Aidha, Lowassa alisema kuwa sera za Chama cha Mapinduzi (CCM) ndiyo zimefikisha nchi hapa kwani wakati wabunge wa CCM wanapiga kura kukubali mikataba hiyo walikuwa wakitimiza sera za chama hicho. kwahiyo vyama pinzani havina tatizo.
Hivyo alieleza kuwa kikubwa kinachohitajika ni kupatikana kwa katiba mpya ambayo itazingatia mambo hayo ya msingi na haki za raia.