Uchaguzi Mkuu Yanga, Hali Ilivyo Ukumbini, Wanachama Wajitokeza Kwa Wingi-Video
Leo Julai 09, 2022 Klabu ya Yanga inafanya uchaguzi mkuu ambao unafanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (Julius Nyerere International Convention Centre)JINCC Jijini Dar es saalam.