Live: Rais Samia Anaaga Mwili Wa Mfugale, Karimjee DSM Muda Huu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Leo Julai 02 ataongoza familia pamoja na wananchi kuaga mwili wa marehemu mhandisi Patrick Mfugale katika viwanja vya Karimjee Dar es salaam… ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx