BREAKING: WEMA Aomba Msamaha Hadharani – Video
Muigizaji maarufu Bongo, Wema Sepetu, amewaomba radhi waandishi wa habari kutokana na kile kilichotokea kwenye uzinduzi wake uliofanyika juzi Ijumaa katika ukumbi wa Mliman City.
Waandishi wa habari walizuiliwa kuingia ndani kwa kile ambacho Wema anadai ni kutokana na wageni walioalikwa kwenye uzinduzi huo kutopenda kupigwa picha.
Comments are closed.