Video: Nape Nnauye, Balozi Hoyce Temu Wanashiriki Mjadara Kuhusu Umuhimu Wa Diplomasia..
MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye, na Balozi Hoyce Temu, wameshiriki katika mjadala wa kitaifa kuhusu umuhimu wa diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa katika kuwaletea wananchi maendeleo..