Weusi waliouawa na polisi Marekani, Alton Sterling (kushoto) na Philando Castile (kulia) enzi za uhai wao. Maandamano ya Wamarekani...

READ MORE

Dole la Kati Lililomponza Mhe. Sugu

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’ akiwaonesha wabunge wa CCM dole la kati Bungeni Dodoma hivi...

READ MORE

Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi asimamishwa kazi kwa kufanya malipo hewa

KATIBU  Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira amemsimamisha kazi Mhasibu Mkuu wa Jeshi...

READ MORE

Whitedent yaja na Bahati Nasibu ya Suzuki Alto K10

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhelm Meru akizungumza jambo katika hafla hiyo. Dkt. Adelhelm Meru akiweka...

READ MORE

NEMC Yakifungia kiwanda cha 21st Century

Mratibu wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Mashariki (NEMC), Jaffar Chimgege, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani),...

READ MORE

Washindi wa droo kubwa ya Shinda Nyumba wakabidhiwa zawadi zao

Dadi Tematema akimpokelea dinner set Herman Haule wa Dodoma. Dadi Tematema akitoa ushuhuda wa ndugu yake aliyekuja kumpokelea zawadi aitwae...

READ MORE

Watoto 4 wa familia moja wateketea kwa moto wakiwa usingizini

HUZUNI imetanda katika wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya ajali ya moto wa kibatari kuteketeza watoto wanne wa mama...

READ MORE

Waziri Mkuu wa India kuwasili hapa nchini leo

WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi anawasili leo hapa nchini kwa ajili ya ziara ya kitaifa ya siku mbili kwa...

READ MORE

Watu 11 mbaroni kwa madawa ya kulevya

Stori: STEPHANO MANGO, RISASI JUMAMOSI RUVUMA: Watu tisa wanakishikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kukutwa wakifanya...

READ MORE

Dereva wa Basi la City Boy Akabiliwa na makosa 30 ya Kuua

MMOJA wa madereva waliosababisha ajali ya mabasi ya City Boy Jumatatu iliyopita katika kijiji cha Maweni wilayani Manyoni, Jeremiah Semfungwe...

READ MORE

Rais Magufuli ateua mkurugenzi mpya wa TACAIDS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Leonard Lutegama Maboko kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...

READ MORE

Wasomaji Dar Walichangamkia Ijumaa Muonekano Mpya!

Msomaji wa Gazeti la Ijumaa (kushoto) akinunua kwa muuzaji wa magazeti ya Global, Hadija Rashid. Msomaji wa Ijumaa akinunua gazeti...

READ MORE

Maneno ya Rais Obama, Mastaa wa Marekani kuhusu mauaji ya watu weusi

KUFUATIA kuongezeka kwa matukio ya mauaji ya watu weusi nchini Marekani, Rais wa Nchi hiyo, Barack Obama na mastaa wakiwemo...

READ MORE

Polisi wanne wauawa Dallas, Marekani

Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas nchini Marekani wamepigwa risasi na kuuawa huku wengine saba wakijeruhiwa wakati wa maandamano ya...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kongwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Julai, 2016 amemteua Bw. Deogratius John...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 07 2016 amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa...

READ MORE

Vodacom Yadhamini Ziara ya Wahariri 30 Nairobi

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi yenye thamani...

READ MORE

Majambazi wateka kijiji kwa saa 3, wajeruhi na kupora fedha!

KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na sialaha wameteka eneo la mpaka wa Tanzania na Rwanda katika Kijiji...

READ MORE

Msondo Ngoma, Sikinde Walivyotoana Jasho Dar Live

USIKU wa kuamkia leo Makundi mawili ya burudani yenye upinzani mkubwa Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ na Msondo Music usiku wa...

READ MORE

Mfanyabiashara atoa misaada kwa jamii

Mfanyabiashara maarufu katika visiwa vya Pemba na Unguja,  Said  Nasser Nassor ‘Bopar’ hivi karibuni alikuwa akitoa misaada ya tende kwa...

READ MORE

Nelly; Nimesoma magazeti ya Global kwa miaka 18

Nelly Mwangosi na mumewe. NA FRANCIS GODWIN, IRINGA NELLY Mwangosi, mwanamama mwenye umri wa miaka 45, mkazi wa Kibwabwa Kata...

READ MORE

Wagonjwa watekwa, muuguzi anusurika kubakwa

Na Joseph Ngilisho, AMANI ARUSHA: Muuguzi wa Kituo cha Afya cha Mbuguni wilayani Arumeru jijini hapa, Paulina Mafembo na wagonjwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awakomesha mastaa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa STORI: MWANDISHI WETU, AMANI DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu wa...

READ MORE

Swala ya Ed-El-Fitr Ilivyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga, Dar

Sheikh Abdulkadir Mohamed akiongoza swala ya Ed- El- Fitr iliyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi. Waumini...

READ MORE

Wateja wa Vodacom Kujichagulia Vifurushi Wavitakavyo

Katika dhamira yake ya kufanya ubunifu wa teknolojia kwa ajili ya kuwapeleka watanzania katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia kwa...

READ MORE

Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA ahojiwa na Jeshi la Polisi Dar

Patric Ole Sosopi (kushoto mwenye gwanda). Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema Taifa(BAVICHA), Patric Ole...

READ MORE

Mabadiliko Ratiba ya Mazishi ya Mhe. Beatrice Shelukindo

Familia ya William H. Shelukindo inapenda kuwataarifu kuwa mazishi huko Arusha ya Mpendwa wao Beatrice Matumbo ShelukindoMbunge wa zamani wa...

READ MORE

Hatimaye Oscar Pistorius ahukumiwa kwenda jela

Oscar Pistorius Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini aliyejinyakulia mataji kibao ya Olympic, Oscar Pistorius leo amehukumiwa kifungo cha miaka sita...

READ MORE

Waziri Mkuu aongoza Swala ya Eid El Fitr jijini Dar

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa akitoa mawaidha  mbele ya waumini wa kiislamu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar...

READ MORE

Kisa kukataliwa kujiunga na ISIS, mapacha wamuua mama yao, wamjeruhi baba!

MAPACHA wawili wamemuua mama yao mzazi na kuwajeruhi baba mzazi na kaka yao kwenye makazi yao yaliyopo Riyadh, Saudi Arabia...

READ MORE

Donald Trump amkubali Saddam Hussein

Marekani MGOMBEA urais wa Chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amemsifu kiongozi wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein akisema...

READ MORE