Klabu ya DTB Imefanikiwa Kupanda Daraja, Kucheza Ligi Kuu Msimu Ujao
KLABU ya DTB inayomilikiwa na Taasisi ya Kifedha ya Benki ya Diamond Trust imefanikiwa kupanda daraja kutoka Ligi daraja la kwanza hadi Ligi Kuu ya NBC na sasa inatarajiwa kushiriki Ligi kuu msimu ujao.
DTB imefanikiwa…